Tumeshindwa Wapi? Olympic Games Tokyo 2021

Tumeshindwa Wapi? Olympic Games Tokyo 2021

Nasema hivi walioenda kutuwakilisha wamejitahidi sana. Tena sana hata kama hawakupata medali.
Si kweli kwamba unaifahamu marathon, kwa sababu ungekuwa unaifahamu ungejua hata kama Simbu hakupata medali amejitahidi sana. Kumaliza tu ni accomplishment. Kumaliza kwenye top 10 ni world class accomplishment.
Wakulaumu siyo hawa walioshiriki, wakulaumu ni wenye mamlaka na michezo Tanzania.
Walioshiriki sina shida nao maana huenda hapo walipofikia ni juhudi zao binafsi. Wizara inayoandaa haya mashijdano na kupeleka wawakilishi na msafara ndio kamwe siwezi kusema wamejitahidi. Sio kweliiii. Hawa wakimbiaji huenda wameitwa kambini miezi mieili kujiandaa ili hali maandalizi sio miezi miwili. Ni zaidi.
 
Nasema hivi walioenda kutuwakilisha wamejitahidi sana. Tena sana hata kama hawakupata medali.
Si kweli kwamba unaifahamu marathon, kwa sababu ungekuwa unaifahamu ungejua hata kama Simbu hakupata medali amejitahidi sana. Kumaliza tu ni accomplishment. Kumaliza kwenye top 10 ni world class accomplishment.
Wakulaumu siyo hawa walioshiriki, wakulaumu ni wenye mamlaka na michezo Tanzania.
Walioshiriki sina shida nao maana huenda hapo walipofikia ni juhudi zao binafsi. Wizara inayoandaa haya mashijdano na kupeleka wawakilishi na msafara ndio kamwe siwezi kusema wamejitahidi. Sio kweliiii. Hawa wakimbiaji huenda wameitwa kambini miezi mieili kujiandaa ili hali maandalizi sio miezi miwili. Ni zaidi.
 
Nasema hivi walioenda kutuwakilisha wamejitahidi sana. Tena sana hata kama hawakupata medali.
Si kweli kwamba unaifahamu marathon, kwa sababu ungekuwa unaifahamu ungejua hata kama Simbu hakupata medali amejitahidi sana. Kumaliza tu ni accomplishment. Kumaliza kwenye top 10 ni world class accomplishment.
Wakulaumu siyo hawa walioshiriki, wakulaumu ni wenye mamlaka na michezo Tanzania.
Walioshiriki sina shida nao maana huenda hapo walipofikia ni juhudi zao binafsi. Wizara inayoandaa haya mashijdano na kupeleka wawakilishi na msafara ndio kamwe siwezi kusema wamejitahidi. Sio kweliiii. Hawa wakimbiaji huenda wameitwa kambini miezi mieili kujiandaa ili hali maandalizi sio miezi miwili. Ni zaidi.
 
Mimi sina sababu ya kuwalaumu kina Simbu na wenzao kwa sababu kwanza wanajiandaa katika mazingira magumu sana.

Ila inasikitisha nchi kubwa kama hii inaepeleka wanamichezo watatu tu. Why ?
Inasikitisha mno. Nchi nyingi zimepeleka wachezaji wengi.
Kuna michezo unaangalia, na unajiuliza kweli tulishindwa kabisa kupeleka watu washiriki huku?
 
Walioshiriki sina shida nao maana huenda hapo walipofikia ni juhudi zao binafsi. Wizara inayoandaa haya mashijdano na kupeleka wawakilishi na msafara ndio kamwe siwezi kusema wamejitahidi. Sio kweliiii. Hawa wakimbiaji huenda wameitwa kambini miezi mieili kujiandaa ili hali maandalizi sio miezi miwili. Ni zaidi.
Nchi nyingine wanajiandaa kwa Olympic kwa miaka minne.
Wizara ya michezo imelala, hawana akili, mashirikisho ya michezo nayo ni bomu.
Hapa tunahitaji tu muujiza.
 
Sina mengi ya kuongea ila nakaribisha mawazo. Najua kwa wenye watoto wanapenda watoto wafanye vizuri katika fani mbalimbali kama michezo ikiwa ni pamoja na kupata nafasi (opportunities) za kimataifa kama UEFA, NBA, Olympics, World Championships, Etc. Lakini dalili za nyakati ni mbaya sana kwa nchi yetu. Hata tuliowategemea kama Hasheem Thabeet alishindwa. Mbwana ndio pekee kaweza katika nchi ya watu 60 million. Kenya wamegundua siri na wanafanya vizuri sana. Sisi hata Umiseta na Umishumta zilifutwa kwa kipindi fulani bila sababu maalum. Je kuna matumaini kweli ya Tz kuibuka kama nchi ya wachezaji wazuri wa kimataifa?

