Tumetoka mbali kwenye teknolojia?

Tumetoka mbali kwenye teknolojia?

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Moja ya kitu ambacho kilikuwa kina nikera ili kwenye kufungua tovuti.

too_many_toolbars.jpg
 
Kipindi hicho ukipata likes unaona kama umepata hela vile, Bila kusahau followers
Ulikuwa ni unyama sana, kipindi hicho matapeli wa mtandaoni ilikuwa Hamna kabisa, kwenye fb taarifa zilikuwa zinajazwa kwa usahihi kabisa...
 
Ulikuwa ni unyama sana, kipindi hicho matapeli wa mtandaoni ilikuwa Hamna kabisa, kwenye fb taarifa zilikuwa zinajazwa kwa usahihi kabisa...
Kabisa Content zilikuwa nizakueleweka hakukua na mambo ya kipuuzi puuzi kama sasa
 
Back
Top Bottom