Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Lina mantiki kwa wanaouza barakoa na sanitaiza.Kuvaa barakoa kwako ni jambo lisilo na mantiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lina mantiki kwa wanaouza barakoa na sanitaiza.Kuvaa barakoa kwako ni jambo lisilo na mantiki?
Hilo somo limeshapita na kueleweka na wengi, somo linalofuata ni kupata chanjo.
wengine tumegeuka wagonga like tu.. jf ya sasa ni utoporo mwingineHii nayo tutashinda Mkuu kule Twitter mwigulu wamemchapa za uso na wanaendelea kumchapa za uso tena kwa facts. I love Twitter’s Republic zamani uhuru wa kule ulikuwepo hapa ila siku hizi utaishia kula ban.
Kwako muhimu ni biashara ya barakoa tu.Lina mantiki kwa wanaouza barakoa na sanitaiza.
Hiyo chanjo ianayokataliwa na wazungu ndio hawa maskini huku kwetu wataletewa na kulazimishwa kuchanjwa.![]()
People in France, Germany, and the UK are turning down the AstraZeneca vaccine because they want the Pfizer one instead, reports say
Officials in Europe have described public resistance to the AstraZeneca vaccine. In the UK, some are avoiding the shot, while others are seeking it.www.yahoo.com
siyo chini ya JPMHiyo chanjo ianayokataliwa na wazungu ndio hawa maskini huku kwetu wataletewa na kulazimishwa kuchanjwa.
Jikite kwenye madaKumbe mko kwenye mashindano?
Upo sahihi. Tuzidi kuwasihi viongozi wa dini, wazidi kuihimiza Serikali kuutimiza wajibu wake.
Kwa kuwa hoja ya msingi ya Serikali ni ughali wa chanjo (ule utopolo wa Mwigulu kuwa eti Dar kuna joto Ni upuuzi), tupiganie hospitali binafsi na taasisi binafsi zinazojihusisha na masuala ya afya kupewa uhuru wa kuagiza na kutoa chanjo.
Kauli ya viongozi wa dini imeonekana kuwa na nguvu kwa serikali kuweza kubaeili fikra zile zisizo sahihi dhidi ya corona, basi hawa hawa watuongoze katika kulipigania hili la chanjo. Lakini chanjo iambatane na upimaji
Kwani amehamishia ofisi India?Ndugai yuko wapi? This guy is a big burden to the taxpayers.
Ujue mtoto anarithi tabia toka kwa mzazi/mlezi.Mjifunze basi kuomba kistaarabu,,kwani mkiomba kwa unyenyekevu kitaharibika kitu?,,sio lazima kutunishiana msuli,,nna hakika mkiomba kwa staha,hizo chanjo zitakuja tu...
Tumnyenyekee Kwan anaiagiza chanjo kwa pesa yake? Si Ni Kodi zetu wananchi?!!!Mjifunze basi kuomba kistaarabu,,kwani mkiomba kwa unyenyekevu kitaharibika kitu?,,sio lazima kutunishiana msuli,,nna hakika mkiomba kwa staha,hizo chanjo zitakuja tu...
Iko ambayo imeonyesha mafanikio makubwa,nimesahau ila inaanza na herufi p ngoja nimalizie k vant niicheki jina lake.Wakati waliozitengeneza chanjo wananchi wao wanazikimbia, Waafrika wanalilia. Huku mnachomwa na jua mwaka mzima na kupata vitamin D ya kutosha, mnakula vyakula vulivojaa vitamin C, bado mnalilia chanjo.
![]()
WHO Approves AstraZeneca Vaccine for Emergency Use, But Some Nations Say ‘No Thanks’
The controversial vaccine, which Bill Gates has heavily invested in, is being rejected by some countries over widespread concerns about side effects and efficacy.childrenshealthdefense.org
Korona Inapita na wakubwa wote sasa.[emoji23][emoji23][emoji23]Mlishindwa kumpigania Lisu apate japo 20% sembuse huu ujinga wenu?
Corona itapita huku mkiendelea kuwa wajinga hivi hivi.
Hata Corona yenyewe mlidai huku haipo sababu eti huku Ni joto...ok endeleeni kudhihaki huu ugonjwa utawanyoosha tu.Wakati waliozitengeneza chanjo wananchi wao wanazikimbia, Waafrika wanalilia. Huku mnachomwa na jua mwaka mzima na kupata vitamin D ya kutosha, mnakula vyakula vulivojaa vitamin C, bado mnalilia chanjo.
![]()
WHO Approves AstraZeneca Vaccine for Emergency Use, But Some Nations Say ‘No Thanks’
The controversial vaccine, which Bill Gates has heavily invested in, is being rejected by some countries over widespread concerns about side effects and efficacy.childrenshealthdefense.org