View attachment 1885110

View attachment 1885111

Hivi hawana vipengele vya tawala dhalimu au police brutality?

Wallahi tusingekosa medali humo!
 
Katibu mkuu wa wizara kazi yake imebaki kufanya censoring ya vyombo vya habari tu no vision yoyote inasikitisha sana
Inasikitisha mnoo. Wamengangana na vitu ambavyo haviwezi kamwe kutusogeza mbele.
Najiuliza hivi hawakai hata siku moja kutafakari majukumu yao na ni namna gani wanaweza fanya ili tupige hatua? Wamebaki kutafuta ulaji tu.
 
Inasikitisha mnoo. Wamengangana na vitu ambavyo haviwezi kamwe kutusogeza mbele.
Najiuliza hivi hawakai hata siku moja kutafakari majukumu yao na ni namna gani wanaweza fanya ili tupige hatua? Wamebaki kutafuta ulaji tu.
Hawana namna uwezo wao ndiyo umeishia hapo ?
 
Siamini kama tumekosa wafukuza upepo hasa huko manyara, singida, arusha, dodoma na kigoma.
Nafikiri chama cha riadha kinafaa kuwajibika maana hao waliochaguliwa hawa viwango vya kushindana isipokuwa Simbu tu .
Wengine ni wasindikizaji tu nafikiri kuna tatizo Kwenye mfumo mzima kuanzia kupata vipaji , maandalizi , ufundishaji nk
Upande wa jeshi wamefanya kazi nzuri kupata na kuandaa wanamichezo wao ambao wengi wanatoka kwenye ajira ya jeshini.
Chama cha riadha kimeshindwa hata kuongeza nguvu kazi iliyoanzishwa na jeshi kwenye michezo.
Ni bora hio trip angeenda Simbu peke yake kuliko wasindikizaji Wengine walioenda Kwenye utalii Japan .
 
Amejitahidi, lakini kwa nini tujivunie kuwa namba 7? Kwa nini tusiumie kukosa medali?
Wananishangaza wanaosema kafanya vizuri wakati lengo ni Medali.

Kushangilia nafasi ya saba ni kama taifa la waliokata tamaa.
 
Wawakilishi wamejitahidi sana lakini baba yao serikali ndo mnafiki karne ya 21 serikali haioni umuhimu wa michezo wazazi nao wanashindia mitandaoni usiku kitandani
 
Wananishangaza wanaosema kafanya vizuri wakati lengo ni Medali.

Kushangilia nafasi ya saba ni kama taifa la waliokata tamaa.
Kafanya vizuri sana hata kama hakupata medali.
Ameplay part yake na hata akifa leo ataacha legacy yakuwa one of the best marathon runners.
Kama una uchungu sana na medali kwa Tanzania ungeenda kushindana wewe.
 
Kama kuna Medali ambayo Taifa tunastahili basi ni Medali ya vipaji vya kuamini miujiza ya kuvuna tusichokipanda.

Kama tunavyofanya kwenye tozo, badala Mamlaka kuandaa kwanza Wananchi wenye uwezo wa kulipa 'tozo' wao wanaanza na tozo kwanza wakiahidi uwezo wa kulipa utakuja huko mbeleni.

Na ndio vivyo hivyo tunachokifanya hata kwenye maeneo mengine...nina imani bila ya shaka hata Waziri wa Michezo hawezi kubughuhiwa kwa maswali kwa kilichotokea kwani naye atahoji mbona inafanyika hivyo maeneo yote?.

Kama taifa tunaamini tukiendelea tu kushiriki Olympic zote basi kuna siku tutabahatisha Medali, na mpaka sasa tumeshakata miaka 41 tukitoka kapa, labda bado 100 mingine.

View attachment 1884913
Tatizo ni viongozi washibe, kwanza kabla ya wachezaji
 
Kafanya vizuri sana hata kama hakupata medali.
Ameplay part yake na hata akifa leo ataacha legacy yakuwa one of the best marathon runners.
Kama una uchungu sana na medali kwa Tanzania ungeenda kushindana wewe.
Nasisitiza lengo kuu ni Medali.

Hata olympic ijayo lengo lisiwe 'kufanya vizuri' lengo liwe ni Medali, angalieni Kenya wanafanya nini muwaige maana hata hawako mbali.

Tupo milioni 60 tunakosa Mtu wa kuleta walau Medali moja.
 
Back
Top Bottom