Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Kwani upinzani ni chadema tu kwanini mnapuuzia vyama vingine kama NLD na NCCR Mageuzi wamo lakini hawavumiiiiiii!

CCM wengi hawampendi magufuli kuliko wapinzani
 
Nilichojifunza katika taharuki hii ni kuwa Watoto wa waliowahi kuwa viongozi wakubwa katika nchi hii, hawana mahusiano mazuri na wazazi wao. Yawezekana wamechokwa ama wametengwa na mambo yao. Haiwezekani mtoto wa aliyewahi kuwa waziri au Rais ashindwwe kuwasiliana au kuomba kuthibitishiwa na mzazi wake kuwa amesikia hili kuhusu Rais wa nchi, badala yake amuamini Kisiki cha mpingo.😀😀
 
Kwani upinzani ni chadema tu kwanini mnapuuzia vyama vingine kama NLD na NCCR Mageuzi wamo lakini hawavumiiiiiii!

Yaaani ushuzi wajambe wao wasingizie Chadema , wauwaji wakubwa .....chadema gani anaweza hata kuwa na access ya kumkaribia sembuse kulipua kitu au kuleta moto kwenye gari....
 
CCM wengi hawampendi magufuli kuliko wapinzani
Wakitokea hapa wote wanasifia na kushangilia mafanikio ya Rais J. P. Magufuri tena kwa kumtaja jina kwa kila kitu utafikiri ndo sala ya kila wakati. Subiri aingie mwingine, watajisahau watataja magu bila kujua.
 
Miaka ya nyuma nilipokuwa Mwanaharakati nilikuwa na navutiwa sana na sera za vyama vya Upinzani kwa jinsi walivyokuwa wanajenga na kuziwasilisha hoja Bungeni ama kwa Wananchi


Rais Magufuli amejitajidi kwa kiwango kikubwa sana kutekeleza yale yote ambayo yalikuwa yanapigiwa kelele na vyama Upinzani, Ambao sie wengine tulikata tamaa kwamba ndani CCM hawezi kuja kutokea Kiongozi sampuli hii ya Rais Magufuli

Kitendo cha baadhi ya Watanzania wenzetu kwa nia zao ovu kumzushia Kifo au Maradhi Mh Rais Magufuli sio uungwana na kinapaswa kulaaniwa na kila Mtanzania


Tunafahamu Rais Magufuli jinsi anavyofanya kazi kubwa kwenye Taifa hili.Kiasi kwamba kuna baadhi wamamchukia kwa kusimamia ukweli, Lakini zaidi kuzuia Ufisadi mkubwa uliokuwa unafanyika eidha kwenye Serikali Kuu au Halmashauri achilia mbali Mikataba ya hovyo


Kwa maana nyingine wamekosa hoja zenye mashiko kwahiyo wamebakiza siasa za maji taka za kuzushiana vifo au magonjwa


Wanatanzania bado wanamhitaji sana tena sana Rais John Pombe Magufuli kwa zama hizi ili Taifa letu liweze kupiga hatua kwenye medani zote


Mwisho tunasimama na maandiko matakatifu kwenye Biblia Kitabu cha ZABURI SURA 35 kwaajili ya Kiongozi wetu mpendwa Rais Magufuli

Alex Fredrick
Dodoma




tapatalk_1556551698962.jpeg
 
Miaka ya nyuma nilipokuwa Mwanaharakati nilikuwa na navutiwa sana na sera za vyama vya Upinzani kwa jinsi walivyokuwa wanajenga na kuziwasilisha hoja Bungeni ama kwa Wananchi


Rais Magufuli amejitajidi kwa kiwango kikubwa sana kutekeleza yale yote ambayo yalikuwa yanapigiwa kelele na vyama Upinzani, Ambao sie wengine tulikata tamaa kwamba ndani CCM hawezi kuja kutokea Kiongozi sampuli hii ya Rais Magufuli

Kitendo cha baadhi ya Watanzania wenzetu kwa nia zao ovu kumzushia Kifo au Maradhi Mh Rais Magufuli sio uungwana na kinapaswa kulaaniwa na kila Mtanzania


Tunafahamu Rais Magufuli jinsi anavyofanya kazi kubwa kwenye Taifa hili.Kiasi kwamba kuna baadhi wamamchukia kwa kusimamia ukweli, Lakini zaidi kuzuia Ufisadi mkubwa uliokuwa unafanyika eidha kwenye Serikali Kuu au Halmashauri achilia mbali Mikataba ya hovyo


Kwa maana nyingine wamekosa hoja zenye mashiko kwahiyo wamebakiza siasa za maji taka za kuzushiana vifo au magonjwa


Wanatanzania bado wanamhitaji sana tena sana Rais John Pombe Magufuli kwa zama hizi ili Taifa letu liweze kupiga hatua kwenye medani zote


Mwisho tunasimama na maandiko matakatifu kwenye Biblia Kitabu cha ZABURI SURA 35 kwaajili ya Kiongozi wetu mpendwa Rais Magufuli

Alex Fredrick
Dodoma




View attachment 1240902
Umeamua kutusemea watz wewe kama nani? Jiheshimu acha kujifanya hamnazo. Ongelea wewe kama wewe au wewe na familia yako
 
Nimejifunza kiongozi huyu hapendwi kabisa na wananchi wake! Walifurahia sana kuwa bora anaewanyanyasa na kujiona mungumtu kaondoka!
nisaidie kuwauliza hao wazalendo, wapenda rais wa wanyonge na maskini katika nchi tajiri inayonunua ndege kumi kwa mkupuo na kwa cash, rais hizo siku mbili za uzushi kilimsibu nini na alikuwa wapi? ziara ya kusini iliishaje kama iliisha? wasipojibu wapuuze na kuachana nao just classify them as simple brains!
 
