- Thread starter
- #61
Nani kakuambia hazifai.Ahsante kwa mawazo yako ila hizo chanjo hazitufai...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakuambia hazifai.Ahsante kwa mawazo yako ila hizo chanjo hazitufai...
Endelea kutudhihaki na kufurahia kutudhumu uchaguzi. Ila na sisi tutakapofurahia RIP msilalamike. Mungu yupo, Ni wa kwetu sote na atatulipia khisasi Insha Allah.[emoji23][emoji23][emoji23]Mlishindwa kumpigania Lisu apate japo 20% sembuse huu ujinga wenu?
Corona itapita huku mkiendelea kuwa wajinga hivi hivi.
Kuna aina kama 10 zilizoidhinishwa na WHO ni ipi haifai kwa Tanzania au mnafuata mkumbo tu.Hiyo chanjo ianayokataliwa na wazungu ndio hawa maskini huku kwetu wataletewa na kulazimishwa kuchanjwa.
Hapo Mwanzo msimamo wa Rais na serikali nzima ulikuwa Tanzania HAKUNA KORONA kwa hiyo hakuna haja ya kuvaa barakoa. Baada ya wananchi, wanaharakati na baadhi ya viongozi wa dini kuonyesha msimamo wao wa kuvaa barakoa, serikali ikaanza kubadilika, tukaanza kusikia Tanzania ina korona chache sana mara hakuna aliyezuia kuvaa barakoa, mwisho wakakubali eti ukitaka kuvaa vaa za Tanzania, kwa wananchi huo ni ushindi.
Hatua inayofuata ni kuishinikiza serikali ikubali kuleta chanjo ya virusi vya korona.
Dalili ni nzuri, kwanza wameanza kusema chanjo ni ghari kitu ambacho hakina msingi wowote kwenye afya ya mtu, halafu wanasema eti hazijajaribiwa kwenye nchi za joto kama yetu sijui hizo taarifa wamezitoa wapi.
Najua mwanzo wataona aibu kukiri kama ilivyokuwa vigumu kukiri uwepo wa Covid 19, watakuja na maneno mengi wakijidai kuchagua aina ya chanjo inayofaa lkn mwisho watakuja kukubali kuileta kwa aibu kubwa.
Aluta continua.
Astrazeneca imeidhinishwa na WHO lakini ulaya wanaikataa, na South Africa waliitupa jalalani.Kuna aina kama 10 zilizoidhinishwa na WHO ni ipi haifai kwa Tanzania au mnafuata mkumbo tu.
Utambue kwamba kwa uongozi tulio na nao, lazima upate pa kuanzia.Duh wewe ni mwoga hakuna mfano. Unaonekana kuwa na nakisi kubwa ya elimu ya uraia. Hao viongozi wa dini hawadai haki kwa niaba ya waumini bali wanadai haki wakiwa sehemu ya raia; wakiwakilisha kundi kubwa la wananchi. Ujitokeze kuungana na wenzako kudai haki ya kupata chanjo bila kusubiri maaskofu. Aidha, chanjo haipaswi kutolewa kwa kila mtu kujigharimia mwenyewe. Serikali inawajibika kutumia rasilimali za wananchi kugharimia chanjo ya Covid 19 na kisha kuisambaza na kuhakikisha wananchi wanapata chanjo hiyo kwa ajili ya kulinda afya na usalama wa wananchi wote wa taifa hili. Jiongoze ndugu.
Sasa hapa mmeshinda kitu gani?Usichanganye korona na siasa.
Chadema wanaisubiri kwa hamu kubwaHiyo chanjo ianayokataliwa na wazungu ndio hawa maskini huku kwetu wataletewa na kulazimishwa kuchanjwa.
Wema,ukweli na facts dhidi ya Wanafiki,Wauaji na Waovu.Who is fighting who?
RIP mbona hata huko chadema zinatokea sana?Endelea kutudhih
Endelea kutudhihaki na kufurahia kutudhumu uchaguzi. Ila na sisi tutakapofurahia RIP msilalamike. Mungu yupo, Ni wa kwetu sote na atatulipia khisasi Insha Allah.
Kwenye Uhai wa Watu hakuna Staha,maana hawa wenye mamlaka hawapo kwenye huo utamaduni wanataka tupelekeshane.Mjifunze basi kuomba kistaarabu,,kwani mkiomba kwa unyenyekevu kitaharibika kitu?,,sio lazima kutunishiana msuli,,nna hakika mkiomba kwa staha,hizo chanjo zitakuja tu...
Huo ni mfano usio na uhusiano na mada,jukumu kuu la Serikali ni kuhakikisha usalama wa afya wa Raia wake.Mfano babako anatoka asubuhi kwenda ktk mihangaiko,,unampa condition aje na nyama akitoka job,ataleta?..
Kwa hiyo mlivokuwa mnakataa njia za kitaalamu za kujikinga mlifikiri watakufa chadema tu?!!! Hatuna nguvu za kupigana na vyombo vya dola mnavyoviamrisha vitugandamize lakin Mungu atatupiganiaRIP mbona hata huko chadema zinatokea sana?
RIP mbona hata huko chadema zinatokea sana?
Kama haifai kwa nchi moja usifikiri haiwezi kufaa kwa nchi nyingine.Astrazeneca imeidhinishwa na WHO lakini ulaya wanaikataa, na South Africa waliitupa jalalani.
Nawapa pole.Kama haifai kwa nchi moja usifikiri haiwezi kufaa kwa nchi nyingine.
![]()
Rwanda yaanza kutoa chanjo ya COVID-19 – DW – 15.02.2021
Rwanda imeanza zoezi la kutoa chanjo ya virusi vya corona kwa wananchi wake wiki moja baada ya wakazi wa mji mkuu wa nchi hiyo Kigali kuondoka katika zuio la kukaa ndani.amp.dw.com
Njia zipi dogo?Kwa hiyo mlivokuwa mnakataa njia za kitaalamu za kujikinga mlifikiri watakufa chadema tu?!!! Hatuna nguvu za kupigana na vyombo vya dola mnavyoviamrisha vitugandamize lakin Mungu atatupigania
Population factorNjia zipi dogo?
Una habari kama USA pamoja na kuvaa barakoa mbilimbili, lockdown, sanitizers, famigesheni, distance nk lkini kuna wafu laki 5 wameondoka mpaka muda huu? Na wana maambukizi milioni 28?
99% watu wanaouguwa Corona wanaoona, na hiyo ni kule kwenye nchi wanaokufa kwa wingi.Hata Corona yenyewe mlidai huku haipo sababu eti huku Ni joto...ok endeleeni kudhihaki huu ugonjwa utawanyoosha tu.