Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Hakuna mropokaji aliyechukuliwa hatua.
Hata waliozusha kuwa JPM amefariki hawajaguswa. Real demokrasia.
Ila inadumaza upinzani kwakuwa wananchi wanapoteza trust. Wapinzani tunaonekana wajinga na wenye roho mbaya.
Hata waliozusha kuwa JPM amefariki hawajaguswa. Real demokrasia.
Ila inadumaza upinzani kwakuwa wananchi wanapoteza trust. Wapinzani tunaonekana wajinga na wenye roho mbaya.
Kwani ni lazima ww ukiri ndio iwe kweli wanaonewa? Hao waropokaji wako upinzani tu? Je waropokaji walioko ccm wao huwa wanachukuliwa hatua gani? Au sheria ni kwa ajili ya wapinzani tu?