Tumetolewa AFCON kwa sababu wachezaji wengi ni wafupi na hawana miili iliyoshiba

Tumetolewa AFCON kwa sababu wachezaji wengi ni wafupi na hawana miili iliyoshiba

Moja ya maon ya hovyo ktk football, mpira ni kipaji na jitihada sio mwili. Kawaangalie japan ni wafupi na wana miili midogo kuliko sisi ila wanakanda mpaka wakubwa wa ulaya.

Muangalie iniesta ana mwili mdogo tu lkn viungo wengi wamepata sana shida sana kukabiliana nae, hao waafrica unaosema wana miili iliyoshiba kina kolo toure wanakula ugali mkubwaaa ila rooney alikua anawagusa tu wanadondoka chini.

Mifano ipo mingi sana,messi ni mfupi tu ila hayo majitu yaliyoshiba yakigongana na messi huwa yanaanguka yenyewe.

Mpira ni kipaji na jitihada tu, ungeshauri tuzingatie fitness tu, hao japan wana miili midogo sana ila wapo timamu kimwili ndo jambo la msingi zaidi, una mwili mkubwa umeshiba ila utimamu wa kimwili sifuri
Sawaaa Hawa japan unao walinganisha na sisi wale wanafuzu kila hatua maan timu wanazo pangwa nazo

Ndio maana hajawai kutika nusu fainaali au Sana robo anatolewa na hi no kwasabubub waanakwenda kukutana na wagerumanj warefu
 
Nikitaka nimtaje huyu hyu nikasema nisije kuonekana na msimanga kwa kimwili chake Kama yangu
Hadi sasa tshabalala kala kura mbili,,
Nadhani hizi habari atazipata,
hivyo na hili akalitizame!
 
Kama hiki ndiyo Kiswahili cha kisasa basi tumekwisha.
Halafu unaweza kuta ni kijana Msomi tu mwenye GPA ya kushiba!
Eti mihili, dhohofika,nk,nk
Hadi aibu.
Achana na kiswahili chake!
Angalia madini aloweka!
 
Sawaaa Hawa japan unao walinganisha na sisi wale wanafuzu kila hatua maan timu wanazo pangwa nazo

Ndio maana hajawai kutika nusu fainaali au Sana robo anatolewa na hi no kwasabubub waanakwenda kukutana na wagerumanj warefu
Japan wapo vizuri sana, sisi na wao ni mbingu na ardhi
 
Umemuona mesi tu , ile team angalia backline yao akina otamendi na wenzie halaf angalia kiungo ni watu wameshiba, it okay mshambuliaji kuwa mwili huo but position zingine ni uongo
Watu hawawazi mbali zaidi kuwa mengine ni vipaji vya wachache waliobarikiwa, wanaacha kufikiri Kama GTs
 
Embu vuta picha timu zote zilizo pita 16 Bora wote Ni ma machemba na Kam IPO timu isiyo na machemba Basi Ni South Africa ila wote walio pita ni timu zenye machemba na vijna walio Shiba mihili na siyo Kama wakwetu walio na mihili iliyo dhohofika na walio na kimo Cha chini kbsa Cha sentiment 140

Tunafungwa Mara kwa Mara kwa sababu siyo kwa sababu hatujui kucheza Bali Ni kwasababu wachezaji wetu wote Ni wafupi na wale baadhi warefu hawanaa mihili iliyo shibaa kisawasawa chukulia mfano mwamnyeto ,Bacca , ni mabeki wazuri ila hawana mihili iliyo jaa na kushiba Ni vibeki vyembamba ambavyo haviwezi kuwekeana ubavu na maforward wa kikongo ,Senegal ,au ivory cost

Hata kufuzu kwetu kwenda afcon Ni kwa mbinde sana tulifuzu mbele ya uganda tunafuzu kwa shida kwa sababu wachezaji wetu hawana misuli na mihili Yao Ni dhohofu na Hili tuwe serious kweny Milo tunazo kula ili kujenge mihili iliyo shiba na imara

Jana nilikuwa kwenye mgahawa fln hapa dodoma nikamuona mcheji mmoja anacheza ligi kuu ya NBC ati anakula ndiz mzuzu mbili na mshikaki miwili na soda ya coca .ndiko nikajiulizaa Sasa huyu anaweza Kweli kuwekeana ubavu na mchezaji wa kikongo ,misiri ,au burkinafaso kwenye battle ya one to one

Mm siko hapa kuwataja wachezaji wafupi kwa vile wanajulikana vzr tu siyo forward Wala mabeki wako kibao sana Ni wafupi na hawana mihili iliyo shiba " pande la mtu"

Himaa wizara ya afya itoe na wahamasishe vyakula muhimu vya kujenga mwili na iliwe Mara kwa Mara na ulaji wa chipis na ndizi mzuzu ipigwe marufuku kwa wanaumee wote kote nchini

wanaume wale magimbi ,viazi vitamu na maziwa fresh na mtindi sambamba na ulagi wa mihogo iliyo chemshwaa pmj na ugali maharage yale mekundu ,ugali wa mtama na dengu tuachane na ulagi wa urojoo na chipsi hapo tutakuwa na wachezaji walio jaza mihili na kikosi Bora

Nakumbuka wayne Rooney alikuwa anauwezo wa kula kuku wawili peke ake sasa hapa kwetu mtu anakula chips na ndizi mbili na mshikaki miwili ya jero jero na anaitwa kwenye kikos Cha timu ya timu ya taifa

Ni Bora kuwa na wachezaji vibonge wenye nguvu [emoji1787] kuliko twembamba na vifupi

Alfu na ninyi wanawake zaeni na wanaume warefu kuleta watu watakao kuja kuwa wanajeshi na wachezaji hodari
Spain wana miili gani? Shida sio dushe dogo, shida style.
 
Umemuona mesi tu , ile team angalia backline yao akina otamendi na wenzie halaf angalia kiungo ni watu wameshiba, it okay mshambuliaji kuwa mwili huo but position zingine ni uongo
Hao mabeki wenye miili ndiyo wanaofunga ama Messi mfupi ndiyo mfungaji?

Messi ni mchezaji bora wa dunia mara saba na kimo chake kama andunje.
 
Met a hoja unahoja. Wachezaji wetu pia wamekaza sana, hawawezi nyumbulika mfano M. Hussein kakomaa sana, ata kupiga kichwa hawezi
 
Sawaaa Hawa japan unao walinganisha na sisi wale wanafuzu kila hatua maan timu wanazo pangwa nazo

Ndio maana hajawai kutika nusu fainaali au Sana robo anatolewa na hi no kwasabubub waanakwenda kukutana na wagerumanj warefu
Ww mjinga kweli hao japan si huwa wanakanda hata hao germany!! Umeshawaona wanavocheza hao japan kweli? Japan wana uwezo kucheza kwa ushindani na team yoyte dunian. Hao wa africa magharibi wapangwe na japan uone mpira sio mwili mkubwa
 
Back
Top Bottom