Tumekosana hatuongei! kisa nimemfananisha na mafarisayo, anadai kuagiza chakula hotelini au kujaza mafuta gari yako siku ya Sabato ni dhambi!

Tumekosana hatuongei! kisa nimemfananisha na mafarisayo, anadai kuagiza chakula hotelini au kujaza mafuta gari yako siku ya Sabato ni dhambi!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Ni kisa cha kweli kabisa nimeona nikilete kwenu tupeane uzoefu

Nimekosana na rafiki yangu wa karibu kwa sababu zisizo na mashiko kabisa!

Tulianza kama utani kujadili amri za Mungu na tulikwenda vema tu hadi tulipofikia kujadili utunzaji amri ya nne ndipo tukakosana!

Yeye anambia kuwa ati kujaza mafuta kwa gari yako au kuingia hotelini na kuagiza chakula ati ni dhambi!

Nimembambia ana mawazo ya mafarisayo na masadukayo enzi zile za Bwana Yesu waliotoa maagizo yaliyo nje ya amri za mola wetu!

Nikamwambia Yesu ndiye Bwana wa Sabato hivyo siku hiyo ni Ibada, furaha na amani na haitakiwi kuwa mzigo!

Amechukia sana na kuanzia hapo hatuna mawasiliano mazuri baina yetu kama hapo awali!

Nissidieni ushauri ndugu na kama nimekosea mniambie tu ukweli
 
Wadau hamjamboni nyote?

Ni kisa cha kweli kabisa nimeona nikilete kwenu tupeane uzoefu

Nimekosana na rafiki yangu wa karibu kwa sababu zisizo na mashiko kabisa!

Tulianza kama utani kujadili amri za Mungu na tulikwenda vema tu hadi tulipofikia kujadili utunzaji amri ya nne ndipo tukakosana!

Yeye anambia kuwa ati kujaza mafuta kwa gari yako au kuingia hotelini na kuagiza chakula ati ni dhambi!

Nimembambia ana mawazo ya mafarisayo na masadukayo enzi zile za Bwana Yesu waliotoa maagizo yaliyo nje ya amri za mola wetu!

Nikamwambia Yesu ndiye Bwana wa Sabato hivyo siku hiyo ni Ibada, furaha na amani na haitakiwi kuwa mzigo!

Amechukia sana na kuanzia hapo hatuna mawasiliano mazuri baina yetu kama hapo awali!

Nissidieni ushauri ndugu na kama nimekosea mniambie tu ukweli
Hapo Ibilisi mnampa nafasi kwa kukosa maarifa kwenu,kama ni mafuta nawe ungeyajaza ya kutosha ili Sabato iende vyema!Ila kutokana na sababu zisizozuilika unajaza vizuri tuu!Na kuagiza chakula,Sasa ufe na njaa?!Muelewane.
 
Mi kuna jamaa nilimwita mlevi yeye akasema mnywaji mpaka leo tulikosana
 
Wadau hamjamboni nyote?

Ni kisa cha kweli kabisa nimeona nikilete kwenu tupeane uzoef...
Pia ungeongezea kwamba Yesu mwenyewe alishasema YEYE NDIYE BWANA WA SABATO, Akasema Mchungaji Mwema ni yule atakaye acha London 99 nyikani akaenda kumtafuta London mmoja Aliyepotea, naye mara akidha mpata huandaa karamu akawaalika rafiki zake wapate kufurahi nao kwa kuwa amempata London mmoja aliyepotea.

Pia ungemwambia ni hao hao wasabato walimchoma mkuki Yesu Kristo ili wahakikishe amekufa eti kwakuwa ilikuwa ni haramu kwao kuacha miili juu ya msalaba kwa kuwa sabato ilikuwa inaingia. Hapo nadhani angeondoka bila kukuaga.
 
Back
Top Bottom