KusufuriaMakoko
Member
- Aug 12, 2022
- 21
- 25
Ni kweli tumeshinda, lakini kwa kuangalia performance ya timu, ni dhahiri kwamba tumeshinda lakini tunaogopa.
Bado tuna kazi kubwa ya kujenga timu ya ushindani hasa kimataifa.
Bado tuna kazi kubwa ya kujenga timu ya ushindani hasa kimataifa.