Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Kaua tembo kwa ubua, wapo watu wameshikwa pabaya.Na kadiri habari ilivyoenea ikawa rahisi kuwabaini key players,na wengine kwa ujinga wakajiongeza ili wasikoze kuteuliwa kwenye serikali hewa waliobuni au kutafuta misifa.
Bora wangechunguza kwanza habari hizo,na wakajiridhisha ndio watoe unoko wao.
Lakini kiherehere cha kuwa wa kwanza kutoa breaking news wamejichimbia kaburi.
Ghafla wamekuwa wadogo kama pilitoni.
 
Wale 900 wa gamboshi kama walishindwa zuia upepo wa kisurisuri nini faida yao si bure kabisa
 
Wale mabalozi walioteuliwa na Kapilimba wao wameshaapa?
Wale wanatafutiwa nchi, huyu aliyeapishwa haendi nje ya nchi bali amepewa cheo cha ubalozi ili aweze kuongea na mabalozi akiwa balozi katika kumsaidia Mh Rais. Nilimsikia Mh akidokeza hivyo
 
Ah ah mlitarajia haseme nini?? Hamjui kuwa apo ndo kwenye shithole aka bomba aka mrija unaompa salali???
 
Ameolewa huyu Ummy?. Please pleasr ndg zangu mnipe info nataka kufunga safari kuja Dar mapema wiki ijayo.
 
Bado watu mnaendelea na ramli!!? Kama ambavyo watu walipiga ramli kuwa Mh. Rais kalazwa German/kafa,ndivyo wengine wanavyopiga ramli kuwa kuna watu watakiona cha moto!. Kwa nini watanzania mnakuwa na mawazo hasi hasi tu!?
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Yupo Kazini Saa Zote Waliomuombea Mabaya Wanatoka Jasho Mpaka Sasa Hivi Miili Umelowa
 
Uko vizuri
 
chuma ndio nani?? kwanini wanajipa majina ya kipuuzi?
 
Chuma ni mgonjwa

Aliongea kigonjwa sana ile siku anaapisha kitu ambacho si kawaida yake

Kwanza angekua mzima angejibu mapigo mpenda sifa yule


Kwa hiyo hoja ya kuwa yupo Ujerumani kwa matibabu bado ipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…