Nakutunukia PhD ya upumbavu ya kiwango cha korosho. Kwa sababu una mungu wako binafsi. Tuache na Mungu wetu anayetenda haki kwa wakati wake unaompendeza.

Kumshambulia mtu kama Zitto umechemsha kwa sababu kuna wengi zaidi ya Zitto huyu wanaojua mapungufu ya mtu wako. Narudia Mungu wa Kweli na wa haki ameshampima mtu wako hatoshei.

Nyani haoni kundule. Katika post yangu sijatukana mtu uwe na adabu. Pinga kwa hoja. Sihitaji kutaja wengine. Mie nimemtaja Zito kwa sababu nazozielewa hivyo usinipangie. Matusi nayajua sana ila sijaamua kukutukana kama weye ufanyavyo. Natumia ustaarabu niliofunzwa na wazazi wangu. Barikiwa sana.
 
Nilichojifunza katika taharuki hii ni kuwa Watoto wa waliowahi kuwa viongozi wakubwa katika nchi hii, hawana mahusiano mazuri na wazazi wao. Yawezekana wamechokwa ama wametengwa na mambo yao. Haiwezekani mtoto wa aliyewahi kuwa waziri au Rais ashindwwe kuwasiliana au kuomba kuthibitishiwa na mzazi wake kuwa amesikia hili kuhusu Rais wa nchi, badala yake amuamini Kisiki cha mpingo.😀😀
hizo siku mbili rais wetu kipenzi alikuwa wapi na akifanya nini? kila mmoja anajitahidi kutafuta mchawi! kifaurongo tueleze kinagaubaga angalau leo rais wetu nini kilimsibu. nasema leo maana hizo siku mbili zilizopita hukutuambia lolote. unayemwita kisiki katuambia lake, ukaufyata ukijua si kweli. tukamwani. unatulaumu nini? wewe ndio mbaya kukalia ukweli wakati ulitakiwa sana ili uzushi usisambae. sasa hivi kila kifaurongo: nilijua wataumbuka. nakumbuka neno: asiyekuumba kukuumbua hawezi. kwenye kanga hakuna, mwe!
 
Nyani haoni kundule. Katika post yangu sijatukana mtu uwe na adabu. Pinga kwa hoja. Sihitaji kutaja wengine. Mie nimemtaja Zito kwa sababu nazozielewa hivyo usinipangie. Matusi nayajua sana ila sijaamua kukutukana kama weye ufanyavyo. Natumia ustaarabu niliofunzwa na wazazi wangu. Barikiwa sana.
Tukana tu maana huelewi kuwa hiyo unayoita hoja yako ni upopoma maana husitahamili changamoto za mtazamo mbadala kwa hoja yako chonganishi.
 
hizo siku mbili rais wetu kipenzi alikuwa wapi na akifanya nini? kila mmoja anajitahidi kutafuta mchawi! kifaurongo tueleze kinagaubaga angalau leo rais wetu nini kilimsibu. nasema leo maana hizo siku mbili zilizopita hukutuambia lolote. unayemwita kisiki katuambia lake, ukaufyata ukijua si kweli. tukamwani. unatulaumu nini? wewe ndio mbaya kukalia ukweli wakati ulitakiwa sana ili uzushi usisambae. sasa hivi kila kifaurongo: nilijua wataumbuka. nakumbuka neno: asiyekuumba kukuumbua hawezi. kwenye kanga hakuna, mwe!
Mimi nilisikia kanusho la serikali na kuliamini, ninyi ambao taarifa zinazotolewa na serikali huwa hamkubaliani nazo mliendelea kuropoka😁😁 Nilijua mtakuja kudharirika.
 
Mimi nilisikia kanusho la serikali na kuliamini, ninyi ambao taarifa zinazotolewa na serikali huwa hamkubaliani nazo mliendelea kuropoka😁😁 Nilijua mtakuja kudharirika.

Toka Ijumaa hadi jumapili jioni kimya na akatokea mara moja jumapili Jioni baada ya hapo tena kimyaaaa hadi leo Jumanne tunaendelea kuona ukimya .......hao wanaojiita 'ccm' watuambie walimfanya nini rais wetu pale kwenye lile gari , tatizo lilianza pale , vinginevyo wakae kimya na wajue 'kikulacho kiko nguoni "
 
Toka Ijumaa hadi jumapili jioni kimya na akatokea mara moja jumapili Jioni baada ya hapo tena kimyaaaa hadi leo Jumanne tunaendelea kuona ukimya .......hao wanaojiita 'ccm' watuambie walimfanya nini rais wetu pale kwenye lile gari , tatizo lilianza pale , vinginevyo wakae kimya na wajue 'kikulacho kiko nguoni "
Weye uliona ile clip iliyokatwa ikionyesha moshi tu. Uswe unakubali kulishwa tango pori, angalia yote youtube uone kilichoendelea ubaini kilichokusudiwa ukataji wa hiyo clip. Huamini basi amefariki subiri ukamzike😂😂😂
 
Weye uliona ile clip iliyokatwa ikionyesha moshi tu. Uswe unakubali kulishwa tango pori, angalia yote youtube uone kilichoendelea ubaini kilichokusudiwa ukataji wa hiyo clip.
Hakuna mzalendo anayeweza kutetea ujinga na uzembe uliotokea pale .......
 
Back
Top Bottom