Tumekuwa na hofu, kwa fremu za chini ya ardhi, kikosi maalum kifanye ukaguzi wa majengo yote kko, kwa Ada ya 2.5ml,kwa kila jengo!

Tumekuwa na hofu, kwa fremu za chini ya ardhi, kikosi maalum kifanye ukaguzi wa majengo yote kko, kwa Ada ya 2.5ml,kwa kila jengo!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Ni hekima iliyo kubwa hasa kwa ili lililotokea mamlaka husika zikapitia majengo yote kariakoo kwa ukaguzi wa kina, kuanzia ngazi ya uimara wa nguzo na mengineyo ili kutupa moyo sisi wafanyabiashara kuzama kwenye maduka ya underground, napendekeza kila jengo baada ya kukaguliwa likawekwa sticker maalumu ya kuonyesha jengo husika limekaguliwa, na ukaguzi huu uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili
 
Ni hekima iliyo kubwa hasa kwa ili lililotokea mamlaka husika zikapitia majengo yote kariakoo kwa ukaguzi wa kina, kuanzia ngazi ya uimara wa nguzo na mengineyo ili kutupa moyo sisi wafanyabiashara kuzama kwenye maduka ya underground, napendekeza kila jengo baada ya kukaguliwa likawekwa sticker maalumu ya kuonyesha jengo husika limekaguliwa, na ukaguzi huu uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili
Huu ni mradi wa utapeli tu.., taratibu zipo, na sio za kuibuka kwa matukio..
 
Ni hekima iliyo kubwa hasa kwa ili lililotokea mamlaka husika zikapitia majengo yote kariakoo kwa ukaguzi wa kina, kuanzia ngazi ya uimara wa nguzo na mengineyo ili kutupa moyo sisi wafanyabiashara kuzama kwenye maduka ya underground, napendekeza kila jengo baada ya kukaguliwa likawekwa sticker maalumu ya kuonyesha jengo husika limekaguliwa, na ukaguzi huu uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili

Una maana kupatikane mapato zaidi kwa ajili ya hizi vitu?

GcgTwHyXcAAeGYj.jpeg
 
Ni hekima iliyo kubwa hasa kwa ili lililotokea mamlaka husika zikapitia majengo yote kariakoo kwa ukaguzi wa kina, kuanzia ngazi ya uimara wa nguzo na mengineyo ili kutupa moyo sisi wafanyabiashara kuzama kwenye maduka ya underground, napendekeza kila jengo baada ya kukaguliwa likawekwa sticker maalumu ya kuonyesha jengo husika limekaguliwa, na ukaguzi huu uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili
Ni swala la muda tu tutasahau na maisha yataendelea sisi Tanzania tunaishi kwa mazoea zaidi sio principles
 
Wazo zuri, ila hilo jengo lililo dondoka kwa uchunguzi wangu wa kuona picha halikuwa na tatizo la ubora wa nguzo bali limeporomoka kutokana na ujenzi wa jengo jirani usiozingatia usalama
 
MTASAHAU TU..
CCM ILISHATUROGA
Alafu kwenye ile ajali ya kuporomoka jengo Kuna masisiem yameenda na nguo za kijani za chama.

Yaani mtu anapata taarifa ya ajali,anajiandaa kwenda kuoga na kufungua kabati la nguo kisha anachambua zilipo nguo za chama then anawasha gari na kwenda eneo la tukio kufanya show off mbele ya camera wakati wananchi wapo bize kuwaokoa wahanga.

Wanaleta Siasa mbele ya watu wanaopigania uhai.

Nchi za wanaojitambua watu kama Hawa wanachomwa moto ili iwe fundisho.
 
Ahahahha hebu ainisha criteria zinazotakiwa kutumika kutumika katika kufanya ukaguzi wa kudhibitisha Ubora na o'mara wa jengo la zege ambalo lishajengwa tiyari.
 
Ahahahha hebu ainisha criteria zinazotakiwa kutumika kutumika katika kufanya ukaguzi wa kudhibitisha Ubora na o'mara wa jengo la zege ambalo lishajengwa tiyari.
Mkuu sayansi imesonga kweli, pia ipo aina ya nyundo ikigongwa tu kwenye concrete inasema kila kitu mpaka cement resho ilivyochanganywa!
 
Ni hekima iliyo kubwa hasa kwa ili lililotokea mamlaka husika zikapitia majengo yote kariakoo kwa ukaguzi wa kina, kuanzia ngazi ya uimara wa nguzo na mengineyo ili kutupa moyo sisi wafanyabiashara kuzama kwenye maduka ya underground, napendekeza kila jengo baada ya kukaguliwa likawekwa sticker maalumu ya kuonyesha jengo husika limekaguliwa, na ukaguzi huu uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili
Kwa nini ada iwe 2.5 Ml?
 
Mkuu sayansi imesonga kweli, pia ipo aina ya nyundo ikigongwa tu kwenye concrete inasema kila kitu mpaka cement resho ilivyochanganywa!
Inaitwa Schmit Hammer hiyo bro.......ila kibongobongo utaishia kuwatengenezea ulaji hao jamaa wa kufuatilia uimara wa majengo kwa rushwa
 
Back
Top Bottom