inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Yanga inazifunga timu zote ikiwepo yako,nanyi mmerubuniwa!?.. club africain walirubuniwa!?..Ishinde bila msaaada wa waamuzi.
Ishinde kwa jitihada za kweli sio kurubuni baadhi ya wachezaji wa timu pinzani.
Pole sana kama una mimba na tunataka kukuharibia
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kwaiyo simba peke yake ndiyo yenye haki ya kufungwa na yanga? Mbona mnakuwa wabinafsi sana nyie siku zote kitu kizuri kula na mwenzako🤣🤣🤣Hii transformation ya soka la Tanzania kuwa bongo muvi naiona ikiienda kwa kasi sana ikiongozwa na hawa jamaa watakao comment matusi hapa chini.
Wasomali ni mafia sana,hili jambo linaonekana kwa wachache wenye akili
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Confederation gani kwenye mechi 15 za ligi police wameshinda mechi ngapi? Nyinyi mmecheza nao kwao Moshi mliwafunga ngapi? hivi kwanini akili ni kitu adimu sana kwa nyie Mbumbumbu!Caf confederation cup ndio mwokozi wa dhulma zote hizi ngoja tusubiri
Shida sio kifungwa shida ni aina ya team inavyofungwa ikicheza na yanga.Confederation gani kwenye mechi 15 za ligi police wameshinda mechi ngapi? Nyinyi mmecheza nao kwao Moshi mliwafunga ngapi? hivi kwanini akili ni kitu adimu sana kwa nyie Mbumbumbu!
Mara ya mwisho Police wameshida mechi gani? tupe matokeo yao ya mechi 5 za mwisho kabla ya kucheza na YangaShida sio kifungwa shida ni aina ya team inavyofungwa ikicheza na yanga.
Kwani ihefu wakati anamfunga yanga alikuwa kamfunga nani na alikuwa nafasi ya ngapi ina maana unashindwa kuelewa ninachomaanishaMara ya mwisho Police wameshida mechi gani? tupe matokeo yao ya mechi 5 za mwisho kabla ya kucheza na Yanga
Si mliwatuma wakamie mchezo yakawakuta.Kwa hiyo Yanga kuifunga Polisi ni jambo la kushangaza? Hivi siku hizi matokeo halali ni Yanga kufungwa tu? ulihoji chochote mechi ya Simba vs Mtibwa?
Endeleeni na malalamiko tutakutana hapa mwisho wa msimu, timu inashindwa kutoa gari garage, usajiri haueleweki, Barbara kasusa mna coach wa kukodi mnashindwa kupambana na changamoto zenu mmekomaa na mambo ya jilani kupanga ni kuchaguaKwani ihefu wakati anamfunga yanga alikuwa kamfunga nani na alikuwa nafasi ya ngapi ina maana unashindwa kuelewa ninachomaanisha
Kwamba yanga akifungwa ni sahii Ila alishinda ananunua matchUzuri mnaelewa ila mnajitahidi kujizima data tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Tatizo yule nguruwe pori kila anachoongea mnamsikiliza alisema mnaanzia group stage Caf champions league mkakubali alisema Caf confederation cup ni kombe loser akamaliza wenye akili yanga ni wawili hivi mtu kama huyo kweli anaaakili huyoEndeleeni na malalamiko tutakutana hapa mwisho wa msimu, timu inashindwa kutoa gari garage, usajiri haueleweki, Barbara kasusa mna coach wa kukodi mnashindwa kupambana na changamoto zenu mmekomaa na mambo ya jilani kupanga ni kuchagua
Wewe na huyo unae msema akili ni sawa maana reply yako na maelezo yangu haviendani kabisaTatizo yule nguruwe pori kila anachoongea mnamsikiliza alisema mnaanzia group stage Caf champions league mkakubali alisema Caf confederation cup ni kombe loser akamaliza wenye akili yanga ni wawili hivi mtu kama huyo kweli anaaakili huyo
Kwa hyo mambo uliyoleta ww ya coaster yanaendanaWewe na huyo unae msema akili ni sawa maana reply yako na maelezo yangu haviendani kabisa
Kuweni makini na Singida atawatoa nafasi ya tatu huo ndio usia wangu kwenu. I'm doneKwa hyo mambo uliyoleta ww ya coaster yanaendana
Ile mechi dhidi ya Club African ilikuwa ni mashindano yapi?Caf confederation cup ndio mwokozi wa dhulma zote hizi ngoja tusubiri
Wakumbuke wanawazidi Singida points 4 tu wasije kusema hawakuambiwaIle mechi dhidi ya Club African ilikuwa ni mashindano yapi?
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app