Tumejiandaa vipi kukabiliana na magari ya ulimwengu wa sasa? Hakika tupo nyuma

Tumejiandaa vipi kukabiliana na magari ya ulimwengu wa sasa? Hakika tupo nyuma

kidadari

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
8,647
Reaction score
9,604
Mfumo wa utengenezaji magari duniani umebadilika miaka ya karibuni kutoka kwenye full mechanical kuwa advanced technology jambo ambalo ni changamoto kubwa kwa nchi zinazoendelea ambazo kwa kiasi kikubwa zinategemea magari mitumba (used).

Miaka ya 90 kurudi nyuma magari mengi yalikua hayasumbui sana na spea zake zilikua simple sana kama Land rover 109, Toyota Staut,n.k pia system zake sio complicated kama magari ya sasa. Kuna lawama sana mtaani kuwa gari flan mbovu , gari flan mifumo yake ya umeme ina matatizo ila ukweli ni kuwa kama gari zimeuzika sana ulaya na Asia kwa miaka 10 zina ubora ila life span yake inakaribia ukingoni! Magari ya miaka ya90 kurudi nyuma yalitengenezwa kwa imara na kuhimili barabara mbovu pia materials imara kudumu miaka mingi.

Gari za sasa ili zisikusumbue sana unatakiwa MPYA au au iliyotumika kidogo,La sivyo ukinunua hizi gari kama mtumba lazima zikusumbue.
Gari kama hizi zinatusumbua kwa sababu hatujajiandaa kwa magari ya ulimwengu wa sasa!! Vyuo vyetu vya ufundi bado wanatumia mitaala ya1970's


Wachina wanatumia fursa hii kupiga hela maana sisi bado tumelala
 
Elimu
Elimu
Elimu

Wenzetu wanafundishana kukabiliana na mazingira halisi waliyonayo ili yawawezeshe kuishi maisha yajayo.

Elimu yetu mpaka sasa tunashindanisha watu KUKARIRI maandishi.

Zililetwa D4 engine hapa ikawa mtafutano, si tumekariri zile tulizojifunzia.
Unapeleka gari gereji kwaajili ya Preventive Maintenance, unashangaa hata mwaka mzima, utafanyiwa vile vile; hakuna anayejali kuwa gari ina 150,000km, 10,000km, zote ni sawa tu kwao, kwanini? Tumekariri!
 
Elimu
Elimu
Elimu

Wenzetu wanafundishana kukabiliana na mazingira halisi waliyonayo ili yawawezeshe kuishi maisha yajayo.

Elimu yetu mpaka sasa tunashindanisha watu KUKARIRI maandishi.

Zililetwa D4 engine hapa ikawa mtafutano, si tumekariri zile tulizojifunzia.
Unapeleka gari gereji kwaajili ya Preventive Maintenance, unashangaa hata mwaka mzima, utafanyiwa vile vile; hakuna anayejali kuwa gari ina 150,000km, 10,000km, zote ni sawa tu kwao, kwanini? Tumekariri!
mkuu yajayo yanatisha maaan dunia inaenda kasi sana sisi bado tupo full mechanical!!! unmpelekea fundi gari bila hata kuliangalia anakuambia haya magari mifumo yake ya umeme ina matatizo wakat gar zimetumika ulaya miaka 10!!
 
Ununuaji wa magari mapya yameongezeka kwa kiasi kikubwa sana.
Service na Maintanance watu wanafanya kupitia kwa dealer.
Mambo ya kupelekea kwenye garage za mitaani yatakwisha.
 
Watu siku hizi wameamua kununua mpya kabisa ili wasisumbuke, anatumia miaka 3 anaiuza kwa bei nzuri sana
 
Ununuaji wa magari mapya yameongezeka kwa kiasi kikubwa sana.
Service na Maintanance watu wanafanya kupitia kwa dealer.
Mambo ya kupelekea kwenye garage za mitaani yatakwisha.
wa kisasa wapeleke kwa dealer.. mi na '94 datsun yangu acha tuingie mtaani
 
mkuu yajayo yanatisha maaan dunia inaenda kasi sana sisi bado tupo full mechanical!!! unmpelekea fundi gari bila hata kuliangalia anakuambia haya magari mifumo yake ya umeme ina matatizo wakat gar zimetumika ulaya miaka 10!!

Yapo magari ukweli ni kuwa mfumo wake wa umeme upo complicated. Gari zenyewe zipo complicated. Na hasa BMW na MB. Hawa jamaa magari yao yamejaa umeme, usishangae ukikaa vibaya tu kwenye siti gari haiwaki tena 😀 😀 😀 mpaka uende kwa dealer.
 
Yapo magari ukweli ni kuwa mfumo wake wa umeme upo complicated. Gari zenyewe zipo complicated. Na hasa BMW na MB. Hawa jamaa magari yao yamejaa umeme, usishangae ukikaa vibaya tu kwenye siti gari haiwaki tena 😀 😀 😀 mpaka uende kwa dealer.
Ni sahihi kwan ukikaa vby safety belt utafungaje?
 
Ni sahihi kwan ukikaa vby safety belt utafungaje?
ata ukiweka mguu juu belt inafungika vizuri tu. Na hapo nimetumia utani mkuu, basi itakuwa sahihi uende kwa dealer afanye maintainance gari yako iwake kisa tu ulikaa vibaya ikakataa kuwaka tena ata ulivokaa vizuri.
 
Wabongo ya hybrid yanawatoa nishai watayaweza haya ya full electrical




 
Back
Top Bottom