Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane

Kumbuka: nimefahamiana nae hapa hapa JF na aliondoka TZ kwenda kusaka life na sasa yupo huko.
Unatakiwa kutofautisha baina ya mtu kutoka hapa kwenda hhuko kwa NIA ya KUSAKA life kisha huko kwa huko akapata mtu,hii haina tatizo kww sababu tathmini zinaonesha kuwa wanaofanyiwa matendo hayo ni watu ambao sio waenyeji wa maeeo hayo.

Lakini mtu ambaye anatoka hapa na kwenda huko kwa nia ya kwenda kuonana na mpenzi wake walioonana mtandaoni,hii mzee ni hatari sana
 
Ok mzee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katuma milion 6, ukifika akivuna hizo figo anapata zaid ya 100m, well calculated

[emoji1][emoji1][emoji1] natania nenda kale maisha kijana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nenda Kaliwe mattercall,wachukue hizo figo ni deal sana hasa hasa India huko kuna matajiri wagonjwa wengi tu wanahitaji viungo waendelee kuishi jipeleke tu mkuu

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wacha wee hebu nenda bhana ukamlete wifi wa Taifa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pia ushauri mzuri huu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu ushahidi hua ni kitu kizuri, ila kwa hio pesa pia kama ni nauli tu mbona unafika pengine labda uwe huna gamba la kuvukia boda (2700 ) kama ni usd ni zaidi ya milion 6 ya bongo ,au umetumia Dollar ya sudani sheikhe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Toa neno mtoto Mataifa ya ulaya na mabara mengi tofauti na Afrika mtoto mwisho miaka15 hata bongo sheria hii inakuja soon,watoto wako baby nursery sheikhe sio chuo.Usijeponzwa na miaka mjuba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Angekuwa wa kiume anamtumia kike hapo sawa, lkn wewe wa kiume akutumie hela na akupende kwa lipi hasa??? unadhan kwao amekosa wanaume wa kumtongoza, naona akili yako ni ya kitoto kama yeye.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hujui Zali la mentali?
 
Angalia usirudi unachechemea. Chunga Sana "O" position itatatuliwa mchana peupe na mabeach boy wa Malta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…