balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Wanasemaga eti wapinzani hawaaminiki.Acha wabaki na Maumbwa maccm waisome namba ya Kirumi.Mkiambiwa muandamane mnaona kina Mdude wana shida, fukuzweni tu mpaka mjue kujitetea wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasemaga eti wapinzani hawaaminiki.Acha wabaki na Maumbwa maccm waisome namba ya Kirumi.Mkiambiwa muandamane mnaona kina Mdude wana shida, fukuzweni tu mpaka mjue kujitetea wenyewe.
Hata Bunju fursa za kumwagasogea huku kimara Mwisho soko lipo pia
Huyo anajua kuwa si wao tu bali na daladala pia, ni kwa ajili ya upanuzi wa eneo.Hawatoi sababu za msingi hadi sasa unaelekea mwezi wa pili.
Wanasemaga eti wapinzani hawaaminiki.Acha wabaki na Maumbwa maccm waisome namba ya Kirumi.
Unakizimba hapo ferry? Au ni wale wanaosimama?Hawatoi sababu za msingi hadi sasa unaelekea mwezi wa pili.
Dp world wameshauziwa , kwani mkiambiwa nchi imeuzwa huwa mnaelewaga nini.., ndio mkome sasaHabari waungwana,
Mimi ni mjasiriamali kutoka ferry. Ndugu zangu maisha hadi sasa hivi yanapoelekea sipo, soko la samaki ila wanakataa tusiuze samaki. Yeyote atakae soma ujumbe huu naomba u share ili kila mtu aone ili tupate msaada.
Tunanyanyaswa watanzania na tumekuwa kama wakimbizi.
Aandike kwenye daftari kwanza[emoji16]hii habari haijakamilika vizuri, unahoja ila unatatizo la uandishi. jaribu kuandika kwenye daftari habari nzima halafu copy/kopi huku ili baadhi ya vitu usisahau kuvieleza.
uskute daftari limejaa...Aandike kwenye daftari kwanza[emoji16]
Unakizimba hapo ferry? Au ni wale wanaosimama?
Soko limefungulia kulikua na watu 1600 had sasa watu tunafika 8500 vizimba vipo 300 sisi tuliokosa vizimba tulifata talatibu na tukapewa eneo tukapewa meza natukawa nasehem yakuhifadhia watu niweng nahatuwez wote kua kwenye vizimba sehem ipo ndogoUnakizimba hapo ferry? Au ni wale wanaosimama?
Kwani soko hilo linafanyiwa marekebisho au?Sisi niwauza samaki ambao tupo soko la samaki fery
Aliulizwa kama Ana kizimba hapo au?Ebhanaa eeeh...hii issue ipo very sensitive elezea vizuri watu waelewe chanzo na kwann mmekatazwa...ila Mimi nachojua mmekatazwa kuuzia maeneo ambayo siyo rasmi..mkuu was soko anataka watu wauzie zone husika but changamoto kubwa ni kuwa wafanyabiashara ni wengi ila maeneo yaliyokuwepo pale hayatoshelezi...
Poleni sana, nafikiri kuna utaratibu mpya uko njiani, mtarudishwa hapo.Soko limefungulia kulikua na watu 1600 had sasa watu tunafika 8500 vizimba vipo 300 sisi tuliokosa vizimba tulifata talatibu na tukapewa eneo tukapewa meza natukawa nasehem yakuhifadhia watu niweng nahatuwez wote kua kwenye vizimba sehem ipo ndogo
Hamna mabolesho yoyote had saiz yanayoendelea nakama ingekua mabolesho bas tungeambiaKwahiyo hautaki wafanye maboresho yoyote eneo hilo, mbona zipo sehemu nyingi tu unakoweza kuuza dagaa wako. Mabasi yanayoishia Ferry nayo yamezuiwa kwa sababu za matengenezo, tusitiane ujinga kwa kutaka tutetee upuuzi.
Kwani soko hilo zipo sehem tatu za mabolesho
Sehem za mabolesho zipo 3 na sisis hatupo sehem hizoKwani soko hilo linafanyiwa marekebisho au?
Ova
MkuuHabari waungwana,
Mimi ni mjasiriamali kutoka ferry. Ndugu zangu maisha hadi sasa hivi yanapoelekea sipo, soko la samaki ila wanakataa tusiuze samaki. Yeyote atakae soma ujumbe huu naomba u share ili kila mtu aone ili tupate msaada.
Tunanyanyaswa watanzania na tumekuwa kama wakimbizi.
Punguza upumbavu.Poleni sana, nafikiri kuna utaratibu mpya uko njiani, mtarudishwa hapo.