Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Wewe ndo unaleta ujinga na upuuzi.Kwahiyo hautaki wafanye maboresho yoyote eneo hilo, mbona zipo sehemu nyingi tu unakoweza kuuza dagaa wako. Mabasi yanayoishia Ferry nayo yamezuiwa kwa sababu za matengenezo, tusitiane ujinga kwa kutaka tutetee upuuzi.
Wamepewa ilani ya muda gani?
Mtu ameamka na gesi tumboni anatoa amri tu kuwanzia sasa msifanye hivyo.
Very low