Tumekubali. Tutakukumbuka Rais wetu John P Magufuli

Tumekubali. Tutakukumbuka Rais wetu John P Magufuli

Nimepata kumuona Rais mmoja tu tangu nizaliwe

Bila kuingiza ushambenga na mihemko ya kisiasa, aliyofanya Yale ambayo Kila mtanzania alitamani kumuona kiongozi mkuu wa nchi anayafanya,

Alitamka wazi kwamba kwenye Mambo mengi TUNAPIGWA, Jambo ambalo hakuna mtanzania anayebisha

Alienda mbali zaidi na kutuonyesha namna ambavyo wapigaji wanatupiga, Jambo ambalo ukiacha Nyerere hakuna mkuu mwingine aliyetusanua

Haijalishi kafa au yupo hai,

YEYE NDIYE RAIS WANGU WA MAISHA

Rest in piece president, let you go!! NO BODY will remain[emoji24][emoji24][emoji24] [emoji33][emoji33]
Fact!
 
Kwani mwendazake alimaliza mda wake hadi aliyoyaanza yakamilike? Hoja hazina mashiko kabisa mkuu.
Kwani Samia kamaliza mda wake? Miaka yote 6 alifanya nini cha maana?

Alisema reli Dar moro ingekamilika ndani ya miaka 2 ,ilikamilika? Bwawa ndani ya miaka 3 ndio kwanza hadi anakufa mradi ulikuwa umechelewa kwa zaidi ya mwaka na uongo mwingine wa kipuuzi .
 
Toka umetutoka hayati rais wa JMT. JPM mambo yamekuwa siyo mambo. Sijuwi tuanze wapi tumalizie wapi.
Umeme ni kukatika hovyo na kila baada ya masaa fulani. Ila wanakusingizia eti ulikuwa hutaki matengenezo wala maboresho! Pia wanadai suluhisho siyo kufukuza watu kwa uzembe au kutokuwajibika bali kubembelezana (January Makamba)! Ndio mzee usishangae karudi kwa kishindo tena anapokezana na mama kwa safari!
Swala la safari kwa viongozi ni kama wamefungulia bomba la maji. Wanaponda maisha kama wanakufa kesho!
Swala la huduma ya maji ndio usiseme mzee. Wanaishi kifalme. Ungekuwepo wangejiongeza kuchimba visima ila haupo wao wamerudia tena kufanya kazi kwa mazoea!
Rasimali na maliasili zinavyoibiwa ndio usiseme. Pale Mererani pamoja na ukuta wao wanapitisha Tanzanite getini!
Mzee yaani nchi inavyoendeshwa ni kama bora liende. Mama ni trips every other day. Hivi hajawahi panda ndege au kwenda mamtoni nini?! Maana kila raia kapigwa na butaa anavyopenda safari aise!
Juzi juzi twiga walionekana wamebebwa kwenye fuso! Wanaenda wapi hatujuwi!
Mzee yale ya kutishiana wanijuwa mie ni nani au nitakupoteza yamerudi mzee!
Yaani tuliowachaguwa na kutumwa watutumikie imekuwa nongwa. Wamekuwa miungu mitu!
Hivi mzee tukimuomba mwenyewe muumba kweli hawezi kukurudisha hata kwa miaka michache urekebishe jahazi?!
Ondoa uharo hapa,kila kitabu na zama zake,maisha ni mafupi sana.
 
Magufuli alikua jembe masela tuseme ukweli, nchi ishaanza potea hii asee
... mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake si nyingi; anasema Mhubiri. Hata asingefariki kipindi kile bado asingedumu milele; siku zake zingetimia tu kama ilivyo kwa mwanadamu yeyote mwingine. Kwa kuona hilo ndio maana wenye busara wanashauri jengeni mifumo imara idumuyo badala ya personalities ambazo hupita mara kama ua la kondeni.

