Mbona mnadanganya watu sana? dunia nzima inahangaika kutafuta dawa nyie mmekalia kupumbaza watu eti itaondoka yenyewe, Mungu alikupa akili za nini sasa....Ndio maana tunawaambia corona hakuna njia inayoonesha kuzuia zaidi zaidi itaondoka yenyewe naturally kama ilivyokuja.
Kama una hisi kuna njia ya kuzuia itaje na ni wapi imesaidia
Muwe mnapenda kujisomea sio kusibiri kuambiwa na Polepole nini cha kufanya.Kama una hisi kuna njia ya kuzuia itaje na ni wapi imesaidia
Sasa kwa akili zako kwa vifo hivyo hiyo ingekuwa suruhu vingetoa?Mbona mnadanganya watu sana? dunia nzima inahangaika kutafuta dawa nyie mmekalia kupumbaza watu eti itaondoka yenyewe, Mungu alikupa akili za nini sasa....
Study in Israel shows Pfizer vaccine 85% effective after first dose - The Lancet
The first dose of Pfizer Inc and BioNTech's COVID-19 vaccine is 85% effective, a study of Israeli healthcare workers published in The Lancet https://www.thelancet.com/action/showPdf?pii=S0140-6736%2821%2900448-7 medical journal has found.mobile.reuters.com
Wame recover baada ya kutumia dawa gani?unahabari kuwa walio recover ni 19,212,517 almost 85%.
Simple tu, watz tunajuana kwa koo,Kama huna data zozote huwezi kujua ni watanzania wangapi wamekufa kwa corona.
Nimeshakuambia kiburi na dhararu za aina hii ndo sababu ya watu kufurahia RIP... Endeleeni kupandikiza chuki mavuno yake yapo.Kuibiwa ni ujinga zaidi
Primitive way of judging things.Simple tu, watz tunajuana kwa koo,
Kwenye ukoo wako na wa mme wako au mke wako wamekufa wangapi?
vimepunguza ,sio kuzuia kupata corona.Wame recover baada ya kutumia dawa gani?
Ndio maana tukasema kama barakoa na lockdawn vingekuwa vinasaidia hao 19 milioni wangepataje corona?
ushaidi wako kuwa hamna mtu ameondlka kwa covid uko wapi? with evidence plsAcha Ulisu wewe! Huko hawajafa watu?
Hivi baba anapigiwa kura?Mfano babako anatoka asubuhi kwenda ktk mihangaiko,,unampa condition aje na nyama akitoka job,ataleta?..
Ahaaa... Marekani walianza kukaa lockdown, kuvaa barakoa na kufanya distancing wakiwa na vifo visivyozidi 200 na maambukizi yasiyozidi elfu 1.vimepunguza ,sio kuzuia kupata corona.
vitu kama barakoa ni kupunguza transmission ya ugonjwa.
si kuponya.. maana hiyo siyo dawa.
ni kama condom inapunguza possibility ya kupata ngoma. lakin si dawa ya ngoma. simple science tu.
Ni ushindi wananchi kuvaa barakoa? Sasa unataka na chanjo. Hivi ulisikia vizuri hoja za Serikali kuhusu chanjo na barakoa? Ulitafakari vizuri? Watu kama nyinyi ndo siku zote wazungu wanawataka kwa ajili ya kupenyeza mambo yao Africa. Maana akili zenu zipo makalioniHapo Mwanzo msimamo wa Rais na serikali nzima ulikuwa Tanzania HAKUNA KORONA kwa hiyo hakuna haja ya kuvaa barakoa. Baada ya wananchi, wanaharakati na baadhi ya viongozi wa dini kuonyesha msimamo wao wa kuvaa barakoa, serikali ikaanza kubadilika, tukaanza kusikia Tanzania ina korona chache sana mara hakuna aliyezuia kuvaa barakoa, mwisho wakakubali eti ukitaka kuvaa vaa za Tanzania, kwa wananchi huo ni ushindi.
Hatua inayofuata ni kuishinikiza serikali ikubali kuleta chanjo ya virusi vya korona.
Dalili ni nzuri, kwanza wameanza kusema chanjo ni ghari kitu ambacho hakina msingi wowote kwenye afya ya mtu, halafu wanasema eti hazijajaribiwa kwenye nchi za joto kama yetu sijui hizo taarifa wamezitoa wapi.
Najua mwanzo wataona aibu kukiri kama ilivyokuwa vigumu kukiri uwepo wa Covid 19, watakuja na maneno mengi wakijidai kuchagua aina ya chanjo inayofaa lkn mwisho watakuja kukubali kuileta kwa aibu kubwa.
Aluta continua.
