Baba pole sana kwa majukumu mazito ya kuliongoza Taifa hili, na pole sana kwa Uvushi na uvumi kuhusu Uhai na afya yako.
Mtego huu umewanasa wapinzani, wanaccm na wasio na vyama na umeacha funzo kubwa sana kwetu kama Taifa .
Mimi mwana team yako nakuomba tu uwasamehe wote maana hawakujua walitendalo
Pia nakuomba uwasamehe na usilipize kisasi maana Biblia Takatifu inatamka 'Kisasi ni cha Bwana' Warumi 12:19.
Ingawa Kuna maamuzi utafanya katika nafasi Fulani Fulani, lakini tenda kwa utulivu mkubwa tena pale inapobidi.
Kwingineko unaweza kupotezea ili wajifunze zaidi na kubadilika.
Nakuombea afya njema na nguvu, usikatishwe Tamaa na haya yaliyotokea.
Mtego huu, umekudhihirishia marafiki wa kweli na wanafiki hivyo usiutumie kuadhibu Bali kuboresha na kuimarisha palipo nyufa. Mwenyezi Mungu akubariki sana
Mtego huu umewanasa wapinzani, wanaccm na wasio na vyama na umeacha funzo kubwa sana kwetu kama Taifa .
Mimi mwana team yako nakuomba tu uwasamehe wote maana hawakujua walitendalo
Pia nakuomba uwasamehe na usilipize kisasi maana Biblia Takatifu inatamka 'Kisasi ni cha Bwana' Warumi 12:19.
Ingawa Kuna maamuzi utafanya katika nafasi Fulani Fulani, lakini tenda kwa utulivu mkubwa tena pale inapobidi.
Kwingineko unaweza kupotezea ili wajifunze zaidi na kubadilika.
Nakuombea afya njema na nguvu, usikatishwe Tamaa na haya yaliyotokea.
Mtego huu, umekudhihirishia marafiki wa kweli na wanafiki hivyo usiutumie kuadhibu Bali kuboresha na kuimarisha palipo nyufa. Mwenyezi Mungu akubariki sana