Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Hakuna mropokaji aliyechukuliwa hatua.
Hata waliozusha kuwa JPM amefariki hawajaguswa. Real demokrasia.

Ila inadumaza upinzani kwakuwa wananchi wanapoteza trust. Wapinzani tunaonekana wajinga na wenye roho mbaya.
Kwani ni lazima ww ukiri ndio iwe kweli wanaonewa? Hao waropokaji wako upinzani tu? Je waropokaji walioko ccm wao huwa wanachukuliwa hatua gani? Au sheria ni kwa ajili ya wapinzani tu?
 
Hakuna mropokaji aliyechukuliwa hatua.
Hata waliozusha kuwa JPM amefariki hawajaguswa. Real demokrasia.

Ila inadumaza upinzani kwakuwa wananchi wanapoteza trust. Wapinzani tunaonekana wajinga na wenye roho mbaya.

Unachekesha walionunua, hao wananchi hawajui yaliyomkuta Lissu na anayenyooshewa kidole, ndio wapoteze trust na hao wapinzani walioonyesha hisia zao kwenye huo uvumi? Mwenye roho mbaya anafahamika maana hao wananchi sio wajinga wa hivyo, japo wako kimya kwa usalama wao.
 
Punguani wewe! Hao watu wameuawa kwenye awamu gani ya Serikali? Waliomshambulia Lissu mchana kweupe tena katika makazi ya Vigogo, uchunguzi wao umefikia wapi? Wewe unapaswa kuendelea kugombea "remote" na watoto wa dada yako tu, haya mambo huyawezi.
Na bado stupid dog there will be hell to pay wazushi wote subirini... nincompoop
 
Kilichotokea lile eneo ulikiona nihalali moshi kutokea eneo hawajawasha moto
 
Weye uliona ile clip iliyokatwa ikionyesha moshi tu. Uswe unakubali kulishwa tango pori, angalia yote youtube uone kilichoendelea ubaini kilichokusudiwa ukataji wa hiyo clip. Huamini basi amefariki subiri ukamzike😂😂😂
usikimbilie kumzika ingawa kwa wengine aliishazikwa zamani. akitokea tbc wanabadilisha channel. akisikika kwenye radio wanabadili kituo. wakiona picha yake wanatema mate. waliishasoma arobaini yake.
nilikuomba ueleze rais wetu mpendwa alipatwa na nini hizo siku mbili. serekali ilikanusha lini na wapi na nini? kwamba hakufa au akuumwa? tuwekee hilo kanusho na akina tomaso tulione!
 
usikimbilie kumzika ingawa kwa wengine aliishazikwa zamani. akitokea tbc wanabadilisha channel. akisikika kwenye radio wanabadili kituo. wakiona picha yake wanatema mate. waliishasoma arobaini yake.
nilikuomba ueleze rais wetu mpendwa alipatwa na nini hizo siku mbili. serekali ilikanusha lini na wapi na nini? kwamba hakufa au akuumwa? tuwekee hilo kanusho na akina tomaso tulione!
Kwa uliyoyaandika hata ukionyeshwa ushahidi utatema mate, ukiambiwa alikuwa amejifungia anapanga safu, pamoja na kuona matokeo utapuuza kwako ni kazi ndogo. Watu wanaoshinda kwenye keyboard ukitoka unatoka umechoka na unalala fofo, ndio wenye mdomo wa kudharau mapumziko ya mtu aliyekuwa kazini kwa ziara ndefu ya mikoa mitano bila kupumzika. Toka Songwe, S/wanga, Mpanda, Ilonga-Tabora, Katavi to Dodoma, Lindi to Mtwara. Huwezi kuona sababu kwa kazi anazozifanya zinakutia kichefuchefu😁😁
 
Sasa Hapo ndio mgawanyiko unapoanzia ukisema Chadema wajinga kushabikia matatizo ya kiafya ya Rais tambua kuwa pia wapo wana ccm walikua wanachekea Chooni tena hao ndio Wanga kabisa wanaomtakia mabaya Rais wetu na anakula nao
Tambua kuwa wanaoumia na hatua Kali za Rais ni wana ccm waliokuwa wanafaidika na ufisadi kuliko hao Chadema Kwa sababu wao hawajawahi kunusa utamu wa ufisadi SERIKALI

Chadema pia wana hoja kuwa ccm walishamgilia matatizo ya TUNDU LISU na hata kushangilia anyimwe matibabu

Kimsingi pande zote mbili zimekosea na ni muhimu kuzika tofauti na kukubaliana kuishi kwa msingi ya Utanzania na sio kuendeleza chuki
Wote tumeona tumefikia mahali pabaya Sana
Unagawanyika na nani?
 