Kwani uwizi wa Kura ndo utaleta Maendeleo Tanzania?Ukifurshia Rip ya mtu wa ccm ndio chadema inaingia madarakni?
Nimekwambia kama huna data majibu yako yakuwa ya ki layman tu.Kwa nini usitoe tu jibu ili u primitive uniondoke?
Huwezi kuelewa kitu kwa sababu fikira zako zimejazwa ujinga kuwa kila kitu cha mzungu ni kwa ajili ya kuihujumu Afrika.Ni ushindi wananchi kuvaa barakoa? Sasa unataka na chanjo. Hivi ulisikia vizuri hoja za Serikali kuhusu chanjo na barakoa? Ulitafakari vizuri? Watu kama nyinyi ndo siku zote wazungu wanawataka kwa ajili ya kupenyeza mambo yao Africa. Maana akili zenu zipo makalioni
Wewe quinine naona si riziki kwa Taifa letu! Lini ulizuiwa kuvaa barakoa? Lini ulizuiwa kujilockdown mwenyewe na familia yako Kama una familia!! Inasema umeshinda kuvaa barakoa kana kwamba ilikuwa Ni marufuku kuzivaa!! Hata hizo chanjo zifuate tu huko ziliko, mbona Kuna wenzio walishazifuata kitambo japo kwa Sasa wanajutia!!Hapo Mwanzo msimamo wa Rais na serikali nzima ulikuwa Tanzania HAKUNA KORONA kwa hiyo hakuna haja ya kuvaa barakoa. Baada ya wananchi, wanaharakati na baadhi ya viongozi wa dini kuonyesha msimamo wao wa kuvaa barakoa, serikali ikaanza kubadilika, tukaanza kusikia Tanzania ina korona chache sana mara hakuna aliyezuia kuvaa barakoa, mwisho wakakubali eti ukitaka kuvaa vaa za Tanzania, kwa wananchi huo ni ushindi.
Hatua inayofuata ni kuishinikiza serikali ikubali kuleta chanjo ya virusi vya korona.
Dalili ni nzuri, kwanza wameanza kusema chanjo ni ghari kitu ambacho hakina msingi wowote kwenye afya ya mtu, halafu wanasema eti hazijajaribiwa kwenye nchi za joto kama yetu sijui hizo taarifa wamezitoa wapi.
Najua mwanzo wataona aibu kukiri kama ilivyokuwa vigumu kukiri uwepo wa Covid 19, watakuja na maneno mengi wakijidai kuchagua aina ya chanjo inayofaa lkn mwisho watakuja kukubali kuileta kwa aibu kubwa.
Aluta continua.
Kumbuka tu hiyo idadi inajumuisha walipotea kutokana na first wave. sevcond wave ya covid unajua ikoje?Ahaaa... Marekani walianza kukaa lockdown, kuvaa barakoa na kufanya distancing wakiwa na vifo visivyozidi 200 na maambukizi yasiyozidi elfu 1.
Leo hii wana maambukizi milioni 28 na vifo laki 5.
Haya hizo hatua zimepunguza vipi maambukizi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila raia wengi bado ni vichwa maji. Wanatazama lakini hawaoni.Hapo Mwanzo msimamo wa Rais na serikali nzima ulikuwa Tanzania HAKUNA KORONA kwa hiyo hakuna haja ya kuvaa barakoa. Baada ya wananchi, wanaharakati na baadhi ya viongozi wa dini kuonyesha msimamo wao wa kuvaa barakoa, serikali ikaanza kubadilika, tukaanza kusikia Tanzania ina korona chache sana mara hakuna aliyezuia kuvaa barakoa, mwisho wakakubali eti ukitaka kuvaa vaa za Tanzania, kwa wananchi huo ni ushindi.
Hatua inayofuata ni kuishinikiza serikali ikubali kuleta chanjo ya virusi vya korona.
Dalili ni nzuri, kwanza wameanza kusema chanjo ni ghari kitu ambacho hakina msingi wowote kwenye afya ya mtu, halafu wanasema eti hazijajaribiwa kwenye nchi za joto kama yetu sijui hizo taarifa wamezitoa wapi.
Najua mwanzo wataona aibu kukiri kama ilivyokuwa vigumu kukiri uwepo wa Covid 19, watakuja na maneno mengi wakijidai kuchagua aina ya chanjo inayofaa lkn mwisho watakuja kukubali kuileta kwa aibu kubwa.
Aluta continua.
Dalili ni nzuri, kwanza wameanza kusema chanjo ni ghari kitu ambacho hakina msingi wowote kwenye afya ya mtu, halafu wanasema eti hazijajaribiwa kwenye nchi za joto kama yetu sijui hizo taarifa wamezitoa wapi