Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute dogo alikuwa anaporwa na kina chuma ulete na boss anakata hela ilio pungua. Dogo kaona ajiongeze nae kwa sangoma, ila dini hairuhusu ingawa mwana anapiga kazi balaaa😂😂Sasa hapo kuna shida gani? Mimi kama kazi inafanyika na hakuna hasara kama ulivyosema hayo mengine sio shida zangu.
Halafu ulitakiwa kujiongeza kwanini dogo anasema ataongea na boss wake, pengine ni mpango kazi wao huo wewe unaleta ujuaji.
Mdogo wako vipi kishapewa maelezo na muuza duka?.Tuliwaza km una maana nzuri hivi, kwann aligoma kusema pale pale
Kigezo cha uvumilivu ni kwavile anapiga kazi....🤣🤣biashara ngumu sana, unawez kumsalit anaekupa pumzUsikute dogo alikuwa anaporwa na kina chuma ulete na boss anakata hela ilio pungua. Dogo kaona ajiongeze nae kwa sangoma, ila dini hairuhusu ingawa mwana anapiga kazi balaaa😂😂
Mkuu, mimi naona wewe ndiwe mwenye imani za kishirikina. Unyoya na kitu cheusi ni vitu vya kawaida tu. Huenda anavitumia kuchezea na aliona aibu kusema mbele yako maana angeonekana mtu mzima mwenye michezo ya kitoto.Nyoya na kitu cheusi vilikua viashiria vya nguvu za giza. Labda angekubali kusema vinamaanisha nn
Yeah mkuu hiyo ndiyo point,mleta mada kama na yeye anataka akaanzishe hiyo biashara ya uwakala kichwa kichwa ataona shughuli za wagindu..Jiongeze wewe acha undezi, huyo dogo na ndugu yako lao ni moja wanakuchora tu hapo.
Umesema umegundua lkn sijaona uliposema ulichokigundua.Wasalaam
Wiki hii mwanzoni baada ya kutoka kwenye mizunguko ya kusaka tonge, niliongea na ndugu yangu mfanyabiashara nikaomba wakati anafunga hesabu nifike kujifunza mambo mawili matatu.
Ilikuwa mida ya saa 2 usiku Baada ya kufika ilipo biashara tulisalimiana vizuri tu na kijana anaepiga kazi pale. Baada ya kucheki mahesabu ambayo ndugu yangu anafanya kila akifika, tukagundua kuna upotevu wa pesa lakini sii pesa nyingi(Tsh2500).
Baada ya kumuuliza kama alitumia, yeye hakuwa na majibu imekuaje haionekani. Baada ya kucheki stock tukaona kuna bidhaa zimeisha inabidi mzigo ununuliwe mwingine, akaandika lists.
Ghafla muda amekaa kuandika list ya vitu vya kununua akaona kuna unyoya kama wa jogoo ule mkubwa umebanwa kwa kificho na gundi(solotape) kwenye droo analotunzia cash. Ikabidi tuhoji kwanini ameweka hapo, lakini bahati mbaya hakutupa majibu alisema atamwambia ndugu yangu maana yake kwa siku nyingine.
Muda huo huo mteja alikuja kununua kitu, pesa ilivyowekwa kwenye droo(alivuta droo) tukashangaa kuna kitu cha mviringo cheusi na muda tumekiona akakiwahi na kukishkilia mkononi. Kumuuliza kwanini kuna hivyo vitu jibu lake ni moja atamwambia ndugu yangu maana ya hivyo vitu siku nyingine.
Tuliondoka pale bila majibu sahihi, lakini ndugu yangu licha ya kukasirika anashauri kwasababu anapiga kazi vizuri na amepiga hiyo kazi muda mrefu atamvumilia huku akimfuatilia kwa karibu zaidi(mpaka sasa anapiga kazi).
Vipi maoni yako kwa hayo matukio? Kama faida unaipata, utamfukuza kazi? Una uzoefu wowote katika hili?
Ungemshauri nini kama ni ndugu yako? Wenye biashara halafu mmeajiri chukua tahadhari.
