Tumetoka mbali

Rugby Union

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2012
Posts
402
Reaction score
252
Pichani ni mtu mmoja maarufu, enzi zake akiwa kasichana...

 
Mbona sa hivi mashavu yamemshuka ka bi kizee.
 
Salama mzuri sana, I wish angeacha uchizi wake awe kisista du kabla mashavu hayajaokota kunde!
 
Ushikaji wa salama unatokana na nini,amekaa Sana na wanaume kijiweni au?
 
Sipati picha siku anabonge la tumbo sijui ule ujike dume atauendeleza au ????????????
 
Nilimuona akiingia guest moja akiwa na dada flani,dunia sio mbaya ila sisi ndo wabaya.
 
Salama mzuri sana, I wish angeacha uchizi wake awe kisista du kabla mashavu hayajaokota kunde!
Kwa photo yake hii nishakata tamaa kama itakuja siku moja aka-act udada!
 
Yani hayuko hata kimapenzi.
Nadhani kwa mwanaume ukitaka kupima kiwango chako cha ashki kipo juu kiasi gani basi kaa na Salama jirani mkiwa wawili! Ukidi'nda, hesabu kwamba unahitaji msaada wa kitabibu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…