Kwa kuwa mifumo dhaifu inawasaidia watawala kuitafuna nchi wao na makundi yao, hawatokaa waiboreshe na matokeo yake tutaendelea kubaki pale pale hata aletwe Jibril kutawala kwa mifumo hii iliyopo!
 
Tuseme ukweli, Watanzania wengi tuna Asili ya Wizi/Upigaji. Kuanzia House Girl mpaka Cheo cha juu cha Nchi. Kwa mantiki hiyo bila kuwa na Rais MKALI/ASIYEFUMBIA MACHO.Matokeo yake ndiyo haya Maji hakuna, Bidhaa zinapanda bei Ovyo, Ajira kwa Kujuana, Madini yanatoroshwa, Uharamia Umerudi, Umeme wa Mgao, Bandarini kutoa mzigo ni mbinde mpaka utoe kitu, TBS Kukagua gari ili lipate stika ya ubora ni mpaka kitu, Mafuta bei imepanda pamoja na tozo baadhi kuondolewa, Michango mashuleni iko full Swing, NGOs za Ushoga zimerejea, Wahujumu Uchumi woote wakubwa akina Ruge wameachiwa ili waendelee kusababisha mgao mitambo yao ifanyekazi, Viongozi Wazuri wasiopenda janjajanja wapigwa chini kuweka magarasa akina Jmakamba, Huko kwenye Mizani Malori yaliyozidi Uzito yanapeta, Bodi ya Mikopo HESLB Wanafunzi hewa Kibao, Wawekezaji wameanza kusainishwa Mikataba Marekani nk, Ukiuza toa Risiti ukinunua Dai Risiti TRA chali, Halmashauri ukusanyaji mapato hoooi, mashirika ya Umma kushindana ubunifu wa kujiiingizia kipato ili wapate gawio ziiiiiiiii!
Yupo Rais anakuja kuokoa Nchi hii tuendelee kumuomba Mungu.
 
  • Ni rais mpumbavu pekee ambaye anaweza kufuta ajira za walimu na madaktari
  • Ni rais mpumbavu pekee ambaye anaweza kupitisha sheria ya kuondolewa wafanyakazi wenye vyeti feki kwa walimu, madaktari na magereza halafu akawaacha wanajeshi wenye vyeti kwasababu wakifukuzwa kazi kwa kuwa na vyeti feki watakuwa majambazi mtaani. Kuna baadhi ya viongozi wanavyeti feki lkn wameachwa. T
Haki na usawa hiyo ndiyo sheria ni sawa mtu kawaida akiua anahukumiwa kifungo cha maisha ila kiongozi au mwanajeshi akiua hakuna kosa.
Na madhaifu yake ni machache kuliko mema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Amtegemeaye binadamu amelaaniwa" ulikuwa unamtegemea Magu akuletee umeme, maji na mambo mengine? Hayupo sasa. Hapo ndiyo utaendelea na kulia na kusaga meno. Pole sana kiongozi, msubiri anaweza kufufuka
Hakika. Tena hatutamsahau kamwe
 
Kuna watu ni wajinga Sana nchi hii.Nakumbuka hotuba ya mwanzo kabisa ya Samia alihoji Kuhusu kujengwa ukuta na kuweka wanajeshi juu lakini bado tanzanite zinaibwa.[emoji23][emoji23]..

Boresha mazingira ya hiyo biashara,wizi haukuwahi kuisha toka Mwendazake zake wenu yupo na unfortunately zama za giza hakuna chombo cha kuthubutu kutoa taarifa zaidi ya pambio za mtukufu.

Kwangu Mwendazake ni moja ya Marais wa hovyo kabisa kuwahi kutokea ndio maana hakuna kitu alikamilisha zaidi kushika huku na kule .

Mgao wa umeme ni mfano wa akili fupi aliyokuwa nayo.How comes uanzishe ujenzi wa Bwawa ambalo hujui litaisha lini na hakuna backup ya umeme kwenye dharura kama ukame? Huoni amelazimisha nchi kurudi kwenye majenereta wakati alikuwa na fursa ya kuondoa hilo?

