Tumeingia Tunisia na Wazee wetu Watatu. Hawa ni wazee wapya wa Kamati ya Ushindi. Watunisia wamelala kwao....

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Babaaake..... Watunisia wamelala kwao... Wazee wetu watatu ndo wanatuongoza. Watunisia wamejaribu kutuma majini yao yametulizwa. Mpaka sasa hawajielewi. Tumeshakwepa mitego yao yote mbwa hawa.

Huku Dar mikia mliwatonya... Kule sasa wanaenda kukalia moto. Tunawachabanga kiroho mbaya. Hatuwaogopi na tumejiandaa kuwachakatia kwao mbele ya watu wao.

Nabii Nabi ameshaandaa kikosi tayari kwa kutinga hatua ya makundi. Na tupo safi. Yanga si kama team yenu. Sisi tumeiva ndani na nje ya uwanja.
 
😁😁😁😁 wananchiiii
 
Duu! Msitegemee kufika mbali endapo bado mnaendekeza haya mambo ya ushirikina.
 
acheni uongo mimi nipo tunisia na hakina hata mzee mmoja
 
Vipi mmekumbuka muhogo wa Jang'ombe au bado mnaendelea na mwiko nyuma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…