Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Mwambie ajirekebishe vitendo vyake anajibiwa kama vitendo vyake vilivyo.
 

Mtajifunza jambo. Hapendwi wala hawamtaki.
Huo ndio ujumbe, mengine ni mambo ya kibinadamu tu.
 
Tabia ya kupenda "Yakusikia" ni tabia ya mtu mvivu kutafakari. Upepo wa Rumour mongers utakuteka tu. Ati daktari wa Rais ni bingwa wa wamama ni kutania Taasisi ya Urais na sina uhakika kama unajua taaluma ya Mahiga, usiwe mvivu tafuta. Rais hakuwa peke yake ziarani, Waandishi kibao hakuna aliyeandika wala kuripoti madhira ya Rais, achia mawaziri, wabunge hadi wa upinzani, achia mbali madereva, walinzi na wananchi. Leo uamini ya Kisiki ati moshi umemuua Rais.
 
Toka Jumapili jioni leo ni jumatano siku ya Tatu hajainekana tena hadharani alafu kuna watu hapa hawataki watu wawe na mashaka ; mashaka ni hisia hazizuiliki!!
Kwani tabu iko wapi kusema yuko mapumzikoni au mgonjwa au ana uchovu ???

Wote waliopita haikuawahi kuwa ajabu
Nyerere alikua anachukua off hadi mwezi Mzima anakaaa Butiama ; au ikulu za Lushoto ; Arusha ;Kituli ; Mwanza au chamwino
The same Mwinyi ;Mkapa na Kikwete ambaye kabisa mnaambiwa yuko Serengeti anakula “bata” kupumzika

Let’s kill romours
 
Mtajifunza jambo. Hapendwi wala hawamtaki.
Huo ndio ujumbe, mengine ni mambo ya kibinadamu tu.
Ukiona kila mtu anakupenda ujue una kasoro. Na ntashangaa kama mtu amepewa uongozi ili kutafuta kupendwa
 
nimecheka sana. yakusikia kwako ni yapi? imani huja kwa kusikia na kusoma. nilipokuwa shule nilikuwa nasubiri ya mwalimu na kidogo naangalia kwenye ziada. sasa hivi nakuwa bombarded by news of all sorts. nina system of sorting the news - fake inclusive. hunitendei haki kuniweka kundi la mvivu. kama vile umeambukizwa na unayemtetea arrogance na much know. very sad. i don't claim to be omniscient, God forbid. kuna ninalojua. nikisema najua hakika najua!
kutania taasisi ya urais siwanii. nijuze kuhusu ngwale. kuhusu mahiga hata akiwa injinia, kwa uhakika ni seasoned diplomat. huthubutu kusema in the address of kabudi. na kuna mambo yameishaanza kuonekana siyo. even by nature he's not diplomatic. diplomats evade evasiveness. there lies his failure!
hakuna aliyeandika wala kuripoti. that's the irony of the whole saga! hata wewe ulikuwa wapi kutujuza haya kwa wakati. kama mchezo wa kupokezana kijiti wa aina ya ajabu sana. mliacha wakimbie siku tatu. mlipopokea kijiti mnakimbia kwenda walikotokea- opposite direction. damage done. walisema kuipiga iraq na kuijenga. what rationale? wameshindwa miserably! the same fate awaits you. naona kwa siku tatu haikuwa sensorship but restriction of news from your side. kukumbuka shuka kumekucha!
r
 
Funzo kubwa ni kwamba taifa limegawanyika. Watu waliopaswa kutuunganisha wanatugawa zaidi.
 
Tatizo ubongo wako haujai kisoda. Hapa siyo mahali pako, nenda kwenye magazeti ya Tanzanite. Hapa panahitajj Great thinkers tu siyo Buk 7 kama wewe. Get out of here asap
Kwahiyo mkuu great thinker ni wale wakazi wa ufipa?
 
Mkuu;
Ninakubaliana kwa kiwango kikubwa na angalizo lako lakini kwenye suala la kujenga umoja katika nchi za Afrika zenye vyama vingi haiwezekani hasa kama nchi ilikuwa katika utawala wa siasa za kijamaa kabla ya mageuzi ya vyama vingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…