Fact!Nimepata kumuona Rais mmoja tu tangu nizaliwe
Bila kuingiza ushambenga na mihemko ya kisiasa, aliyofanya Yale ambayo Kila mtanzania alitamani kumuona kiongozi mkuu wa nchi anayafanya,
Alitamka wazi kwamba kwenye Mambo mengi TUNAPIGWA, Jambo ambalo hakuna mtanzania anayebisha
Alienda mbali zaidi na kutuonyesha namna ambavyo wapigaji wanatupiga, Jambo ambalo ukiacha Nyerere hakuna mkuu mwingine aliyetusanua
Haijalishi kafa au yupo hai,
YEYE NDIYE RAIS WANGU WA MAISHA
Rest in piece president, let you go!! NO BODY will remain[emoji24][emoji24][emoji24] [emoji33][emoji33]
Kwani Samia kamaliza mda wake? Miaka yote 6 alifanya nini cha maana?Kwani mwendazake alimaliza mda wake hadi aliyoyaanza yakamilike? Hoja hazina mashiko kabisa mkuu.
Ondoa uharo hapa,kila kitabu na zama zake,maisha ni mafupi sana.Toka umetutoka hayati rais wa JMT. JPM mambo yamekuwa siyo mambo. Sijuwi tuanze wapi tumalizie wapi.
Umeme ni kukatika hovyo na kila baada ya masaa fulani. Ila wanakusingizia eti ulikuwa hutaki matengenezo wala maboresho! Pia wanadai suluhisho siyo kufukuza watu kwa uzembe au kutokuwajibika bali kubembelezana (January Makamba)! Ndio mzee usishangae karudi kwa kishindo tena anapokezana na mama kwa safari!
Swala la safari kwa viongozi ni kama wamefungulia bomba la maji. Wanaponda maisha kama wanakufa kesho!
Swala la huduma ya maji ndio usiseme mzee. Wanaishi kifalme. Ungekuwepo wangejiongeza kuchimba visima ila haupo wao wamerudia tena kufanya kazi kwa mazoea!
Rasimali na maliasili zinavyoibiwa ndio usiseme. Pale Mererani pamoja na ukuta wao wanapitisha Tanzanite getini!
Mzee yaani nchi inavyoendeshwa ni kama bora liende. Mama ni trips every other day. Hivi hajawahi panda ndege au kwenda mamtoni nini?! Maana kila raia kapigwa na butaa anavyopenda safari aise!
Juzi juzi twiga walionekana wamebebwa kwenye fuso! Wanaenda wapi hatujuwi!
Mzee yale ya kutishiana wanijuwa mie ni nani au nitakupoteza yamerudi mzee!
Yaani tuliowachaguwa na kutumwa watutumikie imekuwa nongwa. Wamekuwa miungu mitu!
Hivi mzee tukimuomba mwenyewe muumba kweli hawezi kukurudisha hata kwa miaka michache urekebishe jahazi?!
... mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake si nyingi; anasema Mhubiri. Hata asingefariki kipindi kile bado asingedumu milele; siku zake zingetimia tu kama ilivyo kwa mwanadamu yeyote mwingine. Kwa kuona hilo ndio maana wenye busara wanashauri jengeni mifumo imara idumuyo badala ya personalities ambazo hupita mara kama ua la kondeni.Magufuli alikua jembe masela tuseme ukweli, nchi ishaanza potea hii asee
Hakika. Tena hatutamsahau kamwe
Jamaa alifanikiwa sana kuwahadaa wapumbavu kama wewe ambao ni wengi nchi hiiKuna watu ni wajinga Sana nchi hii.Nakumbuka hotuba ya mwanzo kabisa ya Samia alihoji Kuhusu kujengwa ukuta na kuweka wanajeshi juu lakini bado tanzanite zinaibwa.[emoji23][emoji23]..
Boresha mazingira ya hiyo biashara,wizi haukuwahi kuisha toka Mwendazake zake wenu yupo na unfortunately zama za giza hakuna chombo cha kuthubutu kutoa taarifa zaidi ya pambio za mtukufu.
Kwangu Mwendazake ni moja ya Marais wa hovyo kabisa kuwahi kutokea ndio maana hakuna kitu alikamilisha zaidi kushika huku na kule .
Mgao wa umeme ni mfano wa akili fupi aliyokuwa nayo.How comes uanzishe ujenzi wa Bwawa ambalo hujui litaisha lini na hakuna backup ya umeme kwenye dharura kama ukame? Huoni amelazimisha nchi kurudi kwenye majenereta wakati alikuwa na fursa ya kuondoa hilo?
Wivu na uongo eti gas ni ya mabeberu,stupid .
Alifaulu kwa sababu kama ujuavyo nchi hii ina watu karibu 95% ni wasioenda.shule yaani standard 7 sasa ukiongezea na umaskini ndio kabisaa kiwango cha kufikiri kinafifia mazima.Jamaa alifanikiwa sana kuwahadaa wapumbavu kama wewe ambao ni wengi nchi hii
Tulikuwa tunawapeleka CHATO.Twiga kwenye Fuso??!!!, walikuwa wanapelekwa wapi?
Umeonge vyema mkuu.Kuna watu ni wajinga Sana nchi hii.Nakumbuka hotuba ya mwanzo kabisa ya Samia alihoji Kuhusu kujengwa ukuta na kuweka wanajeshi juu lakini bado tanzanite zinaibwa.[emoji23][emoji23]..
