Sijaona alichozungumza kipya hapo zaidi ya CSR(social corporate responsibility-CSR). For sure hata Barick wanajua alichozungumza ni tayari mambo waliyokuwa wanazungumza, ambayo kimsingi yapo kwenye sheria za nchi.Makinikia hawajayagusia kabisaaa!
Tutaamka asubuhi moja makontena yote yameshapakiwa na kuondoka kuficha aibu.
Yani atleast ingefika hata Trillion 1 basi tungeamini kidogo kuna nafuu kumbe kelele nyiingi halafu tumepewa billion 700 ambayo pia ni subject for approval kutoka kwa shareholders, jamaa wakigoma ku approve hyo itakuwaje sjuiHivi Ni kweli walikuwa wanatuibia kwenye makinikia au! mbona hawajagusia.....
Yaani kutoka trillion 108 mpaka billion 666!!!
mmmmmh.....
Noah yangu jamani
Millioni 300 badala ya Trillions 400+!!!!!!!!!!!!!.
TUNDU LISU YUKO WAPI JAMANI?
LISU AMECHANGIAJE KATIKA KUPIGWA KWETU NAMNA HII?
KAMA SIYO AIBU, HII NI FEDHEHA!
Hzi ni pumba kama pumba zingineMillioni 300 badala ya Trillions 400+!!!!!!!!!!!!!.
TUNDU LISU YUKO WAPI JAMANI?
LISU AMECHANGIAJE KATIKA KUPIGWA KWETU NAMNA HII?
KAMA SIYO AIBU, HII NI FEDHEHA!