Tumegombana kisa kaniomba tsh. 5000

Tumegombana kisa kaniomba tsh. 5000

MKUU hata JOGOO linahonga MIJUSI na WADUDU.,.kuhonga ndy kunakamilisha UANAUME WAKO....kama 5000 unalialia humu unaweza kuhonga milioni?
 
Mwandishi ina onekena wewe ni day worker[emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23]una ogopa kumpa dem.mshahara wako wote wa siku
 
Mm nko hv kwanza huwa siombi hela ukiona nmeomba ujue kwel nna shda na nisaidie kama inaeza lakn pamoja na hayo siez kudate na mwanamme bahir yan nataka mwanamme anayejiongeza sikuombi ila jiongeze sasa unakuta jamaa hajui hata vocha inatoa wap anaulza mbona hujajibu sms zangu sasa hapo ndo huwa naongea lugha ngumu mpaka mtu anaaga mwenyewe sasa ww elfu tano ata kama anadanga bas fanya kama sadaka ss tunakopaga hela mtu ambaye unajua haez kukurudishia ila ww umeombwa tu elfu tano unakuja kuleta uzi kwanza ww inaezekana unaroho mbaya pamoja na kujifanya bahir kwa sababu sion point ya kusema huez toa elfu tano kwa sababu u aiswetia sa unataka itumiwe na nan kama so ubinafsi
 
Hello guys

Hivi majuzi kuna mdada nlimtongoza, tukawa tunachat nkamshangaa kidogo coz alkuwa anapenda kuni-text mara kwa mara na kwa muda wa wiki mbili hakuniomba hela na kiukweli nliambulia denda tu kutoka kwa huyo demu

UGOMVI ULIPOANZIA
Aliniomba elf 5 kudai ana shida nayo, wakati papuchi hajawahi kunipa, kila nkimwambia aje gheto anadai yupo busy, nkamuuliza kama ananikomoa au VIPI, pia nikamwambia kuwa hajanipenda ndo maana ananiomba elf 5, akaongea kidogo, baada ya siku hiyo mpaka Leo ni wiki 3 sasa tumechuniana wakati alikuwa anapenda kuni-text kila siku.

Nakubali kwenye mahusiano kuna kusaidiana, ila mm kufanywa zoba, cjui buzi, ATM kisa k*ma wakati wengine wanajilia bureee kiurahisi, mm sitaki, cjui wanaume mnaotongoza kwa kutumia pesa mnafanyaje aisee maana kweli mm kuhonga pesa nlioitolea jasho kindezi ndezi cwezi
Acha ushamba 5000 unalialia hivyo wewe ni mwanaume kweli?
IMG_20180919_130608.jpg
 
nitumie namba zake nimtumie ila utasema umetuma wewe kwa namba ya wakala
 
Wanawake wanaijua pesa utasema wanajua hata material yanayotengenezewa
 
Hello guys

Hivi majuzi kuna mdada nlimtongoza, tukawa tunachat nkamshangaa kidogo coz alkuwa anapenda kuni-text mara kwa mara na kwa muda wa wiki mbili hakuniomba hela na kiukweli nliambulia denda tu kutoka kwa huyo demu

UGOMVI ULIPOANZIA
Aliniomba elf 5 kudai ana shida nayo, wakati papuchi hajawahi kunipa, kila nkimwambia aje gheto anadai yupo busy, nkamuuliza kama ananikomoa au VIPI, pia nikamwambia kuwa hajanipenda ndo maana ananiomba elf 5, akaongea kidogo, baada ya siku hiyo mpaka Leo ni wiki 3 sasa tumechuniana wakati alikuwa anapenda kuni-text kila siku.

Nakubali kwenye mahusiano kuna kusaidiana, ila mm kufanywa zoba, cjui buzi, ATM kisa k*ma wakati wengine wanajilia bureee kiurahisi, mm sitaki, cjui wanaume mnaotongoza kwa kutumia pesa mnafanyaje aisee maana kweli mm kuhonga pesa nlioitolea jasho kindezi ndezi cwezi
Naonga mkono hoja Mimi nilimchana ukweli aliomba 30k sahv mwenyewe ananiita wangu.
 
Mwanamke anyeomba pesa ndogo kama hizo ni wazi ana njaa sana afu ni mvivu mvivu afu mchafu...usingeongea sana,ungemwambia 'Sikupi'...afu ungemwambia kama ana muda muweze kuonana.
 
Mtoto wa kiume kuandika 'hellow,mambo,hi,k,p" kwa wanaume wenzako ni makosa unafanya watu tukuhic vibaya

Nadhan wenye akil wamenielewa namaanisha nini
 
Mtoto wa kiume kuandika 'hellow,mambo,hi,k,p" kwa wanaume wenzako ni makosa unafanya watu tukuhic vibaya

Nadhan wenye akil wamenielewa namaanisha nini
Jamaa huyo, mtoto sio riziki!
 
Hilo denda ulilopata lina gharama zaidi ya hio 5000 aliokuomba,sms alizotuma kwako ,muda aliotumia kutuma hizo sms kwako,she deserve more than hio buku tano.
 
Hello guys

Hivi majuzi kuna mdada nlimtongoza, tukawa tunachat nkamshangaa kidogo coz alkuwa anapenda kuni-text mara kwa mara na kwa muda wa wiki mbili hakuniomba hela na kiukweli nliambulia denda tu kutoka kwa huyo demu

UGOMVI ULIPOANZIA
Aliniomba elf 5 kudai ana shida nayo, wakati papuchi hajawahi kunipa, kila nkimwambia aje gheto anadai yupo busy, nkamuuliza kama ananikomoa au VIPI, pia nikamwambia kuwa hajanipenda ndo maana ananiomba elf 5, akaongea kidogo, baada ya siku hiyo mpaka Leo ni wiki 3 sasa tumechuniana wakati alikuwa anapenda kuni-text kila siku.

Nakubali kwenye mahusiano kuna kusaidiana, ila mm kufanywa zoba, cjui buzi, ATM kisa k*ma wakati wengine wanajilia bureee kiurahisi, mm sitaki, cjui wanaume mnaotongoza kwa kutumia pesa mnafanyaje aisee maana kweli mm kuhonga pesa nlioitolea jasho kindezi ndezi cwezi
Hakukupenda
 
Back
Top Bottom