Tumefunga kikao hapa kijiweni, tumeazimia kuwa UKIMWI wa sasa ni tofauti na ule wazamani. Ni wa kawaida

Tumefunga kikao hapa kijiweni, tumeazimia kuwa UKIMWI wa sasa ni tofauti na ule wazamani. Ni wa kawaida

Jidanganyeni tu, nina ndugu yangu anateseka na huo ugonjwa sana.....inaniuma sana, mtu aliyeolewa bikra leo yupo wa kuzoa kitandani.
Na sio kwamba alikuwa hatumii dawa, katumia sana.....ugonjwa umeenda kuibua magonjwa mengine makubwa now yupo anateseka kitandani.....😭😭
so sad
 
Jidanganyeni tu, nina ndugu yangu anateseka na huo ugonjwa sana.....inaniuma sana, mtu aliyeolewa bikra leo yupo wa kuzoa kitandani.
Na sio kwamba alikuwa hatumii dawa, katumia sana.....ugonjwa umeenda kuibua magonjwa mengine makubwa now yupo anateseka kitandani.....😭😭
Kinachomuua ni hayo MADAWA.

Kama mna akili timamu mtajua cha kufanya, lakini sitegemei kama mnazo.

Wacha mgonjwa aendelee KUMEZA DOZI atazimika taratibu kama mshumaa akiwa ameoza figo na maini.
 
CD4 below 200?. Vijana nawasihi acheni ngono zembe gojwa hili ni zito na linamaliza vijana. Mishangazi na Mimama yenye makalio makubwa na wale weupe na mapaja yenye michirizi na mishipa ya damu ya kijani ni magwiji wa retroviruses.. usicheze peku kabisa Dr Remmy Ongala aliwahi kuimba “Mambo kwa soksi” .. I gotta go!
Aah sie tunataka peku peku kama mpoto
 
Nasikia eti mkuu Deception aliyekuwa mpingaji mkuu wa huo ugonjwa nae ameng'oka kwa ugonjwa huo ndio maana haonekani muda mrefu sana humu
Inawezekana. Last seen yake inaonesha Oktoba 2022 inamaana anakwenda mwaka wa tatu hajatimba humu. mwamba alipoteza watu sana humu na seori zake zisizo na rejea yoyote ya kisayansi.
 
vijana wa 2000 wa ajabu sana. hawajui hisani ya beberu kugawa ARV ndio imewaepushia maambukizi wakati wa kuzaliwa na sasa wako salama bila maambukizi. cha ajabu wao sasa ndio wanaitafuta HIV kwa nguvu kwa kuwa irresponsible.
 
Back
Top Bottom