Tumefungwa lakini maturity level ya wachezaji imeongezeka

Kama maturity ni ile kufungwa kwa set pieces basi kweli wenye akili ni wawili tuu
 
Hahah. Mistakes gani hizo zimefanyika? Magoli yale unaita mistakes? Na Horoya anaingiaje hapa?
Kwaiyo ni nini labda? Horoya anaingia hapo kwakuwa naona mnadandia treni kwa mbele na mnasahau wamewakanyaga jana licha ya ubovu wao kwa goli la krosi kama ayo unayosema sio mistake
 
Kumbuka pia hiyo ni shirikisho. Nyinyi na mliocheza nao hakuna mnachoizidi Horoya.
Au sio, muda ni mwalimu mzuri sana na Raja casablanca wako njiani ndio tutajua horoya na waarabu nani kibonde
 
Kwaiyo ni nini labda? Horoya anaingia hapo kwakuwa naona mnadandia treni kwa mbele na mnasahau wamewakanyaga jana licha ya ubovu wao kwa goli la krosi kama ayo unayosema sio mistake
Unajistress sana
 
Kwangu mm team analysis ya bench la ufundi yanga halikufanya kazi yake vzr,mabeki wote wa yanga walikua wafupi kasoro Bangala,namba 8 ilikufa kabisa na akashindwa fanya mabadiliko mapema,hakuna mbadala wa morrison or Fei toto.
Hata kwa mkapa kwa uchezaji huu ngumu kushinda
 
Wenzako wamecheza kimalengo na kuangalia mbinu yao, pasi chache tu wakawa wanafika golini na wamefanikiwa kudhibiti kila njia yenu ya kushambulia kuanzia mashuti ya mbali hadi krosi hazikuwa na madhara. Wamewaachia pasi mpige mtakavyo wanachotaka ni goli tu
 
Pia wachezaj wana mikimbio mizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…