Tumekatazwa kufanya biashara kwenye Soko la Kimataifa la samaki Ferry

Tumekatazwa kufanya biashara kwenye Soko la Kimataifa la samaki Ferry

Karunguu

Member
Joined
Oct 10, 2023
Posts
10
Reaction score
10
Habari waungwana,

Mimi ni mjasiriamali kutoka ferry. Ndugu zangu maisha hadi sasa hivi yanapoelekea sipo, soko la samaki ila wanakataa tusiuze samaki. Yeyote atakae soma ujumbe huu naomba u share ili kila mtu aone ili tupate msaada.

Tunanyanyaswa watanzania na tumekuwa kama wakimbizi.
 
Hatujapewa balua aina yoyote zaid tu yakutolewa meza zetu naikiwa sisi tunalipa ushuru huu kalibu mwaka wanne nahatukukaa hivi hivi tulifata agizo la mkuu wawilaya mda huo 2019 akatushauli tuanzishe vyama wanyabiasha wadogo wadogo lakin toka tulivyo anzisha kikundi tulikua tunalipa ushuru stahiki tulio pangiwa.
Mlipewa barua?
 
Umesema Soko la kimataifa? Unajua maana ya neno Kimataifa?

Pole sana.. try kubadiri kikundi cha wauzaji.
 
Poleni Sana Ila Jambo lako litashughulikiwa Muda sio Mrefu hapa JF ndo penyewe huwa hakishindikani kitu.
 
Kwahiyo hautaki wafanye maboresho yoyote eneo hilo, mbona zipo sehemu nyingi tu unakoweza kuuza dagaa wako. Mabasi yanayoishia Ferry nayo yamezuiwa kwa sababu za matengenezo, tusitiane ujinga kwa kutaka tutetee upuuzi.
 
hii habari haijakamilika vizuri, unahoja ila unatatizo la uandishi. jaribu kuandika kwenye daftari habari nzima halafu copy/kopi huku ili baadhi ya vitu usisahau kuvieleza.
 
Back
Top Bottom