Tumeishi miaka yote, tumechagua viongozi wetu, tumeshtakiana na hukumu kutolewa Kwa mujibu wa Katiba

Tumeishi miaka yote, tumechagua viongozi wetu, tumeshtakiana na hukumu kutolewa Kwa mujibu wa Katiba

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Najiuliza hivi wasomi wetu hawajui kama Kila siku tunaongozwa na katiba? Hivi wasomi wetu hawajui kama tunaiishi katiba tuliyonayo?

Hivi Rais wetu hajui kama Tanzania anayoiongoza iko hivyo anavyoiona kutokana na uwajibikaji Kwa katiba wa Kila raia wa Tanzania?

Iweje useme eti hawaijui?

Iweje wasiijue katiba iliyotumika kuwaongoza tangia mwaka 77!?

Iweje tangia 77 mpaka Leo wasijue mapungufu na madhaifu ya katiba!?

Je, haya si matusi Kwa watanzania?
 
Back
Top Bottom