Tumeshinda kwenye Operation “Vaa Barakoa” sasa tuhamie kwenye Chanjo

Wakati waliozitengeneza chanjo wananchi wao wanazikimbia, Waafrika wanalilia. Huku mnachomwa na jua mwaka mzima na kupata vitamin D ya kutosha, mnakula vyakula vulivojaa vitamin C, bado mnalilia chanjo.

 
Mfano babako anatoka asubuhi kwenda ktk mihangaiko,,unampa condition aje na nyama akitoka job,ataleta?..
Mfano wa ajabu sana huo.., (Baba yake anatoka kazini kutafuta) Wakati viongozi wanakusanya kodi ambayo huyu unayemdharau ndiyo anayetafuta hio pesa na kuwalipa hao ambao kazi yao ni kuhakikisha anapata value for money....
 
Mfano babako anatoka asubuhi kwenda ktk mihangaiko,,unampa condition aje na nyama akitoka job,ataleta?..
Tofautisha ugonjwa na nyama, bora ungetoa mfano wa dawa ya mtoto mgonjwa na sio nyama isiyo na umuhimu wowote hata upoila.
 
Unajua maana ya chanjo ?
 
Mjifunze basi kuomba kistaarabu,,kwani mkiomba kwa unyenyekevu kitaharibika kitu?,,sio lazima kutunishiana msuli,,nna hakika mkiomba kwa staha,hizo chanjo zitakuja tu...
Hakuna anayeweza kutamba kama hana afya, hatuwezi kumchekea mtu anayefurahi sisi tukiugua huku yeye akiendelea kufanya majaribio ya kichawi. Yeye kama kazuiwa kuvaa Barakoa na Waganga wake asitushirikishe sisi hadi kutamba kwamba walio karibu naye hawatakiwi kuvaa.
 
Ushawahi tongoza demu halafu anapigabkelele na vijembe kuwa hakutaki halafu kadiri muda unavyokwenda analainika kama ute
 
Usishindane na serikali kama vp ww vaa barakoa tulia fanya yako
 
Wewe na Dorothy endeleeni kupiga nyungu na kubugia maji ya tangawizi sisi wengine tunataka chanjo.

 
1. mlikuwa mnashindana na nani?
2. Chanjo ziko nyingi zingine zimekataliwa Afrika Kusini nayo imizikabidhi CDC ya Afrika zigawiwe
 
Kwahiyo hata kama jambo halina mantiki mnashangilia tu.
 
1. mlikuwa mnashindana na nani?
2. Chanjo ziko nyingi zingine zimekataliwa Afrika Kusini nayo imizikabidhi CDC ya Afrika zigawiwe
Mabeberu, kwani hujui tuna vita ya kiuchumi, ila sisi tumezikataa chanjo zote tunazo zetu zilizoidhinishwa na wizara ya afya.
 
Duh wewe ni mwoga hakuna mfano. Unaonekana kuwa na nakisi kubwa ya elimu ya uraia. Hao viongozi wa dini hawadai haki kwa niaba ya waumini bali wanadai haki wakiwa sehemu ya raia; wakiwakilisha kundi kubwa la wananchi.

Ujitokeze kuungana na wenzako kudai haki ya kupata chanjo bila kusubiri maaskofu. Aidha, chanjo haipaswi kutolewa kwa kila mtu kujigharimia mwenyewe.

Serikali inawajibika kutumia rasilimali za wananchi kugharimia chanjo ya Covid 19 na kisha kuisambaza na kuhakikisha wananchi wanapata chanjo hiyo kwa ajili ya kulinda afya na usalama wa wananchi wote wa taifa hili. Jiongoze ndugu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mlishindwa kumpigania Lisu apate japo 20% sembuse huu ujinga wenu?

Corona itapita huku mkiendelea kuwa wajinga hivi hivi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mlishindwa kumpigania Lisu apate japo 20% sembuse huu ujinga wenu?

Corona itapita huku mkiendelea kuwa wajinga hivi hivi.
Usichanganye korona na siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…