Ndiyo, tunashindana na wauaji.Kumbe mko kwenye mashindano?
Mfano wa ajabu sana huo.., (Baba yake anatoka kazini kutafuta) Wakati viongozi wanakusanya kodi ambayo huyu unayemdharau ndiyo anayetafuta hio pesa na kuwalipa hao ambao kazi yao ni kuhakikisha anapata value for money....Mfano babako anatoka asubuhi kwenda ktk mihangaiko,,unampa condition aje na nyama akitoka job,ataleta?..
Tofautisha ugonjwa na nyama, bora ungetoa mfano wa dawa ya mtoto mgonjwa na sio nyama isiyo na umuhimu wowote hata upoila.Mfano babako anatoka asubuhi kwenda ktk mihangaiko,,unampa condition aje na nyama akitoka job,ataleta?..
Unajua maana ya chanjo ?Wakati waliozitengeneza chanjo wananchi wao wanazikimbia, Waafrika wanalilia chanjo. Huku mna chomwa na jua mwaka mzima na kupata vitamin D ya kutosha, mnakula vyakula vulivojaa vitamin C, bado wanalilia chanjo.
WHO Approves AstraZeneca Vaccine for Emergency Use, But Some Nations Say ‘No Thanks’
The controversial vaccine, which Bill Gates has heavily invested in, is being rejected by some countries over widespread concerns about side effects and efficacy.childrenshealthdefense.org
Hakuna anayeweza kutamba kama hana afya, hatuwezi kumchekea mtu anayefurahi sisi tukiugua huku yeye akiendelea kufanya majaribio ya kichawi. Yeye kama kazuiwa kuvaa Barakoa na Waganga wake asitushirikishe sisi hadi kutamba kwamba walio karibu naye hawatakiwi kuvaa.Mjifunze basi kuomba kistaarabu,,kwani mkiomba kwa unyenyekevu kitaharibika kitu?,,sio lazima kutunishiana msuli,,nna hakika mkiomba kwa staha,hizo chanjo zitakuja tu...
Yanaitwa mapozi ya pakaUshawahi tongoza demu halafu anapigabkelele na vijembe kuwa hakutaki halafu kadiri muda unavyokwenda analainika kama ute
Wewe na Dorothy endeleeni kupiga nyungu na kubugia maji ya tangawizi sisi wengine tunataka chanjo.Wakati waliozitengeneza chanjo wananchi wao wanazikimbia, Waafrika wanalilia chanjo. Huku mna chomwa na jua mwaka mzima na kupata vitamin D ya kutosha, mnakula vyakula vulivojaa vitamin C, bado wanalilia chanjo.
WHO Approves AstraZeneca Vaccine for Emergency Use, But Some Nations Say ‘No Thanks’
The controversial vaccine, which Bill Gates has heavily invested in, is being rejected by some countries over widespread concerns about side effects and efficacy.childrenshealthdefense.org
1. mlikuwa mnashindana na nani?Hapo Mwanzo msimamo wa Rais na serikali nzima ulikuwa Tanzania HAKUNA KORONA kwa hiyo hakuna haja ya kuvaa barakoa. Baada ya wananchi, wanaharakati na baadhi ya viongozi wa dini kuonyesha msimamo wao wa kuvaa barakoa, serikali ikaanza kubadilika, tukaanza kusikia Tanzania ina korona chache sana mara hakuna aliyezuia kuvaa barakoa, mwisho wakakubali eti ukitaka kuvaa vaa za Tanzania, kwa wananchi huo ni ushindi.
Hatua inayofuata ni kuishinikiza serikali ikubali kuleta chanjo ya virusi vya korona.
Dalili ni nzuri, kwanza wameanza kusema chanjo ni ghari kitu ambacho hakina msingi wowote kwenye afya ya mtu, halafu wanasema eti hazijajaribiwa kwenye nchi za joto kama yetu sijui hizo taarifa wamezitoa wapi.
Najua mwanzo wataona aibu kukiri kama ilivyokuwa vigumu kukiri uwepo wa Covid 19, watakuja na maneno mengi wakijidai kuchagua aina ya chanjo inayofaa lkn mwisho watakuja kukubali kuileta kwa aibu kubwa.
Aluta continua.
Mabeberu, kwani hujui tuna vita ya kiuchumi, ila sisi tumezikataa chanjo zote tunazo zetu zilizoidhinishwa na wizara ya afya.1. mlikuwa mnashindana na nani?
2. Chanjo ziko nyingi zingine zimekataliwa Afrika Kusini nayo imizikabidhi CDC ya Afrika zigawiwe
Kuvaa barakoa kwako ni jambo lisilo na mantiki?Upinzani
Kwahiyo hata kama jambo halina mantiki mnashangilia tu.
Barakoa zinasaidia vipi kuzuia kuenea kwa Corona?Kuvaa barakoa kwako ni jambo lisilo na mantiki?
Duh wewe ni mwoga hakuna mfano. Unaonekana kuwa na nakisi kubwa ya elimu ya uraia. Hao viongozi wa dini hawadai haki kwa niaba ya waumini bali wanadai haki wakiwa sehemu ya raia; wakiwakilisha kundi kubwa la wananchi.Upo sahihi. Tuzidi kuwasihi viongozi wa dini, wazidi kuihimiza Serikali kuutimiza wajibu wake.
Kwa kuwa hoja ya msingi ya Serikali ni ughali wa chanjo (ule utopolo wa Mwigulu kuwa eti Dar kuna joto Ni upuuzi), tupiganie hospitali binafsi na taasisi binafsi zinazojihusisha na masuala ya afya kupewa uhuru wa kuagiza na kutoa chanjo.
Kauli ya viongozi wa dini imeonekana kuwa na nguvu kwa serikali kuweza kubaeili fikra zile zisizo sahihi dhidi ya corona, basi hawa hawa watuongoze katika kulipigania hili la chanjo. Lakini chanjo iambatane na upimaji.
Wameua kina nani?Ndiyo, tunashindana na wauaji.
Hilo somo limeshapita na kueleweka na wengi, somo linalofuata ni kupata chanjo.Barakoa zinasaidia vipi kuzuia kuenea kwa Corona?
Usichanganye korona na siasa.[emoji23][emoji23][emoji23]Mlishindwa kumpigania Lisu apate japo 20% sembuse huu ujinga wenu?
Corona itapita huku mkiendelea kuwa wajinga hivi hivi.