Tumeshinda lakini tunaogopa

Tumeshinda lakini tunaogopa

Washika vibendera walikuwa na maamuzi ya kuibeba Simba kwa wazi kabisa, kuna mmoja faulo imetendeka mbele yake na mchezaji wa Simba, anasema mpira uelekee Vipers, naona refa wa kati akaona ujinga umezidi akasema mpira uelekee Simba.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app

Utakufa kwa presha
 
Madunduka watakumeza wao wanapenda ata kama timu iko ovyo we waambie timu yenu ni hatari, wakianza kupigishwa kwata ndio utasikia atumtaki kocha, mara tuna wachezaji wazee, Akili yao anaijua Rage peke yake
Changamoto sana
 
Ukweli umuweka mtu huru, Kaka umeongea ukweli mtupu...
Kunywa chochote bill kwangu
 
9bd9d93c2e36c92008353752f108f495.jpg
 
Unajua maana ya home advantage???ndo ile sasa..haya sema lingine
Duu navyojua mimi home advantage maana yake hiyo advantage inatokana na mashabiki, sababu shabiki ni mchezaji wa kumi na mbili na si kutokusimamia sheria za mpira.
 
Ni kweli tumeshinda, lakini kwa kuangalia performance ya timu, ni dhahiri kwamba tumeshinda lakini tunaogopa.
Bado tuna kazi kubwa ya kujenga timu ya ushindani hasa kimataifa.
Unaogopa wewe Utopolo hujui utakachokutana nacho kesho
 
Back
Top Bottom