Boresha mazingira ya hiyo biashara,wizi haukuwahi kuisha toka Mwendazake zake wenu yupo na unfortunately zama za giza hakuna chombo cha kuthubutu kutoa taarifa zaidi ya pambio za mtukufu.
Kwangu Mwendazake ni moja ya Marais wa hovyo kabisa kuwahi kutokea ndio maana hakuna kitu alikamilisha zaidi kushika huku na kule .
Mgao wa umeme ni mfano wa akili fupi aliyokuwa nayo.How comes uanzishe ujenzi wa Bwawa ambalo hujui litaisha lini na hakuna backup ya umeme kwenye dharura kama ukame? Huoni amelazimisha nchi kurudi kwenye majenereta wakati alikuwa na fursa ya kuondoa hilo?
Wivu na uongo eti gas ni ya mabeberu,stupid .
Huwa nawashangaa sana watu wansomsifu bwana yule!!! Wengi ni vilaza wa kiwango cha juuu!!! Hata wewe angalia CV yako utajijua!!!hii jf nayo ina matahira kama wa twitter kule, najua mpaka sasa mmenyooka lakini kwa nje mtaendelea kumponda mzee wa watu
Muda bado utasema
Unafikiri mimi nimeishia darasa la pili kama wewe unayekariri kama kukuHuwa nawashangaa sana watu wansomsifu bwana yule!!! Wengi ni vilaza wa kiwango cha juuu!!! Hata wewe angalia CV yako utajijua!!!
1) MTU aliyeshindwa kuajiri miaka 5
2)MTU aliyeshindwa kuongeza mishahara miaka mitano
3)MTU aliyekopa zaid kuliko marais wote kwa miaka mitano tuu kisha akaeadanganya hakopi na mlivyo mazuzu mkafurahi
4)MTU alipeleka kila kitu chato
5)MTU aliyewapenda watu wa kwao na kuwajazia vyeo
6) MTU aliyebomolea watu wengine ila wa kwao no no no
7)MTU aliyetengeneza Umungu MTU ccm mkamwita Mungu
8) MTU alyewaonea waathirika wa mikopo mpaka mama samia kaja kuokoa jahazi!!!
Ni mpumbavu tuu atslisapoti
Bora ungenyamaza tu mkuu.Kuna watu ni wajinga Sana nchi hii.Nakumbuka hotuba ya mwanzo kabisa ya Samia alihoji Kuhusu kujengwa ukuta na kuweka wanajeshi juu lakini bado tanzanite zinaibwa.😂😂..
Boresha mazingira ya hiyo biashara,wizi haukuwahi kuisha toka Mwendazake zake wenu yupo na unfortunately zama za giza hakuna chombo cha kuthubutu kutoa taarifa zaidi ya pambio za mtukufu.
Kwangu Mwendazake ni moja ya Marais wa hovyo kabisa kuwahi kutokea ndio maana hakuna kitu alikamilisha zaidi kushika huku na kule .
Mgao wa umeme ni mfano wa akili fupi aliyokuwa nayo.How comes uanzishe ujenzi wa Bwawa ambalo hujui litaisha lini na hakuna backup ya umeme kwenye dharura kama ukame? Huoni amelazimisha nchi kurudi kwenye majenereta wakati alikuwa na fursa ya kuondoa hilo?
Wivu na uongo eti gas ni ya mabeberu,stupid .
Hatutamsahau kwa kutuharibia nchi yetu kupita maelezo na kuua mifumo yote kidemokrasia iliyoasisiwa na watangulizi wakeToka umetutoka hayati rais wa JMT. JPM mambo yamekuwa siyo mambo. Sijuwi tuanze wapi tumalizie wapi.
Umeme ni kukatika hovyo na kila baada ya masaa fulani. Ila wanakusingizia eti ulikuwa hutaki matengenezo wala maboresho! Pia wanadai suluhisho siyo kufukuza watu kwa uzembe au kutokuwajibika bali kubembelezana (January Makamba)! Ndio mzee usishangae karudi kwa kishindo tena anapokezana na mama kwa safari!
Swala la safari kwa viongozi ni kama wamefungulia bomba la maji. Wanaponda maisha kama wanakufa kesho!
Swala la huduma ya maji ndio usiseme mzee. Wanaishi kifalme. Ungekuwepo wangejiongeza kuchimba visima ila haupo wao wamerudia tena kufanya kazi kwa mazoea!
Rasimali na maliasili zinavyoibiwa ndio usiseme. Pale Mererani pamoja na ukuta wao wanapitisha Tanzanite getini!
Mzee yaani nchi inavyoendeshwa ni kama bora liende. Mama ni trips every other day. Hivi hajawahi panda ndege au kwenda mamtoni nini?! Maana kila raia kapigwa na butaa anavyopenda safari aise!
Juzi juzi twiga walionekana wamebebwa kwenye fuso! Wanaenda wapi hatujuwi!
Mzee yale ya kutishiana wanijuwa mie ni nani au nitakupoteza yamerudi mzee!
Yaani tuliowachaguwa na kutumwa watutumikie imekuwa nongwa. Wamekuwa miungu mitu!
Hivi mzee tukimuomba mwenyewe muumba kweli hawezi kukurudisha hata kwa miaka michache urekebishe jahazi?!