Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Kasi ya majaribio inapaswa kuwa zaidi ya kasi tarajiwa. Treni hii ni ya mwendo kali, iweje uifanye majaribio kwa mwendo mdogo?Mama kweli anapuyanga hata mimi namchukia vibaya kumuona yupo madarakani na serikali yake imekua ya ahadi ya uongo.
Ila kwa SGR wamejitahidi tusiwe waongo yani kasi ya majaribio ilitumia 100kmph-120kmph .
Hiyo ni kasi ya majaribio sio maximum speed .
Kujieleza sana nako ni dalili mbaya,hapo umeandika hekayaWatu wanatafuta kila namna ya kukosoa. Ujinga mtupu. Kwa nature ya watu tulionao na unafiki ulivyo mkubwa viongozi wa taifa hili wanatakiwa wawe wanafanya maamuzi magumu linapokuwa ni swala lenye manufaa kwa Taifa.
Kuna watu wao ni kukosoa kila kitu. Mradi wa mwalimu nyerere ni fundisho tosha kwa wa Tz kuhusu aina ya viongozi tunaowataka. Hata kama Magufuli hayupo hai lazima tushukuru uthubutu wake katika hili. Mzee alikuwa anaona mbali sana. Pia Raisi Samia lazima tumpongeze kwa kazi kubwa aliyo ifanya . Kwa hali aliyoipokea nchi angeweza kuachana na mradi huu ili kufurahisha mioyo ya waliokuwa wanampinga Magufuli. Lakini ameweza kuishi kwenye Maono ya Magufuli na kupambana mpaka mradi umekamilika.
Wapingaji kila kitu husasan wanaoandamana saiv wawe na chembe ya aibu. Kama ni waungwana Watoke hadharani waombe msamaha kwa watanzania kwa kutumika vibaya kwa kutolitakia mema Taifa.
Raisi Samia na viongozi wengine Msikubali kabisa kutolewa kwenye reli kunapokuwa na jambo la msingi na lenye manufaa kwa Taifa. Kuna wanasiasa wanaotumika. Wananchi tunajua cha kuwafanya 2025
Taratibu zinataka hivyo.Sasa walikuwa wanatest nini? Kama ni hivyo wangesubiri fence ziwekwe watest!
Ndio maana halisi ya kutestKasi ya majaribio inapaswa kuwa zaidi ya kasi tarajiwa. Treni hii ni ya mwendo kali, iweje uifanye majaribio kwa mwendo mdogo?
Hakuna aliyechaguliwa 2020 walijichaguaAmbao ni wewe na Mimi tulipiga kura kwa kishindo 2020
Majaribio hayatizamii kasi ya chombo pekeake,kumbuka inatumia umeme na Tz bado suala la umeme ni tatizo maana kuna za chini chini inasemekana kuna muda treni ilipungua ufanisi kwa nguvu ya umeme kuwa chini.Kasi ya majaribio inapaswa kuwa zaidi ya kasi tarajiwa. Treni hii ni ya mwendo kali, iweje uifanye majaribio kwa mwendo mdogo?
Kweni Fence ikiwekwa inazuia Derailment?Bro are you realy serious ufananishe chombo cha reli na gari??
Mara nyingi hiko chombo cha reli usipokidhibiti kwa umakini huhama njia yani hutoka relini nadhani unaelewa kinachofuata ni nini.
Niliwahi kuwa katika moja wapo ya ajali ya treni maana nautumia sana huo usafiri kuelekea Tabora na Katavi Mpanda.
Acha kabisa usifananishe gari na treni.
Gari ikitetereka usukani kuna namna ya kuiweka sawa na kujiokoa ila treni ikihama njia ni DISASTER.
🎼asiyejua kuchaguaa!!....Sare Sare Maua......
Nikuonyeshe Clip ya majaribio ya Treni za Ufaransa?Hii ni treni ya majaribio