Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Moja ya kitu ambacho kilikuwa kina nikera ili kwenye kufungua tovuti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi hicho ukipata likes unaona kama umepata hela vile, Bila kusahau followersView attachment 2952958
Mbali sana mkuu 😋😋😋😋😋
Sisi ni kula, kurogana, kulala, zoga umbea na majungu na ngono tukisubiria kufa.Je sisi Weusi tuna mchango wowote kweli? Au ni wakati wa kujiuliza tunakwama wapi?
Ulikuwa ni unyama sana, kipindi hicho matapeli wa mtandaoni ilikuwa Hamna kabisa, kwenye fb taarifa zilikuwa zinajazwa kwa usahihi kabisa...Kipindi hicho ukipata likes unaona kama umepata hela vile, Bila kusahau followers
Kabisa Content zilikuwa nizakueleweka hakukua na mambo ya kipuuzi puuzi kama sasaUlikuwa ni unyama sana, kipindi hicho matapeli wa mtandaoni ilikuwa Hamna kabisa, kwenye fb taarifa zilikuwa zinajazwa kwa usahihi kabisa...
Hata tukisoma hiyo elimu haitusaidii tatizo liko wapi?Sisi ni kula, kurogana, kulala, zoga umbea na majungu na ngono tukisubiria kufa.
usiwasahau tubidyWaptrick
Wapdam
Dilandau
Ngono ina shida gani wewe?Sisi ni kula, kurogana, kulala, zoga umbea na majungu na ngono tukisubiria kufa.
Mi mpaka sahivi huwa natumia tubidy..[emoji23][emoji23][emoji91][emoji817]usiwasahau tubidy
Waptrick
Wapdam
Dilandau
Kulikuwa na microsoft games, hapo lazima uende kwenye control panel uongeze features wakati huo setup cd lazima iwepoWindows 95
View attachment 2952963
TCRA walishaipitia nayoKulikuwa na kitu inaitwa phonerotica