The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
Huyu anavuta bangi Hawa ndio wanasababisha bangi ikatazweKama hiki ndiyo Kiswahili cha kisasa basi tumekwisha.
Halafu unaweza kuta ni kijana Msomi tu mwenye GPA ya kushiba!
Eti mihili, dhohofika,nk,nk
Hadi aibu.
NaafikiHuyu anavuta bangi Hawa ndio wanasababisha bangi ikatazwe
Kiswahili cha WahayaKama hiki ndiyo Kiswahili cha kisasa basi tumekwisha.
Halafu unaweza kuta ni kijana Msomi tu mwenye GPA ya kushiba!
Eti mihili, dhohofika,nk,nk
Hadi aibu.
Hicho kiswahili kina kisadia nin mpk SasaKama hiki ndiyo Kiswahili cha kisasa basi tumekwisha.
Halafu unaweza kuta ni kijana Msomi tu mwenye GPA ya kushiba!
Eti mihili, dhohofika,nk,nk
Hadi aibu.
Dogo hujui mpira. Labda netball . Kama ni hivyo mimi ngekuwa mchezaji mzuri sana duniani. Lakini kawaulize wanaofaham mpira kimo cha Messi, Maradona n.k South Africa walichukua Afcon wa kimo gani? Zambia? Haya mambo unatakiwa uulize wanaume kwanza wakuelekeze vizuri ndo uje upost. Hii siyo Basketball dada. Mimi mrefu sana kama unavyonijua bwana ako na wala sijui kucheza mpira. Haya mambo sweet girl tuachie wanaume.Embu vuta picha timu zote zilizo pita 16 Bora wote Ni ma machemba na Kam IPO timu isiyo na machemba Basi Ni South Africa ila wote walio pita ni timu zenye machemba na vijna walio Shiba mihili na siyo Kama wakwetu walio na mihili iliyo dhohofika na walio na kimo Cha chini kbsa Cha sentiment 140
Tunafungwa Mara kwa Mara kwa sababu siyo kwa sababu hatujui kucheza Bali Ni kwasababu wachezaji wetu wote Ni wafupi na wale baadhi warefu hawanaa mihili iliyo shibaa kisawasawa chukulia mfano mwamnyeto ,Bacca , ni mabeki wazuri ila hawana mihili iliyo jaa na kushiba Ni vibeki vyembamba ambavyo haviwezi kuwekeana ubavu na maforward wa kikongo ,Senegal ,au ivory cost
Hata kufuzu kwetu kwenda afcon Ni kwa mbinde sana tulifuzu mbele ya uganda tunafuzu kwa shida kwa sababu wachezaji wetu hawana misuli na mihili Yao Ni dhohofu na Hili tuwe serious kweny Milo tunazo kula ili kujenge mihili iliyo shiba na imara
Jana nilikuwa kwenye mgahawa fln hapa dodoma nikamuona mcheji mmoja anacheza ligi kuu ya NBC ati anakula ndiz mzuzu mbili na mshikaki miwili na soda ya coca .ndiko nikajiulizaa Sasa huyu anaweza Kweli kuwekeana ubavu na mchezaji wa kikongo ,misiri ,au burkinafaso kwenye battle ya one to one
Mm siko hapa kuwataja wachezaji wafupi kwa vile wanajulikana vzr tu siyo forward Wala mabeki wako kibao sana Ni wafupi na hawana mihili iliyo shiba " pande la mtu"
Himaa wizara ya afya itoe na wahamasishe vyakula muhimu vya kujenga mwili na iliwe Mara kwa Mara na ulaji wa chipis na ndizi mzuzu ipigwe marufuku kwa wanaumee wote kote nchini
wanaume wale magimbi ,viazi vitamu na maziwa fresh na mtindi sambamba na ulagi wa mihogo iliyo chemshwaa pmj na ugali maharage yale mekundu ,ugali wa mtama na dengu tuachane na ulagi wa urojoo na chipsi hapo tutakuwa na wachezaji walio jaza mihili na kikosi Bora
Nakumbuka wayne Rooney alikuwa anauwezo wa kula kuku wawili peke ake sasa hapa kwetu mtu anakula chips na ndizi mbili na mshikaki miwili ya jero jero na anaitwa kwenye kikos Cha timu ya timu ya taifa
Ni Bora kuwa na wachezaji vibonge wenye nguvu [emoji1787] kuliko twembamba na vifupi
Alfu na ninyi wanawake zaeni na wanaume warefu kuleta watu watakao kuja kuwa wanajeshi na wachezaji hodari
Mumsaheme huyu dogo. Anashinda sana na wanawake Salon. Ndo wale wale.... Nadhani umeelewa. Msimshambulie sana ni aina ile ... So huwa hafahamu vitu anaambiwa tu anakurupuka.Kama hiki ndiyo Kiswahili cha kisasa basi tumekwisha.
Halafu unaweza kuta ni kijana Msomi tu mwenye GPA ya kushiba!
Eti mihili, dhohofika,nk,nk
Hadi aibu.
Imeandikwa na Rainbow mmoja kilaza.Bila shaka imeandikwa na omera/jasida.
Argentina wana miili gani? Lionel Messi unamjua? Hebu sema kimo chake katika karne hii soka la mbinu unadhani miili ina nafasi kubwa kama unavyosema? Sisi tuna matatizo ya misingi ya soka na sio vimo wa miili.
Kwanini walimpa dawa za kumkuza?Umemuona mesi tu , ile team angalia backline yao akina otamendi na wenzie halaf angalia kiungo ni watu wameshiba, it okay mshambuliaji kuwa mwili huo but position zingine ni uongo
Hahahahaha lini machiz wakajuwa MpiraDogo hujui mpira. Labda netball . Kama ni hivyo mimi ngekuwa mchezaji mzuri sana duniani. Lakini kawaulize wanaofaham mpira kimo cha Messi, Maradona n.k South Africa walichukua Afcon wa kimo gani? Zambia? Haya mambo unatakiwa uulize wanaume kwanza wakuelekeze vizuri ndo uje upost. Hii siyo Basketball dada. Mimi mrefu sana kama unavyonijua bwana ako na wala sijui kucheza mpira. Haya mambo sweet girl tuachie wanaume.