Tumepigwa tena? Tovuti ya TRC haina hata mpango kazi wa ujenzi wa SGR Tabora - Kigoma

Jiwe alipeleka SGR Mwanza kwasabb za ukanda na ukabila zilizokuwa zimemlevya. Lkn Mwanza haina tija kwa SGR. Kigoma ndiyo mahala pake
 
Kupeleka sgr mwanza Kuna faida gani!?..ya kigoma ni rahisi kuunga na Burundi ambako pia wakongo wanaweza tumia,kupeleka mwanza Kuna faida gani?!..maana treni hairudishi faida ikiwa lengo ni abiria tu
Route ya mwanza inahudumia mikoa 5 yenye uchumi mkubwa, usifanye kujenga reli au barabara kipaumbele huwa ni kuhudumia majirani, hakuna hicho kitu..kipaumbele cha kwanza ni wananchi wako siyo jirani.
 
Route ya mwanza inahudumia mikoa 5 yenye uchumi mkubwa, usifanye kujenga reli au barabara kipaumbele huwa ni kuhudumia majirani, hakuna hicho kitu..kipaumbele cha kwanza ni wananchi wako siyo jirani.
Reli ni kwa ajili ya mizigo,hiyo mikoa 5 unayodai Haina mizigo ya kurejesha faida ya sgr kuzidi mizigo ya DRC na Burundi
 
Jiwe alipeleka SGR Mwanza kwasabb za ukanda na ukabila zilizokuwa zimemlevya. Lkn Mwanza haina tija kwa SGR. Kigoma ndiyo mahala pake
Wewe una upumbavu kichwani umeweka chuki dhidi ya mtu pasina hoja yoyote..katika yote wewe unaona ukabila, idadi ya watu wa mikoa 5 utalinganisha na idadi ya mkoa mmoja? Potential ya mikoa 5 inalingana na mkoa mmoja? Jiwe jiwe..huna lolote unalojua.
 
Ilikuwa na maana Gani kutandika tena mareli wakati yalikuwepo.........Kwa nini wasiboreshe yaliyopo........daa hii bongo bana ........Bora hata ningekuwa kimba urusi uko ninyewe kwenye Karo na mvuta bangi niperekwe kwenye sawage bank basi nifie uko
Umeamua kujilaani mwenyewe kisa wahuni wa Ccm ?....umepotoka
 
Nchi imekuwa shamba la bibi, hakuna uwajibikaji wala usimamizi. Kila Wizara au Idara watendaji wanabuni mipango kazi au andiko lisilotekelezeka kiuhalisia!.....

NIDA nao wamekuja na mpangokazi wa kuwezesha wananchi kujaza maombi ya kitambulisho cha taifa mtandaoni lengo wamedai kuwa isiwe lazima watu kusongamana kwenye ofisi za NIDA.

Tovuti waliyoitoa inaonekana kuwa ya mchongo, haifunguki na hakuna kinachoendelea.
 
sexless,

website haijiandiki, inaandikwa na mtu binadamu kama wewe, muda ukifika itawekwa tu usijali.;

mbona JPM alidumu kwenye website ya ikulu akiwa amepumzishwa kwao chato?

ulitakikiwa uwakumbushe tu wenye dhamna na hilo swala wahakikishe wameliweka kwa site yao.
 
Fafanua tafadhali.
Unasema, and I qoute, "Kupeleka SGR Kigoma is not Commercially viable kwa sasa."
Una uhakika, au unamaanisha kuwa 'Kupeleka SGR Mwanza is not Commercially viable kwa sasa'?
Nauliza kwa sababu TRC inakuwa sustained na Mizigo ya DRC kupitia Kigoma.
Mwanza kuna Mzigo mdogo sana unaobebwa na Treni.
Sasa inakuwaje SGR kufika Kigoma isiwe Commercially viable?
 
Hata kichaa anaweza kutamka mizigo ya drc au Burundi..ila kujua ni mizigo gani akili haina uwezo kutaja..route ya mwanza mafuta tu peke yake yanayopelekwa Uganda, hiyo mizigo usiyoijua ya huko unakosema hata robo haifiki..labda km una ubishi wa kijiweni ulikokulia itakuwa si kosa lako.
 
Kwanza fahamu hili, huweki barabara au reli ili nchi jirani watumie zaidi kuliko wewe, siku wakibadilisha uamuzi wakaanza kutumia njia nyingine utafunga hiyo barabara au reli..
Route ya mwanza reli inaserve mikoa 5, kwa kigoma ukitoka tabora hapa katikati hakuna kitu chochote chenye maslahi kiuchumi hadi unafika kigoma..hapo nyuma kdg ilionekana kigoma kuna potential ya kufanya biashara na kilimo sabab ya influx ya wakimbizi, baada ya makazi ya wakimbiz kufungwa kigoma imedorora haina msisimko wa biashara km wakati makazi ya wakimbizi yalipokuwepo..na kwa hivyo ni bora zaidi kutumia reli hii ya sasa kuliko kujenga SGR..ndio maana wakati wa influx ya wakimbiz Isaka ilifanywa kuwa dry port sabb ni rahisi kusafirisha mizigo km chakula kwenda Burundi na Rwanda kuliko kuipeleka kigoma then iende Burundi.
 
Mafuta ya DRC na Burundi yanapita wapi!?
 
Kwa haya maswali natamani yaliyotokea msumbiji kwa watu waliingiza nchi kwenye madeni isivyopaswa kufungwa, yatokee hapa siku moja, uzuri taarifa hazipotei, siku amepatikana Rais mzalendo watafungwa watu hata kama wako 80's
Hapo kwenye kupatikana Rais mzalendo ndipo pagumu. Waliopo sasa hawatafanya kosa jingine.

JK na Mama watahakikisha wanaiacha Nchi kwenye kwenye mikono ya mtu atakayelinda maslahi yao kwa 100%
 
hapo nyuma kdg ilionekana kigoma kuna potential ya kufanya biashara na kilimo sabab ya influx ya wakimbizi, baada ya makazi ya wakimbiz kufungwa kigoma imedorora haina msisimko wa biashara km wakati makazi ya wakimbizi yalipokuwepo..
Kambi za wakimbizi (unaziita “makazi ya wakimbizi”) hazijafungwa zote. Kuna kambi mbili - moja ya WaCongi ipo Kasulu na nyingine ya Warundi ipo wilaya ya Kibondo. Kila week wakimbizi “wapya” wanaingia

Hizi kambi hazifungwi hivi karibuni hasa ya Wangomen maana balaa la M23 huko DR Congo sio dogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…