RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 1,472
- 2,766
Wasiojulikana wamefanya yao!lazima angepigwa tu!Biashara za watu zile!Nasikia eti mkuu Deception aliyekuwa mpingaji mkuu wa huo ugonjwa nae ameng'oka kwa ugonjwa huo ndio maana haonekani muda mrefu sana humu
Asante kipenzi....Mungu akutie nguvu, Poleni sana 😥
Mamy K uwe una mpikia supu ya matembele yenye karanga, mpe mbegu za tikiti maji.Jidanganyeni tu, nina ndugu yangu anateseka na huo ugonjwa sana.....inaniuma sana, mtu aliyeolewa bikra leo yupo wa kuzoa kitandani.
Na sio kwamba alikuwa hatumii dawa, katumia sana.....ugonjwa umeenda kuibua magonjwa mengine makubwa now yupo anateseka kitandani.....😭😭
Katika hao wajumbe kuna hata mmoja ambaye ana maambukizi ili kudhibitisha kua UKIMWI si kitu?? kama hakuwepo hata mmoja basi hayo yalikua ni maongezi tuu yakupoteza mda uende, yapuuzweWadau hamjamboni nyote?
Mjumbe mmoja tu tena mbishi kweli na anajifanyaga kasoma na mjuaji ndiyo kapinga azimio letu!
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima za kipekee
Mchana mwema
ChaiWadau hamjamboni nyote?
Mjumbe mmoja tu tena mbishi kweli na anajifanyaga kasoma na mjuaji ndiyo kapinga azimio letu!
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima za kipekee
Mchana mwema
Katika hao wajumbe kuna hata mmoja ambaye ana maambukizi ili kudhibitisha kua UKIMWI si kitu?? kama hakuwepo hata mmoja basi hayo yalikua ni maongezi tuu yakupoteza mda uende, yapuuzwe
Utakufa vibaya wewe nakuhurumia
mmh mbegu za tikiti kwenye supu😇?Mamy K uwe una mpikia supu ya matembele yenye karanga, mpe mbegu za tikiti maji.
Vyote hivyo vina pandisha cd4 faster.