Tumepanda ligi kuu, Njombe Mjii Oyeeeee....!!!

Panone nikiangaliaga nembo yao napatwa na mizuka sana nawaombea sana waimarike wapande ligi kuu at least tuwe na pa kushangilia bwana oljoro nao wamezama tena kwenye tope agrrr
Oljoro n kuwapa tu mkono
Wa baybay

Tuiombee tuu panon wapande
Na,cc tupakupgia debe aiseee

Maana nna uhakika
Panon ina 90% ya,mafanc wa
Kaskazin hapo bdo hujawaweka wa
Nyumban mo town
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Mkuu kwan hawataweza kuambulia
Hata point moja
Mkuu labda wazikute maji maji na mbao fc hazijashuka daraja wanaweza kuambulia point
 
Mkuu labda wazikute maji maji na mbao fc hazijashuka daraja wanaweza kuambulia point
[emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji2]

Ila maji maji hata kama n kuwa
Mtori co kwa kias hiki aisee wamezd
 
Oljoro n kuwapa tu mkono
Wa baybay

Tuiombee tuu panon wapande
Na,cc tupakupgia debe aiseee

Maana nna uhakika
Panon ina 90% ya,mafanc wa
Kaskazin hapo bdo hujawaweka wa
Nyumban mo town
Ni kweli asee hata mim sasa ivi mtu akiniulizaga we mshabiki was team gani humjibu panone fc ligi daraja la kwanza huwa wanacheka sanaa huku nawaambia hata mbuyu ulianza kama mchicha mazee tutapanda tuu.
 
Sasa ni mshabiki wa Yanga, Njombe mji.....Njombe mji home team, Yanga blood team!!
 
Nimependa Jina lao, hawana ulimbukeni Njombe Mji. Sio sijui city sijui town! Uozo mtupu.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji2]

Ila maji maji hata kama n kuwa
Mtori co kwa kias hiki aisee wamezd
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kidogo mbeya city anakaza
 
Nyanda za juu kusini kila mkoa Timu, : Lipuli, Njombe mji, Prison, Mbeya city, Majimaji
 
Ni kweli asee hata mim sasa ivi mtu akiniulizaga we mshabiki was team gani humjibu panone fc ligi daraja la kwanza huwa wanacheka sanaa huku nawaambia hata mbuyu ulianza kama mchicha mazee tutapanda tuu.
Kabsa mkuu wasubr tu
Cku tukipanda ligi kuu
Lazma waisome no hakuna mchezo

Binafc panon nlianza kuwakubali
Kitambo sana

Mungu atasaidia tu tutapanda
 
Kabsa mkuu wasubr tu
Cku tukipanda ligi kuu
Lazma waisome no hakuna mchezo

Binafc panon nlianza kuwakubali
Kitambo sana

Mungu atasaidia tu tutapanda
Hata Mimi nawaombea sana man wangu hope Mwenyenzi Mungu atasikia kilio chetu wana was kaskazini toka ushirika waondoke.
 
Hata Mimi nawaombea sana man wangu hope Mwenyenzi Mungu atasikia kilio chetu wana was kaskazini toka ushirika waondoke.
Dhaaaa!! Ushirika chama lile
Aiseeee cjui kwann ilianguka

I hope kaskazn tutarudsha tu heshima
Yetu panon tutairudisha hyo nafac
 
Mwenye uwezo wa kunipatia Crest ya Klabu ya Njombe Mji afanye hivyo....
 
sijui watachezea kiwanja gani maana njombe hakuna kiwanja, makambako kiwanja kibovu hakina jukwaa hata moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…