Tumeshindwa kumlinda Asimwe

Tumeshindwa kumlinda Asimwe

Chaguzi zimekaribia! May her soul rest in eternal peace. Amen.
 
Akikamatwa utasikia haki za binadamu ,huyu ni kumnyonga au kumchinja kweny hadhara ya watu.
mzee washikaji watatu walikamatwa Urusi wale walioua zaidi ya watu 100 kwenye mall siku si nyingi lakini hawajanyongwa!
Sema kama nchi inatakiwa tuanze kuheshimu sheria.Changamoto ni kuwa sheria zipo lakini ukiwa vzuri kiuchumi unaeza shangaa sheria haziwi na makali kwako!Kwa desturi hyo tutaendelea kuona mambo meengi ya ajabu kwakuwa tu sheria hazifanyi kazi--wanaozisimamia wanaubinadamu!Tz tunaadhab ya kifo nenda ulizia tangu Samia aingie zimetekelezwa adhab ngap za kifo au alipokuwa Magu ni adhabu ngap za vifo zilitekelezwa?Ukipata jibu ndo utajua wapi tunadosari
 
Uchawi upo,na Mungu yupo,ila Uchawi ni laana kwa sababu ni Kazi ya shetani mwenyewe.
Na shetani ni Baba wa uongo na uharibifu.
The,

Shetani baba wa uongo, ulimuona wapi ukatambua kama ni baba?

Hakuna budi kuendelea kutoa elimu ili haya mambo yaondokane. Uchawi Ni hadithi za kale.
 
Rais hakuonekana kuumizwa hata kidogo na huyu mtoto ndo maana hamjasikia kauli yoyote kutoka kwake.
Angekuwa kaumizwa angeitisha press conference ya ghafla na kisha kufunga mipaka yote kwa muda,na kisha kumpa IGP na Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa siku 14 wawe wamewapata wauaji wakiwa hai au wamekufa,na ikibidi kuomba msaada Scotland Yard na FBI,huwa nasema siye hatuna Serikali tuna genge la wahuni tu walioshika Bunduki.
100 % correct na kwa kufanya hivyo huyo mtoto angeweza kupatikana akiwa hai maana katoroshwa tangu 30/05/2024 kakutwa amefariki 17/06/2024
 
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Rais hakuonekana kuumizwa hata kidogo na huyu mtoto ndo maana hamjasikia kauli yoyote kutoka kwake.
Angekuwa kaumizwa angeitisha press conference ya ghafla na kisha kufunga mipaka yote kwa muda,na kisha kumpa IGP na Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa siku 14 wawe wamewapata wauaji wakiwa hai au wamekufa,na ikibidi kuomba msaada Scotland Yard na FBI,huwa nasema siye hatuna Serikali tuna genge la wahuni tu walioshika Bunduki.
Nimemsikia Samia akiongelea hii issue ameongea utafikir sio Rais wa nchi huyu mama sijui yukoje aisee.
 
Baba yake ndio alikuwa master minder na yuko chini ya ulinzi ,,uchaguzi umekaribia

USSR
Duh baba yake mzazi?? Kuna muda watu kama hao watuachie wananchi tumalizane nao hadharani maana mahakamani hakuna haki.
 
Tuendelee kuhubiri demokrasia Kwa wapumbavu tu.

JPM aliwakomesha hawa awamu yake kukawa kimya maana anaanza na RC na RPC kwanza, maana wao ndio viongozi wa usalama wa mkoa, sasa tumewaacha wamerelax.
 
Ukitaka iume zaidi imagine ni katoto kako na ni kamoja kama dawa. Umaskini ni janga la taifa.
 
Inasikitisha sana, laiti Makonda angekuza mkuu wa huo mkoa haki ya mtoto ingepatika mapema tu.
Baadhi ya viongozi wa wilaya na mikoa ni mizigo kwa wananchi.
 
100 % correct na kwa kufanya hivyo huyo mtoto angeweza kupatikana akiwa hai maana katoroshwa tangu 30/05/2024 kakutwa amefariki 17/06/2024
Ilitakiwa siku mtoto anapotea Jeshi, polisi, usalama na kila chombo cha dola waingie Kagera. Baa zifungwe, wauza bangi, waganga wa kienyeji, watiliwa mashaka wote ndani. Kila kijiji kila nyumba oparesheni. Hata asipopatikana lakini siku nyingine mtu akimuona albino awe kama ameona msafara wa Rais. Kila raia anakuwa mlinzi. Kanda ya ziwa wamezidi ujinga.
 
Uchawi upo,na Mungu yupo,ila Uchawi ni laana kwa sababu ni Kazi ya shetani mwenyewe.
Na shetani ni Baba wa uongo na uharibifu.
Ni wapi uchawi uliwahi fanya kazi?

Uchawi ni ujinga wanao aminishana watu tuu ila hakuna kitu kama hicho.
Mtu unakuta anamini chuma ulete , Au Kiungo cha Albino kitamsaidia utajiri.

Tuko nyuma kwakuamini mambo ya dhahania badala ya uhalisia.
Mtu badala afanye kazi na ajiweke nafasi nzuri ya kupata Hela anamini kiungo cha albino kitampa hela ,serious???
 
Back
Top Bottom