safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Unatakiwa kutofautisha baina ya mtu kutoka hapa kwenda hhuko kwa NIA ya KUSAKA life kisha huko kwa huko akapata mtu,hii haina tatizo kww sababu tathmini zinaonesha kuwa wanaofanyiwa matendo hayo ni watu ambao sio waenyeji wa maeeo hayo.Kumbuka: nimefahamiana nae hapa hapa JF na aliondoka TZ kwenda kusaka life na sasa yupo huko.
Lakini mtu ambaye anatoka hapa na kwenda huko kwa nia ya kwenda kuonana na mpenzi wake walioonana mtandaoni,hii mzee ni hatari sana