Tumegombana kisa kaniomba tsh. 5000

Tumegombana kisa kaniomba tsh. 5000

okoyoko

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
2,664
Reaction score
3,641
Hello guys

Hivi majuzi kuna mdada nlimtongoza, tukawa tunachat nkamshangaa kidogo coz alkuwa anapenda kuni-text mara kwa mara na kwa muda wa wiki mbili hakuniomba hela na kiukweli nliambulia denda tu kutoka kwa huyo demu

UGOMVI ULIPOANZIA
Aliniomba elf 5 kudai ana shida nayo, wakati papuchi hajawahi kunipa, kila nkimwambia aje gheto anadai yupo busy, nkamuuliza kama ananikomoa au VIPI, pia nikamwambia kuwa hajanipenda ndo maana ananiomba elf 5, akaongea kidogo, baada ya siku hiyo mpaka Leo ni wiki 3 sasa tumechuniana wakati alikuwa anapenda kuni-text kila siku.

Nakubali kwenye mahusiano kuna kusaidiana, ila mm kufanywa zoba, cjui buzi, ATM kisa k*ma wakati wengine wanajilia bureee kiurahisi, mm sitaki, cjui wanaume mnaotongoza kwa kutumia pesa mnafanyaje aisee maana kweli mm kuhonga pesa nlioitolea jasho kindezi ndezi cwezi
 
Yani elfu 5000 unalilia hapa...watu wanahonga mamilioni...
Huoni aibu!
Watu Na okoyoko ni vitu viwili tofauti..
Tonatofautiana mitazamo Na misimamo..
Sio kisha donatila anahonga milioni Na okoyoko ahonge million au buku tano yake.
Usipende kujifananisha Na watu, usipende kuoga ya watu. Tengeneza utambulisho wako. Muache okoyoko aishi kiuhalisia sio kama wengine wanavyoishi.
Any Questions?
 
Mpigie simu, mtext halafu mtumie hiyo 5,000 natumaini ugomvi utaisha.

Let me tell you one thing my friend; wakati mwingine mwanamke akikuomba pesa na kukulilia shida "msaidie" you never know anapitia jambo gani gumu kwa wakati huo na mtu wa kipekee kumsaidia amekuchagua wewe.
 
Mkuu umenifanya niwaze sana juu ya hiyo elf tano yako

Jibu ninilo lipata ni kuwa kila mtu ale kwa jasho sio mmoja anataka kula kwa mlija

Hongera kwa kutongoza

Hongera kwa kukata kuwa ATM

hongera kwa kujua thamani ya pesa yako

Ila umeniangusha kuja kumfungulia uzi jf

Ilitakiwa umalize kama kidume
 
Hello guys

Hivi majuzi kuna mdada nlimtongoza, tukawa tunachat nkamshangaa kidogo coz alkuwa anapenda kuni-text mara kwa mara na kwa muda wa wiki mbili hakuniomba hela na kiukweli nliambulia denda tu kutoka kwa huyo demu

UGOMVI ULIPOANZIA
Aliniomba elf 5 kudai ana shida nayo, wakati papuchi hajawahi kunipa, kila nkimwambia aje gheto anadai yupo busy, nkamuuliza kama ananikomoa au VIPI, pia nikamwambia kuwa hajanipenda ndo maana ananiomba elf 5, akaongea kidogo, baada ya siku hiyo mpaka Leo ni wiki 3 sasa tumechuniana wakati alikuwa anapenda kuni-text kila siku.

Nakubali kwenye mahusiano kuna kusaidiana, ila mm kufanywa zoba, cjui buzi, ATM kisa k*ma wakati wengine wanajilia bureee kiurahisi, mm sitaki, cjui wanaume mnaotongoza kwa kutumia pesa mnafanyaje aisee maana kweli mm kuhonga pesa nlioitolea jasho kindezi ndezi cwezi
Unefanya vzr kuokoa fedha yako, acha ale za wanaompa bure bure
 
Mkuu as a man 5000 si kitu kumpa binti
Binti yupi...!??

Acheni masihara.

Si mpenzi... Si mchumba... Hajapiga game...

Atupe hela!?

Mimi kuna mzigo nilikuta nao tukiwa high...tukasemezana tukapeana 1 9t stand. Asubuhi kila mtu akatembea na zake.

Baada ya wiki akaanza kulia njaa.. Nlishangaa sana. Nikamuuliza mbona unaniomba hela!? Akasema eti nimemtomb@ bure. I was like wtff... Nimemtomb@ bure au tumetomb@na.

Nikampotezea. Hadi leo ananidai... Ni mwanamke wa dar.
 
Binti yupi...!??

Acheni masihara.

Si mpenzi... Si mchumba... Hajapiga game...

Atupe hela!?

Mimi kuna mzigo nilikuta nao tukiwa high...tukasemezana tukapeana 1 9t stand. Asubuhi kila mtu akatembea na zake.

Baada ya wiki akaanza kulia njaa.. Nlishangaa sana. Nikamuuliza mbona unaniomba hela!? Akasema eti nimemtomb@ bure. I was like wtff... Nimemtomb@ bure au tumetomb@na.

Nikampotezea. Hadi leo ananidai... Ni mwanamke wa dar.
Yaani wanawake wana elimu ya uchunaji sio utafutaji

Na hii ndio inatupa nafasi ya kuchapa na kutembea

Anae zingua unaachana nae

Maana yeye vyake dhahabu vyangu mawe haiwezekani
 
Back
Top Bottom