Tumeshazoea Maisha Bila Video za Porn Tanzania

Tumeshazoea Maisha Bila Video za Porn Tanzania

DissDotCom

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
395
Reaction score
268
Kiuweli ni kama siamini hivi ila ndio ishazoeleka tena kwa sasa, kila siku najaribu kubrowse kwenye sites za ngono kuona labda mzigo umeachiwa lakini wapiiiii?

Ombi letu kama mlivyofanikiwa kufungia site za ngono tunaomba mdhibiti na wale wa makampuni ya simu wanaotutumia sms bila mpangilio maalumu hadi zina kera..
 
Kiuweli ni kama siamini hivi ila ndio ishazoeleka tena kwa sasa, kila siku najaribu kubrowse kwenye sites za ngono kuona labda mzigo umeachiwa lakini wapiiiii?

Ombi letu kama mlivyofanikiwa kufungia site za ngono tunaomba mdhibiti na wale wa makampuni ya simu wanaotutumia sms bila mpangilio maalumu hadi zina kera..
Ww utakuwa unaishi Chato kakijiji kadogo kanako dai kuitwa Mkoa
 
Dingilai yani uko tayari na umelizika kukosa show za Sasha a.k.a sarah banks kizembe hivyo??
 
Kiuweli ni kama siamini hivi ila ndio ishazoeleka tena kwa sasa, kila siku najaribu kubrowse kwenye sites za ngono kuona labda mzigo umeachiwa lakini wapiiiii?

Ombi letu kama mlivyofanikiwa kufungia site za ngono tunaomba mdhibiti na wale wa makampuni ya simu wanaotutumia sms bila mpangilio maalumu hadi zina kera..
Mzigo upo tumia vpn ingia google utakuja nishukuru
 
Ngoja waje kukupa muongozo...
Muongozo ni kwamba ili kuweza kuufungia mtandao fulani, ni lazima anaeufungia awe anaufahamu huo mtandao kwa jina. Au anafungia mitandao yote yenye maneno fulani kwenye url. Mfano "sex", "porn", "xxx" nk. Mitandao yote ambayo sio popular na haina maneno hayo kwenye url zake bado ipo active na inafunguka bila shida yoyote ile..
 
tanzania bila pono haiwezekan coz naona kizaz cha samia kipo bize kutafuta blog za pono badala ya kutafuta vitu vya maana
 
Muongozo ni kwamba ili kuweza kuufungia mtandao fulani, ni lazima anaeufungia awe anaufahamu huo mtandao kwa jina. Au anafungia mitandao yote yenye maneno fulani kwenye url. Mfano "sex", "porn", "xxx" nk. Mitandao yote ambayo sio popular na haina maneno hayo kwenye url zake bado ipo active na inafunguka bila shida yoyote ile..
Ni kweli kuna moja inaitwa redwap, inafunguka bila shida,
 
Kiuweli ni kama siamini hivi ila ndio ishazoeleka tena kwa sasa, kila siku najaribu kubrowse kwenye sites za ngono kuona labda mzigo umeachiwa lakini wapiiiii?

Ombi letu kama mlivyofanikiwa kufungia site za ngono tunaomba mdhibiti na wale wa makampuni ya simu wanaotutumia sms bila mpangilio maalumu hadi zina kera..
Unashangaza sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom