Tumetoka mbali: Simba iliyocheza Fainali ilikuwa ikivaa jezi za Manchester United

Tumetoka mbali: Simba iliyocheza Fainali ilikuwa ikivaa jezi za Manchester United

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza pichani ni kikosi cha simba kilichocheza fainali za Abiola 1993 na picha ya Roy Keane wa Man U 1993.

Dah kitambo sana mara ya mwisho Tanzania kuingiza timu fainali. Mtu anavaa jezi bila hata kuwa na Mkataba na sharp.


SIMBA 1993 CAF SHARP.jpg
roykeane.jpg
 
Back
Top Bottom