Tumemaliza mechi za pwagu na pwaguzi tunawakaribisha kwenye mechi za mabingwa wa nchi zao hapo kesho

Huu uzi kwa jinsi ulivyoandikwa ni Ishara kwamba mtoa mada kaumia sana kuona Simba leo imemcharza Wydad maana alijua atafungwa!..
Kaumia sana kuona simba anasonga mbele wakati yeye hajui hatima yake kesho..
Je ataendelea kukandwa, au wanamsukutua au watamnywa tena?
 

Weka akiba ya maneno amigo!!! Kesho utakuja apa kichupi mkononi unataka gamondi afukuzwe
 
Mabingwa wa kihistoria 🇹🇿
 
🤣🤣🤣🤣Mtaumia
 
uko nafasi ya mwisho kwenye kundi unaongeaaa, miaka 25 iliyopita ulimaliza wa mwisho angalia historia isije kujirudia!!!!!!!
 
.
 
Na leo ndiyo ataumia hadi aingie kwenye siku zake kabla ya muda.
 
Tusome kama ilivyoandikwa.
"Na baada ya kumaliza kuwaumba mashabiki wa simba ndipo shetani aliiba udongo na kuwaumba mashabiki wanaojiita nyuma kuna mwiko"
 
Kuna mwenzako aliomba ban..lakini wana wakamvunjia yayi.. Makinika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…