NB: Biashara ni ya vinywaji na uwakala
Kiherehere tu, mambo ya watu unayaleta huku sisi tukusaidie nini sasa? Hakika nchi hii tuna uhaba wa vijana! Kaka kama binti!Wasalaam
Wiki hii mwanzoni baada ya kutoka kwenye mizunguko ya kusaka tonge, niliongea na ndugu yangu mfanyabiashara nikaomba wakati anafunga hesabu nifike kujifunza mambo mawili matatu.
Ilikuwa mida ya saa 2 usiku Baada ya kufika ilipo biashara tulisalimiana vizuri tu na kijana anaepiga kazi pale. Baada ya kucheki mahesabu ambayo ndugu yangu anafanya kila akifika, tukagundua kuna upotevu wa pesa lakini sii pesa nyingi(Tsh2500).
Baada ya kumuuliza kama alitumia, yeye hakuwa na majibu imekuaje haionekani. Baada ya kucheki stock tukaona kuna bidhaa zimeisha inabidi mzigo ununuliwe mwingine, akaandika lists.
Ghafla muda amekaa kuandika list ya vitu vya kununua akaona kuna unyoya kama wa jogoo ule mkubwa umebanwa kwa kificho na gundi(solotape) kwenye droo analotunzia cash. Ikabidi tuhoji kwanini ameweka hapo, lakini bahati mbaya hakutupa majibu alisema atamwambia ndugu yangu maana yake kwa siku nyingine.
Muda huo huo mteja alikuja kununua kitu, pesa ilivyowekwa kwenye droo(alivuta droo) tukashangaa kuna kitu cha mviringo cheusi na muda tumekiona akakiwahi na kukishkilia mkononi. Kumuuliza kwanini kuna hivyo vitu jibu lake ni moja atamwambia ndugu yangu maana ya hivyo vitu siku nyingine.
Tuliondoka pale bila majibu sahihi, lakini ndugu yangu licha ya kukasirika anashauri kwasababu anapiga kazi vizuri na amepiga hiyo kazi muda mrefu atamvumilia huku akimfuatilia kwa karibu zaidi(mpaka sasa anapiga kazi).
Vipi maoni yako kwa hayo matukio? Kama faida unaipata, utamfukuza kazi? Una uzoefu wowote katika hili?
Ungemshauri nini kama ni ndugu yako? Wenye biashara halafu mmeajiri chukua tahadhari.
NB: Biashara ni ya vinywaji na uwakala
Ngoja waje wale wazungu wakina kirangaHakuna duka hapo Kariakoo lisilotumia ushirikina!
😃😃😃😂😂😂Nyoya tu umechachawa kijana, ukiona misukule si utafeinti wewe.....
Tulia kijana, huko madukani kwetu ni misukule ndio inahudumia wateja....karibu dukani kwangu, karibu sana.🤣Humu JF mnatia watu ujasiri. Yani kwa mimi sio kitu cha kawaida
umewaza mbali saana, kijana kabisa yule(20s) sio mtoto useme anafanya michezo. Lakini nisikukatalie inawezekana kuna jambo, muda utanipa vya kujifunzaMkuu, mimi naona wewe ndiwe mwenye imani za kishirikina. Unyoya na kitu cheusi ni vitu vya kawaida tu. Huenda anavitumia kuchezea na aliona aibu kusema mbele yako maana angeonekana mtu mzima mwenye michezo ya kitoto.
Halafu unasema ulienda 'kujifunza biashara', sasa umeenda umeyakuta hayo madogo umeyafungulia uzi. Je, ukioneshwa na misukule yake inayovuta wateja?
Hadi hapo umefeli mafunzo. Na huenda huyo nduguyo alipanga njama na kijana ili waone kama una kifua wakupe siri nyingine au la.
No. Uchawi upo na unafanya kazi.Uchawi, uganga, ushirikina Ni Imani Ni kama vile ukimuona NG'OMBE JUU YA MTI LAZIMA KAPANDISHWA..
uchawi uganga ushirikina is just MYTHOLOGY