Wivu na uongo eti gas ni ya mabeberu,stupid .
Jamaa alifanikiwa sana kuwahadaa wapumbavu kama wewe ambao ni wengi nchi hii
 
Jamaa alifanikiwa sana kuwahadaa wapumbavu kama wewe ambao ni wengi nchi hii
Alifaulu kwa sababu kama ujuavyo nchi hii ina watu karibu 95% ni wasioenda.shule yaani standard 7 sasa ukiongezea na umaskini ndio kabisaa kiwango cha kufikiri kinafifia mazima.

Ndio maana hata unaona kila mtu analaumu,analalamika na kutukana ila hakuna anaetaka kusema ukweli na kuja na suluhisho.Wachache wakija na Majibu hata kama ni biting utakuta malalamiko mengi Sana watu wanataka Zima moto.
 
Kuna watu ni wajinga Sana nchi hii.Nakumbuka hotuba ya mwanzo kabisa ya Samia alihoji Kuhusu kujengwa ukuta na kuweka wanajeshi juu lakini bado tanzanite zinaibwa.[emoji23][emoji23]..

Boresha mazingira ya hiyo biashara,wizi haukuwahi kuisha toka Mwendazake zake wenu yupo na unfortunately zama za giza hakuna chombo cha kuthubutu kutoa taarifa zaidi ya pambio za mtukufu.

Kwangu Mwendazake ni moja ya Marais wa hovyo kabisa kuwahi kutokea ndio maana hakuna kitu alikamilisha zaidi kushika huku na kule .

Mgao wa umeme ni mfano wa akili fupi aliyokuwa nayo.How comes uanzishe ujenzi wa Bwawa ambalo hujui litaisha lini na hakuna backup ya umeme kwenye dharura kama ukame? Huoni amelazimisha nchi kurudi kwenye majenereta wakati alikuwa na fursa ya kuondoa hilo?

Wivu na uongo eti gas ni ya mabeberu,stupid .
Umeonge vyema mkuu.
 
hii jf nayo ina matahira kama wa twitter kule, najua mpaka sasa mmenyooka lakini kwa nje mtaendelea kumponda mzee wa watu

Muda bado utasema
 
hii jf nayo ina matahira kama wa twitter kule, najua mpaka sasa mmenyooka lakini kwa nje mtaendelea kumponda mzee wa watu

Muda bado utasema
Huwa nawashangaa sana watu wansomsifu bwana yule!!! Wengi ni vilaza wa kiwango cha juuu!!! Hata wewe angalia CV yako utajijua!!!
1) MTU aliyeshindwa kuajiri miaka 5
2)MTU aliyeshindwa kuongeza mishahara miaka mitano
3)MTU aliyekopa zaid kuliko marais wote kwa miaka mitano tuu kisha akaeadanganya hakopi na mlivyo mazuzu mkafurahi
4)MTU alipeleka kila kitu chato
5)MTU aliyewapenda watu wa kwao na kuwajazia vyeo
6) MTU aliyebomolea watu wengine ila wa kwao no no no
7)MTU aliyetengeneza Umungu MTU ccm mkamwita Mungu
8) MTU alyewaonea waathirika wa mikopo mpaka mama samia kaja kuokoa jahazi!!!
Ni mpumbavu tuu atslisapoti
 
Huwa nawashangaa sana watu wansomsifu bwana yule!!! Wengi ni vilaza wa kiwango cha juuu!!! Hata wewe angalia CV yako utajijua!!!
1) MTU aliyeshindwa kuajiri miaka 5
2)MTU aliyeshindwa kuongeza mishahara miaka mitano
3)MTU aliyekopa zaid kuliko marais wote kwa miaka mitano tuu kisha akaeadanganya hakopi na mlivyo mazuzu mkafurahi
4)MTU alipeleka kila kitu chato
5)MTU aliyewapenda watu wa kwao na kuwajazia vyeo
6) MTU aliyebomolea watu wengine ila wa kwao no no no
7)MTU aliyetengeneza Umungu MTU ccm mkamwita Mungu
8) MTU alyewaonea waathirika wa mikopo mpaka mama samia kaja kuokoa jahazi!!!
Ni mpumbavu tuu atslisapoti
Unafikiri mimi nimeishia darasa la pili kama wewe unayekariri kama kuku

