Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WaplogWaptrick
Wapdam
Dilandau
Teknolojia imekuwa sana, hii fb nimeitumia sana.View attachment 2952958
Mbali sana mkuu 😋😋😋😋😋
Sio hivyoo tu hata yenyewe bila tcra haifanyi kazi vzr. Haziplay video kuleTCRA walishaipitia nayo
Ilikuwa tamu sana hii fb, Tatizo ilikuwa kwenye picha tu..Teknolojia imekuwa sana, hii fb nimeitumia sana.
Picha ama video? Maana fb lite ilikua ina fungua pichaIlikuwa tamu sana hii fb, Tatizo ilikuwa kwenye picha tu..
Ilikua ni ya kwao wenyewe, baada ya kuja FB nyingi hizi zilikufa.Kuna mtu anaikumbuka ile App iliitwa The Grid ilikuwa kwenye Symbian miaka ya 2008/2009.
Vodacom walikuwa wanaitangaza sana.
![]()
Aisee, kwenye haya mambo huwa yananishangaza myspace ilianza kabla ya fb lakini ilikufa, symbian kabla ya android na ios, instagram ni kama inaelemewa na tiktok hivi sasa , hata youtube na hizo short videos anaita reels ni kama tiktok inawa challenge.Ilikua ni ya kwao wenyewe, baada ya kuja FB nyingi hizi zilikufa.
Symbian imeuliwa kila zima lazima tu, then ikawekwa kwenye makarabrasha. Watu wamepiga kelele wee ifanywe open source ila walioshika mpini walikua wanaiogopa.Aisee, kwenye haya mambo huwa yananishangaza myspace ilianza kabla ya fb lakini ilikufa, symbian kabla ya android na ios, instagram ni kama inaelemewa na tiktok hivi sasa , hata youtube na hizo short videos anaita reels ni kama tiktok inawa challenge.
Sema katika vyote kilichonouma ni symbian, sijui kama watarudi wale jamaa.
Eeh ni mbuzi?nafikiri nimbuzz ndio whatsapp ya sasa
View attachment 2952971
Ingeendelezwa ingekua tishio sana.Symbian imeuliwa kila zima lazima tu, then ikawekwa kwenye makarabrasha. Watu wamepiga kelele wee ifanywe open source ila walioshika mpini walikua wanaiogopa.
Yeah, naongelea quality ya picha,,Picha ama video? Maana fb lite ilikua ina fungua picha