Tumekuwa na hofu, kwa fremu za chini ya ardhi, kikosi maalum kifanye ukaguzi wa majengo yote kko, kwa Ada ya 2.5ml,kwa kila jengo!

Mwafrika nitamdharau mpaka umauti wangu
Ikitokea ajali ya meli basi kipindi cha mwezi mmoja vyombo vyote vya habari watatoa elimu kuhusu usafiri wa majini.
Ikitokea Lori la mafuta limeua watu the same.
Treni ikiua mamia vivyo hivyo mwezi mzima mtakula dozi ya train and railway safety.
Lisipotokea tukio mamlaka zinajichimbia kula vyuku
 
Acha ufisadi weweee!
Ukaguzi wa uimara wa jengo iwe 2.5millions!?
Kwa minajili ipi kwanza!?
 
Kwa nini ada iwe 2.5 Ml?
Uzito na ugumu wa kazi husika, Arial exray kukagua nondo sahihi, usahihi wa nguzo moja mpaka nyingine, kiwango cha vumbi ndani ya zege, Mambo ni mengi kweli.
 
Rushwa ni mbaya sana. Rusha na ufisadi ni kama concer ya damu. Nchi ya rushwa haiwezi kuwa na walimu, madaktari ,MA engineer au viongozi wazuri. Hivyo madhara ya rushwa yanagusa kila mtu kwenye nchi hiyo. Kwenye nchi ambayo hawajari utawala wa sheria . Lazima wananchi wake watakutana na majanga kama hayo ya magorafa kuanguka. Barabara zisizo zingatia usalama wa watumiaji. Mahospitali yasiyo zingatia taratibu za utabibu, elimu inayo zalisha wasomi wasio na elimu, viongozi wasio juwa wanaogoza nani . Tubadilike tukubali kuwa tulikosea kujenga msingi mbovu tubomowe tuanze upya .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…