Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Ho
Kila kitu Lissu,[emoji57][emoji57][emoji57] huyo lisu bwana ako? Au kakutelekeza na mimba? Tanzania Ni zaidi ya unavyoifikiria!
Lisu ni mwakilishi wa wananchi, au unataka kila mwananchi apigwe risasi ndiyo utaelewa? Watu wengine mnashangaza sana
 
unalazimisha maoni yako kwenye kichwa changu.

Sijakili kuwa ameonewa but am showing a possibility ya kuonewa kama ipo.

Kuna wapinzani sio walopokaji... Sugu ana lugha ya kitaa ila smart. Prof J. Mbowe... Sio kwa hili tu ila ni wanasiasa smart.

Sina ushahidi wa nani anakomolewa ila ukivunia sheria utapapaswa na serikali.

Kwani ni lazima ww ukiri ndio iwe kweli wanaonewa? Hao waropokaji wako upinzani tu? Je waropokaji walioko ccm wao huwa wanachukuliwa hatua gani? Au sheria ni kwa ajili ya wapinzani tu?
 
daah sijaamini yani kuna wananchi walifurah sana raisi wa nchi kuumwa yani kuna wengi sana wasiompenda Jamaa aisee
Kuugua ni kawaida mwanadamu yeyote, na pia kufa ni kawaida kwa mwanadamu yeyote akiwemo yeye,kama alivyosababisha wengine wakafa sio jambo la ajabu nae akiwafuata huko akina Akwilina
 
Na wewe unaye ijua katiba una fanya nini? Ina maana wewe nawe huswagwi kama huyo ng'ombe wa mnadani? Mbona sote tuko kwenye meli moja?

Kwa jinsi unavyo jipa jipa ina onyesha dhahiri kuwa wewe ni masikini mkubwa sana wa akili. Huna unacho kifanya katika maisha yako zaidi ya kuburuzwa na fictive stories za kwenye social Media?

Huna wajibu mwingine wa kulijenga taifa lako? Angalia usije ukapoteza mda wako wa thamani kwa wenzako walio navyo!

Fatima Karume na Maria Sarungu wenzako wazazi wao walikwisha wawekea misingi ya maisha! Mwenzangu vipi nawe upo kwenye kundi hilo?

Mimi sijapatiwa chochote na wazazi wangu ili nimepambana kiume na nina kipato cha kati. Sitegemei msaada wa mtu yoyote hapa nilipo. Mimi siburuzwi maana najitambua. Halafu ww ni nani wakunipangia maisha? Ww ni muuza face tu unayetegemea wanaume wenzako wakupelekee watoto chooni.
 
Katika uchaguzi wowote ule. Hata kama watu watatu tu watajitokeza huyo mmoja wao atakaye chaguliwa na hao wawili ameshinda. Wale wasio jihusisha itakuwa ime kula kwao. That is the principle. Humkomoi mtu unajikomoa mwenyewe kwa ujinga wako.

Tumia nafasi yako kumchagua mtu unaye ona anafaa.

Ukiona mtu mwenye akili timamu anaenda kwenye mechi iliyopangwa matokeo, ujue hiyo ni mpuuzi kama mpuuzi yoyote.
 
Tathmini hadi sasa ni kuwa kuna sintofahamu , ni bora kusema tu kuwa mkubwa kapewa mapumziko .......lile tukio la Lindi la Moshi kumfunika linahitaji utafiti wa hali ya juu ,kujua what was happening na ilikuwa na lengo gani ..
Kiukweli ana kazi ngumu na kazungukwa na maadui
 
Weka sawa kwanza,

je, hapakutokea sintofahamu yoyote kule Rwangwa?

Ile video inayoonesha watu wakisukumwa na wanausalama wa rais ni ya kweli au ya uongo?
that was attempt againts him , time will tell na inasikitisha sana kuwa kuna watu wanataka ku cover up.....tunataka wananchi waambiwe nini kilitokea pale ????
nani walihusika , hata kama ni uchawi tujuwe ..... to what is going on Kigogo had an hint tatizo lake ni kuwa amekuza sana mambo na kumtakia mkuu wetu mabaya lakini haiondoi ukweli kuwa something fishy was happening against our leader ...
Ni unafiki mkubwa kuhubiri kuwa maadui wa mkubwa ni wapinzani wakati "kikulacho kiko nguoni mwako '
mpinzani gani alikuwa na access ya kulipua tear [chemical attack] ndani ya gari ya mkubwa ....Tusidanganyane hapa ......watu wanajifanya ccm kumbe wauwaji wakubwa !!!
 
Natumaini ni mzima wa afya na pia ninaamini hivyo, japo mengi yamesikika kuhusu wewe lakini sijatia shaka nayo, maana wewe ndie ujuaye ukweli ndugu yangu John.