Hujui mipango kufikia maendeleo inatakiwa vipi,
Hujui kuwa njia ya kufikia maendeleo unatakiwa kujinyima na kubana bajeti kwenye baadhi ya mambo,

Unadhani hela zinaokotwa kutoka mbinguni.

Wazazi wako wana hasara walipeleka mbuzi shule baada ya kuuza mwengine..
Bora wangezaa tikiti mama yako angekula na daktari
 
Kuna watu ni wajinga Sana nchi hii.Nakumbuka hotuba ya mwanzo kabisa ya Samia alihoji Kuhusu kujengwa ukuta na kuweka wanajeshi juu lakini bado tanzanite zinaibwa.😂😂..

Boresha mazingira ya hiyo biashara,wizi haukuwahi kuisha toka Mwendazake zake wenu yupo na unfortunately zama za giza hakuna chombo cha kuthubutu kutoa taarifa zaidi ya pambio za mtukufu.

Kwangu Mwendazake ni moja ya Marais wa hovyo kabisa kuwahi kutokea ndio maana hakuna kitu alikamilisha zaidi kushika huku na kule .

Mgao wa umeme ni mfano wa akili fupi aliyokuwa nayo.How comes uanzishe ujenzi wa Bwawa ambalo hujui litaisha lini na hakuna backup ya umeme kwenye dharura kama ukame? Huoni amelazimisha nchi kurudi kwenye majenereta wakati alikuwa na fursa ya kuondoa hilo?

Wivu na uongo eti gas ni ya mabeberu,stupid .
Bora ungenyamaza tu mkuu.
 
Toka umetutoka hayati rais wa JMT. JPM mambo yamekuwa siyo mambo. Sijuwi tuanze wapi tumalizie wapi.
Umeme ni kukatika hovyo na kila baada ya masaa fulani. Ila wanakusingizia eti ulikuwa hutaki matengenezo wala maboresho! Pia wanadai suluhisho siyo kufukuza watu kwa uzembe au kutokuwajibika bali kubembelezana (January Makamba)! Ndio mzee usishangae karudi kwa kishindo tena anapokezana na mama kwa safari!
Swala la safari kwa viongozi ni kama wamefungulia bomba la maji. Wanaponda maisha kama wanakufa kesho!
Swala la huduma ya maji ndio usiseme mzee. Wanaishi kifalme. Ungekuwepo wangejiongeza kuchimba visima ila haupo wao wamerudia tena kufanya kazi kwa mazoea!
Rasimali na maliasili zinavyoibiwa ndio usiseme. Pale Mererani pamoja na ukuta wao wanapitisha Tanzanite getini!
Mzee yaani nchi inavyoendeshwa ni kama bora liende. Mama ni trips every other day. Hivi hajawahi panda ndege au kwenda mamtoni nini?! Maana kila raia kapigwa na butaa anavyopenda safari aise!
Juzi juzi twiga walionekana wamebebwa kwenye fuso! Wanaenda wapi hatujuwi!
Mzee yale ya kutishiana wanijuwa mie ni nani au nitakupoteza yamerudi mzee!
Yaani tuliowachaguwa na kutumwa watutumikie imekuwa nongwa. Wamekuwa miungu mitu!
Hivi mzee tukimuomba mwenyewe muumba kweli hawezi kukurudisha hata kwa miaka michache urekebishe jahazi?!
Hatutamsahau kwa kutuharibia nchi yetu kupita maelezo na kuua mifumo yote kidemokrasia iliyoasisiwa na watangulizi wake

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom