Tumeshinda kwenye Operation “Vaa Barakoa” sasa tuhamie kwenye Chanjo

Tumeshinda kwenye Operation “Vaa Barakoa” sasa tuhamie kwenye Chanjo

Iko ambayo imeonyesha mafanikio makubwa,nimesahau ila inaanza na herufi p ngoja nimalizie k vant niicheki jina lake.
Swala ni muamko wa watu hasa vijana ni mdogo, wengi wanazikimbia. Ukiwauliza kwanini, wanasema hawajui madhara ya muda mrefu kutokana na chanjo zenye bado zinafanyiwa utafiti.
 
Kuna aina kama 10 zilizoidhinishwa na WHO ni ipi haifai kwa Tanzania au mnafuata mkumbo tu.
Lini WHO walileta hiyo chanjo Tanzania ikajaribiwa, mbona dawa zingine wanakubali zijaribiwe na nchi husika? Nyingi mnakubali tu eti kwasababu jirani amekubali. Sasa je, kama hiyo chanjo kimdhuru mtu, utadai WHO fidia?
 
WHO ni dalali mzuri wa viwanda vya dawa vya ulaya na marekani.
 
Chanjo pia mimi nina wasiwasi nazo tangu nimeanza kuona michezo ya kuigiza ya Bil Gates na mpiga dili wake Faucci, hawa washenzi huenda wakatuuzia chanjo feki kupiga hela. Ningeishauri serikali kama inasita juu ya chanjo za mabeberu hwawezi kununua hata za Cuba? Cuba wapo mbali sana kwenye sekta ya tiba na wameshagundua chanjo kadhaa za Corona nyingine zimeshaanza kutumika nchini mwao. Waagize kutoka huko basi kama walivyoagiza chupa za Madagascar. Pia kuna China na India huko sidhani kama wanaroho mbaya kama wamagharibi na washirika wake.

Dunia imehspiga hatua nzuri juu ya chanjo, tukubali tukatae hapa hatutoki bila chanjo ingawa nakubali umakini unahitajika katika kuchagua aina ya chanjo.
Wachina wenyewe wanasema ni mradi tu wa rais wao kupiga hela.
Wanaamini chanjo ya ulaya.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Njia zipi dogo?

Una habari kama USA pamoja na kuvaa barakoa mbilimbili, lockdown, sanitizers, famigesheni, distance nk lkini kuna wafu laki 5 wameondoka mpaka muda huu? Na wana maambukizi milioni 28?
Je sasa kama wasingechukua tahadhali na kuwa na kiburi kama chetu wangekufa watu kiasi gani?
 
Njia zipi dogo?

Una habari kama USA pamoja na kuvaa barakoa mbilimbili, lockdown, sanitizers, famigesheni, distance nk lkini kuna wafu laki 5 wameondoka mpaka muda huu? Na wana maambukizi milioni 28?
Sasa hapo wametumia njia za kitaalamu na wamekufa hivyo jiulize Kama wasingetumia ingekuwaje? Hioni ingekuwa vifo million mbili?

Au Basi tufunge hospitali zote tuzigeuze baa za kuuzia gongo sababu zinatibu watu kitaalamu lakin bado watu wanakufa, au tuachane na dawa za kufubaza ukimwi na makondom sababu tunavitumia lakin bado maambukiz ya ukimwi yapo na watu wanakufa vile vile.
 
Sasa hapo wametumia njia za kitaalamu na wamekufa hivyo jiulize Kama wasingetumia ingekuwaje? Hioni ingekuwa vifo million mbili?

Au Basi tufunge hospitali zote tuzigeuze baa za kuuzia gongo sababu zinatibu watu kitaalamu lakin bado watu wanakufa, au tuachane na dawa za kufubaza ukimwi na makondom sababu tunavitumia lakin bado maambukiz ya ukimwi yapo na watu wanakufa vile vile.
Ndio maana tunawaambia corona hakuna njia inayoonesha kuzuia zaidi zaidi itaondoka yenyewe naturally kama ilivyokuja.

Kama una hisi kuna njia ya kuzuia itaje na ni wapi imesaidia
 
Ku
Ndio maana tunawaambia corona hakuna njia inayoonesha kuzuia zaidi zaidi itaondoka yenyewe naturally kama ilivyokuja.

Kama una hisi kuna njia ya kuzuia itaje na ni wapi imesaidia

Ndio maana tunawaambia corona hakuna njia inayoonesha kuzuia zaidi zaidi itaondoka yenyewe naturally kama ilivyokuja.

Kama una hisi kuna njia ya kuzuia itaje na ni wapi imesaidia
Njia zipo nyingi tu na zimesaidia Sana nchi za China ulaya na marekani ambako isingekuwa hizo njia pengine wangeisha kabisa....bas barakoa zilizotengenezwa kitaalamu, nawa mikono kwa maji tiririka, tumia vitakasa mikono, kaa umbali wa mita moja na Kama si muhimu kutoka nyumban kwako usitoke na ukitoka Kama si lazima usikusanyike..nk nk.
Na ndiyo maana nikakuambia hata ukimwi mpaka leo hauna Tiba lakin Kuna njia za kuupunguza makali zilizotafitiwa kwa gharama kubwa na mabeberu ambazo sisingekuwepo hizo afrika ingeangamia. Hata hivyo kwamba mpaka leo hatujapata dawa ya ukimwi hakujasimamisha tafiti za kutafuta dawa ya ukimwi; halikadhalika korona tunatakiwa tuendelee kutumia njia za kitaalamu za kuipunguza makali huku majaribio ya kisayansi yakiendelea duniani kote kutafuta dawa na chanjo kamilifu

Wewe hiyo namna yako ya kufikiri Ni ya kushikiwa kilumumba...Yan Ni sawa na kusema kwa kuwa Mabas yanaua abiria Basi hata kuchukua hatua za kiusalama barabarani haina maana sababu hata hatua zkkichukuliwa bado ajali zinatokea na watu wanakufa tu.

Kwa hiyo wewe ungekuwa kiongoz huko China ulaya na USA ungewashauri wasivae barakoa?!!!!!!! Aisee nyie lumumba nyie!!!! Dah!!!!
 
Ku



Njia zipo nyingi tu na zimesaidia Sana nchi za China ulaya na marekani ambako isingekuwa hizo njia pengine wangeisha kabisa....bas barakoa zilizotengenezwa kitaalamu, nawa mikono kwa maji tiririka, tumia vitakasa mikono, kaa umbali wa mita moja na Kama si muhimu kutoka nyumban kwako usitoke na ukitoka Kama si lazima usikusanyike..nk nk.
Na ndiyo maana nikakuambia hata ukimwi mpaka leo hauna Tiba lakin Kuna njia za kuupunguza makali zilizotafitiwa kwa gharama kubwa na mabeberu ambazo sisingekuwepo hizo afrika ingeangamia. Hata hivyo kwamba mpaka leo hatujapata dawa ya ukimwi hakujasimamisha tafiti za kutafuta dawa ya ukimwi; halikadhalika korona tunatakiwa tuendelee kutumia njia za kitaalamu za kuipunguza makali huku majaribio ya kisayansi yakiendelea duniani kote kutafuta dawa na chanjo kamilifu

Wewe hiyo namna yako ya kufikiri Ni ya kushikiwa kilumumba...Yan Ni sawa na kusema kwa kuwa Mabas yanaua abiria Basi hata kuchukua hatua za kiusalama barabarani haina maana sababu hata hatua zkkichukuliwa bado ajali zinatokea na watu wanakufa tu.

Kwa hiyo wewe ungekuwa kiongoz huko China ulaya na USA ungewashauri wasivae barakoa?!!!!!!! Aisee nyie lumumba nyie!!!! Dah!!!!
Yani unasema pengine wangekufa zaidi, maana yake huna uhakika.

Na mbona sisi ambao hatujafuata kabisa njia zao hakuna vifo kama wao?
 
Hapo Mwanzo msimamo wa Rais na serikali nzima ulikuwa Tanzania HAKUNA KORONA kwa hiyo hakuna haja ya kuvaa barakoa. Baada ya wananchi, wanaharakati na baadhi ya viongozi wa dini kuonyesha msimamo wao wa kuvaa barakoa, serikali ikaanza kubadilika, tukaanza kusikia Tanzania ina korona chache sana mara hakuna aliyezuia kuvaa barakoa, mwisho wakakubali eti ukitaka kuvaa vaa za Tanzania, kwa wananchi huo ni ushindi.

Hatua inayofuata ni kuishinikiza serikali ikubali kuleta chanjo ya virusi vya korona.

Dalili ni nzuri, kwanza wameanza kusema chanjo ni ghari kitu ambacho hakina msingi wowote kwenye afya ya mtu, halafu wanasema eti hazijajaribiwa kwenye nchi za joto kama yetu sijui hizo taarifa wamezitoa wapi.

Najua mwanzo wataona aibu kukiri kama ilivyokuwa vigumu kukiri uwepo wa Covid 19, watakuja na maneno mengi wakijidai kuchagua aina ya chanjo inayofaa lkn mwisho watakuja kukubali kuileta kwa aibu kubwa.

Aluta continua.
Chanjo ni muhimu,mbona yeye amechanjwa? Kwanini hataki? Huyu NZIRANKENDE anataka kuwaondoa wazee ili asiwe anawalipa MAFAO yao ya kila mwezi na pia kuwaondoa wagonjwa ili asiajiri ma DR !! nzirankende anawaza pesa tu.
 
Yani unasema pengine wangekufa zaidi, maana yake huna uhakika.

Na mbona sisi ambao hatujafuata kabisa njia zao hakuna vifo kama wao?
Hakuna Vifo hao waNaokufa ni mbuzi?!! Kwa hiyo balozi kijaz siyo mtu amekufa? Maalimu seifu siyo mtu? Unataka afe Nani ndo ikuume wee lumumba?
Kwa hiyo wewe ungetaka tusubiri kwanza mpaka tufe kwa wingi Kama wao ndo tuchukue tahadhari? Kwa hiyo Kama ugonjwa umeanzia kwao na unawashambulia kwa Kasi zaidi wao, kutokana na mazingira yao na maumbile yao, ndo useme sisi tusichukue tahadhari za kitaalamu sababu after all tunashambuliwa kidogo tu?!!! Na Kama unataka tushambuliwe kwanza kwa Kasi kama wao siku ikifikia hapo tunao uwezo wa kujitetea Kama wao wanavojitetea? Huoni kwamba kwa uwezo wetu mdogo tutaangamia? Acha kufikiri kinyumenyume mzee.
 
Njia zipi dogo?

Una habari kama USA pamoja na kuvaa barakoa mbilimbili, lockdown, sanitizers, famigesheni, distance nk lkini kuna wafu laki 5 wameondoka mpaka muda huu? Na wana maambukizi milioni 28?
Kwani Tanzania wamekufa wangapi?
 
Yani unasema pengine wangekufa zaidi, maana yake huna uhakika.

Na mbona sisi ambao hatujafuata kabisa njia zao hakuna vifo kama wao?
Kama huna data zozote huwezi kujua ni watanzania wangapi wamekufa kwa corona.
 
Kuna chanjo ya urusi na ile ya china ndio zinafanyiwa utafiti kama zitatufaa hapa kwetu

Serikali haitoleta chanjo za hao wanaowatomba, maana kuna mapadre walienda kuchanjwa wamepukutika wote.
 
Ndio maana tunawaambia corona hakuna njia inayoonesha kuzuia zaidi zaidi itaondoka yenyewe naturally kama ilivyokuja.

Kama una hisi kuna njia ya kuzuia itaje na ni wapi imesaidia
haitoondoka yenyewe bila jitihada. otherwise tusingekuwa na magonjwa mengi . yangeshaondoka yenyewe
 
Njia zipi dogo?

Una habari kama USA pamoja na kuvaa barakoa mbilimbili, lockdown, sanitizers, famigesheni, distance nk lkini kuna wafu laki 5 wameondoka mpaka muda huu? Na wana maambukizi milioni 28?
unahabari kuwa walio recover ni 19,212,517 almost 85%.
 
Back
Top Bottom