Moto unawaka, tena sanaa na unaendelea kuwaka lakini amin very soon na wala haitazidi tarehe 29 ya mwezi huu wa October 2019 utazima, ilipaswa iwe hivyo na imekua ili agano litimie na kwa utimilifu wake utatimia pia, na amani ya bwana Mungu wako iwe pamoja nawe kila eneo na wakati wake.Sasa na hapo ulipo ni wasaa wa kukumbuka kumbukumbu zako, zikumbuke sana.

Je unaamini ya kuwa una marafiki? Je, unaamini pia yakuwa una maadui? Hapana, hapana, hapana kabisa mkuu wangu hebu jaribu tena kuwakumbuka marafiki zako. Jaribu tena pia kuwakumbuka maadui zako, je si ukweli kwamba marafiki sio rafiki wala maadui sio adui? tunza sana siri hii ndani ya moyo wakona ufanye kwa utimilifu wake yale yote bwana Mungu wako aliyokupa uyafanye wala usitie shaka kuhusu baya wala zuri.

Do it John,make it Joseph,do your duty pombe and our gods may bless you forever and ever Magufuli.

#AMOUN:
 
that was attempt againts him , time will tell na inasikitisha sana kuwa kuna watu wanataka ku cover up.....tunataka wananchi waambiwe nini kilitokea pale ????
nani walihusika , hata kama ni uchawi tujuwe ..... to what is going on Kigogo had an hint tatizo lake ni kuwa amekuza sana mambo na kumtakia mkuu wetu mabaya lakini haiondoi ukweli kuwa something fishy was happening against our leader ...
Ni unafiki mkubwa kuhubiri kuwa maadui wa mkubwa ni wapinzani wakati "kikulacho kiko nguoni mwako '
mpinzani gani alikuwa na access ya kulipua tear [chemical attack] ndani ya gari ya mkubwa ....Tusidanganyane hapa ......watu wanajifanya ccm kumbe wauwaji wakubwa !!!
Well said kiongozi!👍🏽
 
Kwenye video, kuna sauti ambazo nadhani ni za wanausalama, wakisema kitu kuhusu “Fire extinguisher”. Ina maana hawakuwa na uhakika wa chanzo cha huo moshi.
 
Zitto ana roho ya kishetani

Zitto ni Kiongozi ni mbunge anashabikia kifo cha kiongozi wa Nchi

Na bado kuna watu wanamwamini ati anaipigania nchini?

N
Mbona CCM wengi ndiyo walifurahia kuliko wapinzani na bado mnakiamini CCM kuendelea kuongoza nchi?
 
Kwenye video, kuna sauti ambazo nadhani ni za wanausalama, wakisema kitu kuhusu “Fire extinguisher”. Ina maana hawakuwa na uhakika wa chanzo cha huo moshi.

Moshi wa kichawi ulitengenezwa na akina cyprian Musiba kwa lengo la kumsingizia membe wapate kumchonganisha na magufuli afanyiziwe balaa ili cyprian Musiba aokoke na kesi iliyomlemea huko mahakamani
 
Urais ni taasisi takatifu nchini haitakiwi kuchezewa na kuwa ya kujaribu watu. Iishi kuwa takatifu na iwe inafanya mambo yake kwa uwazi zaidi. Taarifa zake ziwe halisi na kamwe zisilete taharuki kwa wananchi wake
 
Mkuu;
Huyu ni kiongozi mkuu wa nchi yenye wananchi zaidi ya milioni 55. Hakuna ubushi kuwa katika wananchi hao lazima kuna wengine atawakwaza tu. Kuombewa kifo haina maana anachokifanya ni makosa? Mbona hata mitume kwenye vitabu vya dini ambao walikuwa humble lakini waliombewa kifo wengine wakauwawa?

Ndio maana Marais wanapewa walinzi wenye siraha kwa sababu wanajua kuna watu wanapenda wauwawe.

Kwangu hoja eti ni ajabu kuona Rais anaombewa kifo inanishangaza sana kwa sababu sio kitu cha ajabu kutokana na nature ya kazi zake.

CCM walioathirika na utumbuaji hawampendi na pia CCM waliokosa fursa za neema hawampendi kabsa, huko CCM ana maadui wengi kuliko sehemu zingine Nchini
 
Kwani ni lazima ww ukiri ndio iwe kweli wanaonewa? Hao waropokaji wako upinzani tu? Je waropokaji walioko ccm wao huwa wanachukuliwa hatua gani? Au sheria ni kwa ajili ya wapinzani tu?
CCM hawampendi magufuli kuliko wapinzani
 
Back
Top Bottom