Tumeshamjua SIMBA bado mbwa anaebweka ni nani?

Tumeshamjua SIMBA bado mbwa anaebweka ni nani?

Huyo simba ndie huyo huyo mbwa, huwa anakuwa kiumbe husika kulingana na muktadha wa wakati husika kwa mujibu wa Bi. Chura.

Chura Kiziwi anatapatapa kama mfa maji. Anajitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Huu uzi aina za kina imhotep na wale wengine ni mwendo wa juu kwa juu kimya kimya. Wakijisemea hiiiiiiii!

Huu ni utabiri zaidi ya ule wa TMA:

"Hutawaona hapa, Ng'o!"
Lile fumbo la Mama hadi sasa mimi Imhotep sijalifumbua na huyo "Mbwa" sijui ni nani?!

Labda, ni Ruto ambae amekuwa akiruhusu harakati za Wamasai wa Ngorongoro zifanyike kwa uwazi huko Nairobi?!
 
Lile fumbo la Mama hadi sasa mimi Imhotep sijalifumbua na huyo "Mbwa" sijui ni nani?!

Labda ni Ruto ambae amekuwa akiruhusu harakati za Wamasai wa Ngorongoro zifanyike kwa uwazi huko Nairobi?!

Mkuu ndiyo sababu ya huu uzi JF wajuzi wengi.

Tayari inajulikana elimu si ya kubeza.

Waweza jikuta unabweka bila kujua.
 
Back
Top Bottom