KATAA BETTING #Ndoa ndoana
#KATAA NDOA
Asiyetaka kuoa mchunguzeni kwa makini mienendo yakeHali si shwari, wanandoa wanalalamika, mke amekuta meseji [emoji116] kwenye simu ya mumewe, kumbe mjadala wa kutooa unajadiliwa ng'ambo ya pili piaView attachment 2559751
View attachment 2559752
Asiyetaka kuoa mchunguzeni kwa makini mienendo yake
Watu sahihi wapo@tukuy Unakuta mtu ameona ndoa nyingi jinsi ambavyo hazitabiriki na ameamua kujilinda ye mwenyewe
Hizo ni hadithi za mababuWatu sahihi wapo