Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mechi ya kirafiki na gwambina we unategemea nin?
Mechi na Africain hao wawili walifanya nn. Analysis yako imekimbilia kutaja mapengo tu. Hamna kituKwangu mm team analysis ya bench la ufundi yanga halikufanya kazi yake vzr,mabeki wote wa yanga walikua wafupi kasoro Bangala,namba 8 ilikufa kabisa na akashindwa fanya mabadiliko mapema,hakuna mbadala wa morrison or Fei toto.
Hata kwa mkapa kwa uchezaji huu ngumu kushinda
Kuna kitu watajifunza kwa BocoPia wachezaj wana mikimbio mizuri.
Yanga wamefungwa kwasababu ya ubora wa SimbaKwangu mm team analysis ya bench la ufundi yanga halikufanya kazi yake vzr,mabeki wote wa yanga walikua wafupi kasoro Bangala,namba 8 ilikufa kabisa na akashindwa fanya mabadiliko mapema,hakuna mbadala wa morrison or Fei toto.
Hata kwa mkapa kwa uchezaji huu ngumu kushinda
Make hapo kwanza nchekeTimu imeongeza kujiamini
Sawa. ChekaMake hapo kwanza ncheke
ndiyo maana horoya wapo kule kwa mabingwa na hawa wapo huku kwa mliofeli.Wameshindwa nini sasa, kumbuka pia hawa sio horoya, Usije ukalinganisha timu uliyocheza nayo na hawa jamaa, kiufupi mistake imefanyika na wakajua namna ya kuwadhibiti
kwanini hawakutupiga 4? YANGA wamecheza vizuriHahaha Yanga aisee hamuishiwagi vituko. Ehe, kwa hiyo hawa kwa Mkapa hawatoki siyo? Hawa jamaa wangetaka kuwapiga hata 4 leo wangeweza.
Hahahahaa maneno ya mkosaji sasa haya... Kwani Horoya na Monastir kwenye ranking za CAF ni timu ipi ni bora? Maana unatakiwa kulinganisha kwa namba na sio kwa hisia zako ukadhani unaujua mpira....Wameshindwa nini sasa, kumbuka pia hawa sio horoya, Usije ukalinganisha timu uliyocheza nayo na hawa jamaa, kiufupi mistake imefanyika na wakajua namna ya kuwadhibiti
sio zaifu ni dhaifuNi aina ya mipira ambayo hatujapata dawa yake na kwenye mashindano haya ukiwa zaifu kwenye aerial Ball ni majanga.
Nahis utakuw umecheka kwa sauti hapo ulipo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona hawakupiga hizo nne?... Hawa jamaa wangetaka kuwapiga hata 4 leo wangeweza.
Hivi Simba alishinda juzi?Mkimbio kama mkimbio.