Me i fully eleive that magufulis health is not RIGHT NEITHER IS IT OKAY, infact if you follow very carefully what he has been saying when going around the country you will discover that his MENTAL STATE IS UNSTABLE. have you heard what he has been talking at those places, times sacking people simply coz they are not in his convoy (like takukuru boss of mtwara, without first finding out if this boss is either sick or) telling a certain water engineer do you want this people to drink your urine? telling a certain woman who asked for water that she should go and request water from her husband, the list is endless, truth be told, MAGUFULI IS SICK BOTH MENTALLY AND HEALTH WISE PERIOD, i support those who share my views,
Fuckin views!
 
Au ilikuwa ni drill ikilenga kuangalia kiwango cha usiri huko jumba jeupe kwa sasa na kuona mapokeo ya watu kama taarifa ingekuwa ya kweli. Ila kiukweli kupitia mitandao idadi kubwa ya watu walionyesha kufurahia taarifa ya awali. Inasikitisha sana.
Wengi wangapi kwa namba?
 
Kitu ambacho hujajua ni kwamba wanaompenda Magufuli, na wanaomuombea heri walikuwa kimya wakisubiri taarifa rasmi kutoka Ikulu, na ndio maana live streaming ya Ikulu ilijaa comments nyingi za shwangwe na furaha baada ya watu kumuona Rais wetu pendwa. Ila tu ole wao kwa waliovumisha huu uzushi, wanaweza wakadhani watapambana na vyombo vya dola tu, wakasahau kuwa kuna wananchi wengi wenye hasira nao.
Ni kweli mkuu
 
Kwaiyo ile habari ilikuwa ni uzushi? kama ndio wakuu ebu naombeni uthibitisho na mm niamini asee maana uku wasiwasi bado ni mkubwa sana
 
Kwa uliyoyaandika hata ukionyeshwa ushahidi utatema mate, ukiambiwa alikuwa amejifungia anapanga safu, pamoja na kuona matokeo utapuuza kwako ni kazi ndogo. Watu wanaoshinda kwenye keyboard ukitoka unatoka umechoka na unalala fofo, ndio wenye mdomo wa kudharau mapumziko ya mtu aliyekuwa kazini kwa ziara ndefu ya mikoa mitano bila kupumzika. Toka Songwe, S/wanga, Mpanda, Ilonga-Tabora, Katavi to Dodoma, Lindi to Mtwara. Huwezi kuona sababu kwa kazi anazozifanya zinakutia kichefuchefu😁😁
 
Kwa uliyoyaandika hata ukionyeshwa ushahidi utatema mate, ukiambiwa alikuwa amejifungia anapanga safu, pamoja na kuona matokeo utapuuza kwako ni kazi ndogo. Watu wanaoshinda kwenye keyboard ukitoka unatoka umechoka na unalala fofo, ndio wenye mdomo wa kudharau mapumziko ya mtu aliyekuwa kazini kwa ziara ndefu ya mikoa mitano bila kupumzika. Toka Songwe, S/wanga, Mpanda, Ilonga-Tabora, Katavi to Dodoma, Lindi to Mtwara. Huwezi kuona sababu kwa kazi anazozifanya zinakutia kichefuchefu😁😁
hata adui yake angeelezwa hayo angesympathize. very tedious. ana washauri na daktari wake. wote wanalipwa kwa kazi hiyo. nilishangaa sana niliposikia daktari wake ni daktari bingwa wa uzazi na magonjwa ya akina mama!yaleyale ya mahiga sheria na kabudi diplomasiauzushi a sio kukosa ushauri. uenda ikawa sishauriki itokanayo na sipangiwi. anayaweza - much know!
all in all ingesemwa. rumourmongers wasingechipuka. walipewa uwanja wa kutosha. that's in case I buy your reason of nonappearance ya rais. membe confirms the devastating effects occasioned by the rumours! nani alaumiwe? victorie, nyani, etal kwao ni sahihi kutokujibu uzushi. logically hii inaruhusu uzushi kutamalaki. which is too bad!
 
Back
Top Bottom